Mdude,maendeleo hayana chama,jengo kama Hilo la mahakama huko chato,lipo pia Kigamboni ambapo kuna mahakama ya mwanzo na ya wilaya,majengo hayo Ni mpango mkakati wa mahakama kujiendesha kidijitali,mpango huo upo kwenye majaribio na unahusisha wilaya zilizovhaguliwa tu,yaani kila kitu ki- ICT,usipinge bila utafiti
Sent using
Jamii Forums mobile app