The Elephant
JF-Expert Member
- Dec 18, 2014
- 4,342
- 4,614
Labda hiyo mahabusu ni kwa ajili ya waheshimiwa viongozi!!Kata ninayoishi kuna kituo kidogo cha polisi, ni kizuri sana hadi mahabusu kuna tiles, mahabusu wa vituo vingine huwa wanaombwa wapelekwe kule bahati mbaya sana mahabusu ni ndogo haiwezi kuaccommodate watu wengi