Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasikia mvua zinanyesha Dar es Salaam nzima haipitiki, kila kona maji yamejaa barabarani, hivi zile barabara za awamu ya tano zilihamishiwa chato pia au bado ziko mwanza kwenye mapokezi ya ndege na mkutano mkuu wa chama?!Hizi nguvu mnazotumia kwenye mambo madogo kama haya munge elekeza kwenye mambo muhimu makubwa.
Hilo jengo la kawaida sana tatizo ni hizo ngazi au au urembo wa nguzo za kwenye baraza?
Wilaya nyingine ni za zamani sana, mahakama zake zilijengwa zamani hivyo huwezi kufananisha na wilaya mpya inayojengwa majengo au miundombinu ya kisasa.
Aliki ya kawaida tu inatosha kutambua hii sababu ya utifauti wa miundombinu mipya.
Mnataka mwaka 2015/2019 lijengwe jengo kama la mwaka 1961/1986?
Hata huku mitaani maeneo ya miji au makazi mapya huwa na majengo mazuri ya ramani na urembo wa kisasa.
Hii ndio shida ya kuwa na watu wako wa propaganda na kampeni wenye elimu ndogo kama akina mdude.
Sijawahi kuona ukosoaji wa kitoto namna hii enzi za ujana wa akina Mnyika, Halima Mdee, Zitto Kabwe n.k.
Na hao wote utaona elimu yao ni tofauti na akina Mdude. Kibaya zaidi hata wenye elimu ya juu wanaingia mkenge kuuunga juhudi za ukosoaji wa mambo madogo sana na kuacha makubwa ya msingi.
Kesi gani nyingi huko????Wapinzani acheni ubaguzi
Mbona Moshi imepelekwa Tren Wananchi hatulalamiki?
Comment ya mwaka hii😂😂😂😂😂😂😂Kali balaa ila mahakama hata iwe nzuri kiasi gani haivutii ni kama jeneza tu hata liwe zuri namna gan huwez kulitamani
Wapinzani acheni ubaguzi
Mbona Moshi imepelekwa Tren Wananchi hatulalamiki?
Ebana eeeh!!Mhe.Rais mimi najua wewe sio mbunge wa Chato bali ni Rais wa nchi. Maana yangu ni kwamba linapofika suala la maendeleo simamia bila kupendelea .
Ukiangalia jengo hili jipya la mahakama ya wilaya ya Chato hivi ni wilaya gani nyingine yenye jengo la mahakama ya kisasa kama hili? Kama ni kwa nia njema ningetamani kuona majengo ya namna hii ya kisasa kwenye mahakama zote za wilaya nchi nzima lakini jengo hili nimeliona Chato tu anakotoka Rais.
Mdude Nyagali
#Sumu_ya_nyigu
#freedom_fighter
View attachment 1294907View attachment 1294907View attachment 1294907
Ndio jamaa anatamani ajengewe kwao,labda anajiandaa kupelekwa sa anaona noma kwenda kwenye jengo baya.[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Kali balaa ila mahakama hata iwe nzuri kiasi gani haivutii ni kama jeneza tu hata liwe zuri namna gan huwez kulitamani
Mhe.Rais mimi najua wewe sio mbunge wa Chato bali ni Rais wa nchi. Maana yangu ni kwamba linapofika suala la maendeleo simamia bila kupendelea .
Ukiangalia jengo hili jipya la mahakama ya wilaya ya Chato hivi ni wilaya gani nyingine yenye jengo la mahakama ya kisasa kama hili? Kama ni kwa nia njema ningetamani kuona majengo ya namna hii ya kisasa kwenye mahakama zote za wilaya nchi nzima lakini jengo hili nimeliona Chato tu anakotoka Rais.
Mdude Nyagali
#Sumu_ya_nyigu
#freedom_fighter
View attachment 1294907View attachment 1294907View attachment 1294907
Kwani hiyo train imepelekwa sehemu ambayo hakuna reli?Wapinzani acheni ubaguzi
Mbona Moshi imepelekwa Tren Wananchi hatulalamiki?
Kula tunda kimasiharaHio ndio mahakama ataenda hukumiwa wakti atakpokuwa akijibu kesi za..................
Hiyo reli inayoenda Moshi imejengwa lini?Wapinzani acheni ubaguzi
Mbona Moshi imepelekwa Tren Wananchi hatulalamiki?
😂 😂 😂 😂Kali balaa ila mahakama hata iwe nzuri kiasi gani haivutii ni kama jeneza tu hata liwe zuri namna gan huwez kulitamani
Mahakama ipo katika mpango wa kuboresha mahakama zake za wilaya.....Mhe.Rais mimi najua wewe sio mbunge wa Chato bali ni Rais wa nchi. Maana yangu ni kwamba linapofika suala la maendeleo simamia bila kupendelea.
Ukiangalia jengo hili jipya la Mahakama ya Wilaya ya Chato hivi ni wilaya gani nyingine yenye jengo la mahakama ya kisasa kama hili? Kama ni kwa nia njema ningetamani kuona majengo ya namna hii ya kisasa kwenye mahakama zote za wilaya nchi nzima lakini jengo hili nimeliona Chato tu anakotoka Rais.
Mdude Nyagali
#Sumu_ya_nyigu
#freedom_fighter
View attachment 1294907View attachment 1294907View attachment 1294907