Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 3,482
- 4,673
Yule kiumbe alikuwa na Roho chafu Sana, ukiwa na Roho chafu huwezi kuwa na maisha marefu,Mpaka leo sielewi kwa nini hili jengo lilibomolewa.
Nimefika hata nchi za nje, barabara inakatiza hadi katikati ya jengo, na jengo hili hata kwa barabara iliyopo Ubungo haijafikia liliko jengo lililobomolewa.
Kama si uhujumu sijui?
Mi nachokoza tu, wataalam tuambieni!
View attachment 1991013
Exactly,jamaa alikuwa zaidi ya ibilisi kabisa,nashangaa Hawa misukule wake wanavyomtukuzaAlikuwa na roho ya kwanini hakupenda ionekane kuna mwingine zaidi kuliko yeye hivyo alivyozuiwa mara ya kwanza kulibomoa aliumizwa sana na alipoupata urais akaona atimize lengo lake na kuiridhisha nafsi yake kwamba yeye ndio zaidi.
Mtu ukiwa na roho mbaya ya asili unateseka sana.
[emoji1787][emoji1787]Jasiri... Shujaa... Mwamba!! mungu wa profesa mmoja hivi wa huko matakatakani.
Exactly!Alitaka kulibomoa alipokuwa waziri, JK na Pinda wakamzuia! Alipopata Uboss akabomoa makusudi ili kuwaonesha yeye ni nani!! Kati ya dhambi CCM hawatakuja kusamehewa ni kutuletea yule jamaa awe Rais wetu
Kombe alikufa kwenye utawala wa magufuli?,Daudi mwangosi kauliwa kwenye utawala wa Magu? Serikali ni jitu kubwa hasara zingine hazina Budi kutokea ili nchi isonge mbele.Ukifanya mazuri mengi lakini ukiua mara moja tu, mkono wa sheria uko juu yako.
Hekima katika uongozi ni muhimu sana.Kombe alikufa kwenye utawala wa magufuli?,Daudi mwangosi kauliwa kwenye utawala wa Magu? Serikali ni jitu kubwa hasara zingine hazina Budi kutokea ili nchi isonge mbele.
Sawa magu kafa kwa kujaribu kumuua tindu na mkapa kwa kumuua kombe lkn mbona kikwete bado tupo na Hali alimuua daud mwangosi? Haya mambo ni co incidence tu hayahusiani kabisa bro maso.Hekima katika uongozi ni muhimu sana.
Hakuna kitu cha udhalimu chini ya jua ambacho hakima malipo hapa hapa duniani.
Na madaraka yoyote ni kama upanga wa pande mbili, ukikata kwa udhalimu, upanga nao utakukata.
Fuatilia ujiridhishe.
Mkuu the Lord takes His time.Sawa magu kafa kwa kujaribu kumuua tindu na mkapa kwa kumuua kombe lkn mbona kikwete bado tupo na Hali alimuua daud mwangosi? Haya mambo ni co incidence tu hayahusiani kabisa bro maso.
Hahahaha, Prof kawa mdogo sana sasa hivi! Ila mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, Prof ana madini mengi sana kichwani
Suala la kubomoa jengo lile lilinifanya nijue kuwa dokta magu alikuwa ni mtu anayependa visasi. Eti alitaka kumkomoa Pinda kwa kuwa alimwambia asilibomoe.Kuna wapumbavu wengi sana walivumisha hilo jengo la Lowassa. Matokeo yake ndo amri za kulivunja wakijua wanamkomoa Lowassa..
Hiii nchi upumbavu Una nguvu kuliko akili
Sawa kabisa Sasa hivi mahakama ipo fair sana, Sabaya wameshamfunga na kesi ya Mbowe inaendelea vizuri!!Kipindi cha jamaa yako kulikuwa na Mahakama? Kama sheria inawaruhusu wakienda sasa wanashinda
Mwendazake aliwaweka Majaji mfukoniSawa kabisa Sasa hivi mahakama ipo fair sana, Sabaya wameshamfunga na kesi ya Mbowe inaendelea vizuri!!
Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
Mungu ana sifa hizi?Jasiri... Shujaa... Mwamba!! mungu wa profesa mmoja hivi wa huko matakatakani.
Jamaa alikuwa na vitisho sana, ila akaondoka, kilichomuondoa??? Ngumu kusema hapa hahahaMwendazake aliwaweka Majaji mfukoni
Moja ya picha xilizoainisha kuwa jamaa hayuko sawa.
Lakini alibomoa au hakulibomoa?, Aliwakomesha kweri kweriAlitaka kulibomoa alipokuwa waziri, JK na Pinda wakamzuia! Alipopata Uboss akabomoa makusudi ili kuwaonesha yeye ni nani!! Kati ya dhambi CCM hawatakuja kusamehewa ni kutuletea yule jamaa awe Rais wetu
Una maana lisu?, Maana magufuli alukuwa anafuata sheria mpaka basi,, same as lisu,,Huyo jamaa alikuwa anajali sheria? Yeye alikuwa ni kanyaga twende! Unajua huku chini tunalalamika sana kuhusu jamaa, ila chamoto walikuwa wanakiona akina Majaliwa na mawaziri wake, jamaa alikuwa hana staha kabisa, anatukana kila mtu!! Leo hii unapomsikia Majaliwa anakomaa Samia aendelee hadi 2030 ni kwamba haamini hii ahueni aliyopata, and hataki kusikia or kuona mambo waliyopitia yanajirudia 2025! Na 2030 watafanya kila aina ya figisu asiingie tena mtu wa type ya Marehemu
Alijitahidi kutengeneza mabilionea wengi sana, [emoji16] mabilionea wa zamani akina zakari, mengi, mo, walikuwa ni mabepari tu hao na ilikuwa ni kunyooshwa mmoja baada ya mwingine,, hatimaye tukapata mabilionea wazalendo akina mayanga, makonda, masunga, maduhu, etc,,,Mwendazake alikuwa Psychopath na wivu pia
,, [emoji23][emoji23][emoji125]yule sasa na mtawala buana,,, yaani hizo pesa mtazitapika, na mtazitolea tundu lolote"ila yule jamaa aliwafanya watu wajiarishie kwenye skirt na suruali live.
Nakumbuka hotuba yake ya mwisho kuna maza flani hivi wa serikali alimsomea risala mbele yake kwamba, wanadaiwa zaidi ya kama millioni 100 na CRDB anamwomba magu awape pesa kadhaa wakalipe
Magu alivyomjibu sasa kwa kufoka; Hizo pesa mtazitapika na mtajua ni wapi pakuzipata na nawapa siku kadhaa murudishe zote.
Mwanamama alinywea, akayumba bado kidogo angeanguka. Nahisi siku hiyo aliacha uharo kwenye skirt.
Ila yule jamaa alikuwa komesha hakutaka mambo ya kipumbavu wala kubembelezana. Kuna watu ni wapumbavu yafaa kushughulikiwa na kuendeshwa kwa staili ya Magu.