Jengo la TANESCO alilobomoa Magufuli, mpaka leo sielewi!

Jengo la TANESCO alilobomoa Magufuli, mpaka leo sielewi!

"Mtu hakosi mazuri the positive thing about that guy is his ability to mobilise resources na kuinfluence."- He had connections, and also the goodwill for the nation, kama utajiri alishakuwa nao zamani, then what happened? Kuchafuliwa na kila mtu kupitia hela za JK, kinachokera zaidi wapinzani nao wakahongwa kumchafua jamaa, Mwanahalisi (Kubenea wa CDM) and TZ Daima (Ya Mbowe) kila siku habari za jamaa fisadi, then wakabadilikiana wakamchukua huyo fisadi awe mgombea wao, Shida tupu siasa zetu
Lowasa hakuwa fisadi,, tatizo lake alukosa subira, na shida ilianzia mkutano wa kumchagua mwenyekiti wa ccm,, liwasa alitaka kuhakikisha JK anaukosa ili agombee urais 2010,, hapo ndo tabu ilianzia
 
Kuna wapumbavu wengi sana walivumisha hilo jengo la Lowassa. Matokeo yake ndo amri za kulivunja wakijua wanamkomoa Lowassa..

Hiii nchi upumbavu Una nguvu kuliko akili
Kumbe ndio sababu ya Yule jamaa wa visasi na roho mbaya kutaka kulibomoa
 
ila yule jamaa aliwafanya watu wajiarishie kwenye skirt na suruali live.

Nakumbuka hotuba yake ya mwisho kuna maza flani hivi wa serikali alimsomea risala mbele yake kwamba, wanadaiwa zaidi ya kama millioni 100 na CRDB anamwomba magu awape pesa kadhaa wakalipe

Magu alivyomjibu sasa kwa kufoka; Hizo pesa mtazitapika na mtajua ni wapi pakuzipata na nawapa siku kadhaa murudishe zote.

Mwanamama alinywea, akayumba bado kidogo angeanguka. Nahisi siku hiyo aliacha uharo kwenye skirt.

Ila yule jamaa alikuwa komesha hakutaka mambo ya kipumbavu wala kubembelezana. Kuna watu ni wapumbavu yafaa kushughulikiwa na kuendeshwa kwa staili ya Magu.
Kuna uozo zaidi ya kubomoa jengo la TANESCO ili kujionyesha mabavu yako?
 
Mwangosi alikufa wakati wa kikwete, dr Mvungi aliuawa wakati wa kikwete,dr Ulimboka alitekwa na uonekana magwepande wakati wa kikwete! Lakini hawa wapumbavu kila siku wanaongelea Magufuli hawajui kuwa serkali sio mtu mmoja ni system! Na kwa taarifa yao wakati wa Kikwete wamekufa watu wengi sana ukijumuisha matukio ya uchomaji makanisa, mashambulizi ya padri kule zanzibar,na mlipuko wa mabomu kule Arusha! Ila kwa vile wanachuki na Magufuli utawasikia kila mda wakimtaja kana kwamba tawala zingine hazikuwa na matukio!
Ulisha ambiwa kaa na mavi yako nyumbani.
Upo hapo?
 
Alihisi jengo ni la Lowasa akalibomoa,kama alivyobomoa bilcanas akihisi majengo ni ya Mbowe kumbe NHC akahisi kimara wamepigia chadema akawavunjia.
Kuumbuliwa bashite vyeti feki chuki akazihamishia kwa wafanyakazi kuwaondoa kazini kwa uonevu,kuhisi wafanyakazi walimpigia Lowasa akawashughulikia kwa uhakiki, kuwafukuza,kufuruga mifumo ya upandaji mishahara na vyeo, kuwanyima nyongeza za mishahara,kuwaletea kikokotoo,nk.
Hisia ni mbaya sana.
 
Alijitahidi kutengeneza mabilionea wengi sana, [emoji16] mabilionea wa zamani akina zakari, mengi, mo, walikuwa ni mabepari tu hao na ilikuwa ni kunyooshwa mmoja baada ya mwingine,, hatimaye tukapata mabilionea wazalendo akina mayanga, makonda, masunga, maduhu, etc,,,
Lugumi, maganga
 
Kisheria ilikuwa sahihi kulibomoa au alivunja sheria?
Kama haliathiri
Pure madness, kilichofanywa hakiwezi fanywa na mtu mwenye akili timamu, anayehurumia mali ya watanzania masikini.
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza Ndg Dialo ali hint kuwa huyu jamaa alikuwa na faili Milembe, hizi ndio kithibitisho.
Angebomoa Ikulu akajenge Chato sijui mngesemaje.
Alitishia kuyabomoa majengo yote dar ya serikali baada ya kuhamia dodoma.
 
Ikulu ya dar isingekuwa mali ya wajerumani kama urithi wa dunia,angeshaibomoa Ili raisi ajae asikae dar.
 
Taahi.ra wewe...alipewa na nani kama sio sisi the majority? we ni nani wa kutupangia sisi watanzania tulio wengi tuongozwe na nani?
Labda wwe.Hana historia ya kushinda chochote nje ya kubebwa
 
Alitaka kulibomoa alipokuwa waziri, JK na Pinda wakamzuia! Alipopata Uboss akabomoa makusudi ili kuwaonesha yeye ni nani!! Kati ya dhambi CCM hawatakuja kusamehewa ni kutuletea yule jamaa awe Rais wetu
Ila na wewe una chuki za kitoto sana....kila thread upo tu
 
Back
Top Bottom