sengobad
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 9,008
- 8,788
Weka picha ya hizo nyingine sio maneno tuuUnaongelea mahakama ya wilaya? Mahakama zote zinazojengwa kwa huo mradi ramani ni moja na zote ni za kisasa, ukiona Rais sikuile kumsifia Jaji Mkuu na Jaji Kiongozi kwa transformation kubwa wanayoifanya usifikiri ni mchezo, kama unavyoona hospitals zikijengwa na Mahakama zinamea vilevile kote nchini, google hata ya Bagamoyo uione, pia hata ya Kigamboni.
Sent using Jamii Forums mobile app