Jengo la TANESCO alilobomoa Magufuli, mpaka leo sielewi!

Jengo la TANESCO alilobomoa Magufuli, mpaka leo sielewi!

Dingi kama yale maamuzi yangekuwa ya chama Katibu Mkuu asingeondoka, Mkiti aliamua liwalo na liwe lazima Lowasa awe mgombea urais wa chama!! Watu wote walikatazwa kuchukua fomu ya kuwa wagombea Urais. Lowasa alishindana na nani kwenye kura za maoni za CDM?
Unaanza kuleta opinions badala ya facts.

Kamati kuu ilikuwa wapi kama alifanya maamuzi peke yake ?

Kwani wakati huo CHADEMA kilikuwa na mfumo wa kura za maoni kwa wagombea urais ?
 
Kwa sababu lilijengwa ndani ya hifadhi milki ya Barabara , ni uchafu lilijengwa pahala pasipostahili kuwa na structure yeyote ya kudumu. Ni kama unavoona vibanda vya matching guys vikibomolewa, halinaaa tofauti. Next time badala ya kuleta uzi chonganishi jifunze kutii na kufuata sheria. LILIBOMOELWA kwa mujibu wa sheria
Usitake nikutukane mjinga weye yaani Kwa akili zako timamu ukaamini lile jengo katika majengo yote mjini daslam ndio lilikaa kwenye hifadhi ya Barabara?
Kwa mipango miji Gani hapa bongo?
Acha vituko broo Kwa mipango miji hiiii hiiiii aaaa wee nakataaa Ile ilikua roho Mbaya ya mtu pori jiwe kuwakomoa watu Fulani Kwa ushamba wake Wa kibush bush

Yule jamaa alikua mshamba Sana!
(In Comred Kinana voices)
 
Unaanza kuleta opinions badala ya facts.

Kamati kuu ilikuwa wapi kama alifanya maamuzi peke yake ?

Kwani wakati huo CHADEMA kilikuwa na mfumo wa kura za maoni kwa wagombea urais ?
Hahaha, dingi unaleta bla bla nyingi! let me ask you one question, ulifurahishwa na ugombea urais wa Lowasa kupitia chama chenu?
 
Kwani ilo jengo linawauma nini hasa? Zilibomolewa nyumba huko kimara kibao, pale pembeni kulikuwa na jengo la Wizara ya Maji nalo likabomolewa wala hamyaoengelei ayo lakini kutwa ilo jengo tu la Tanesci tena sio la shirika hapana! Shida nini haswa hapo?

Tanesci ni shirika la wapi?
 
Usitake nikutukane mjinga weye yaani Kwa akili zako timamu ukaamini lile jengo katika majengo yote mjini daslam ndio lilikaa kwenye hifadhi ya Barabara?
Kwa mipango miji Gani hapa bongo?
Acha vituko broo Kwa mipango miji hiiii hiiiii aaaa wee nakataaa Ile ilikua roho Mbaya ya mtu pori jiwe kuwakomoa watu Fulani Kwa ushamba wake Wa kibush bush

Yule jamaa alikua mshamba Sana!
(In Comred Kinana voices)
Ukikitukana nakupiga ban. Yumkini hata ukiwekewa michoro na.sheria utabisha kwa nguvu zote.Sawa tufanye uko sahihi.

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Hahaha, dingi unaleta bla bla nyingi! let me ask you one question, ulifurahishwa na ugombea urais wa Lowasa kupitia chama chenu?
Unaanza kutafuta maoni yangu binafsi?

I can tell you 2015 nchi ilienda kwenye uchaguzi bila chaguo.

No one was fit for the office.
 
Unaanza kutafuta maoni yangu binafsi?

I can tell you 2015 nchi ilienda kwenye uchaguzi bila chaguo.

No one was fit for the office.
Fk me hrd hahahahaha.......Mimi nilikuwa team Lowasa, hadi kesho naamini ndiyo mtu angetuvusha kutoka kwenye ujinga tulionao...the guy have visions and he knows where we are supposed to go as the nation
 
Fk me hrd hahahahaha.......Mimi nilikuwa team Lowasa, hadi kesho naamini ndiyo mtu angetuvusha kutoka kwenye ujinga tulionao...the guy have visions and he knows where we are supposed to go as the nation
Lowassa hana na hajawahi kuwa na vision yoyote inayoeleweka kuhusu kutatua matatizo ya nchi hii.

Lowassa anaitazama nchi katika mtazamo ule ule wa ccm wa kujenga madaraja, barabara na mashimo ya vyoo vya shule.

Niambie vision yake ni ipi uliyokuwa unaiona wewe ???
 
Lowassa hana hajawahi kuwa na vision yoyote inayoeleweka kuhusu kutatua matatizo ya nchi hii.

Lowassa anaitazama nchi katika mtazamo ule ule wa ccm wa kujenga madaraja, barabara na mashimo ya vyoo.

Niambie vision yake ni ipi uliyokuwa unaiona wewe ???
Leo kila kata ina shule, ni vision yake kabla hawajamuondoa kwa sababu za uswahili swahili, angeendelea na kumalizia uwaziri mkuu wake leo hii top 3 ya wanafunzi bora wangekuwa wanatoka shule za kata, maana baada ya kumaliza majengo alikuwa anaenda kuhakikisha elimu inayotoka huko ni bora, wahuni wakamchafua wakishirikiana na upinzani
 
Leo kila kata ina shule, ni vision yake kabla hawajamuondoa kwa sababu za uswahili swahili, angeendelea na kumalizia uwaziri mkuu wake leo hii top 3 ya wanafunzi bora wangekuwa wanatoka shule za kata, maana baada ya kumaliza majengo alikuwa anaenda kuhakikisha elimu inayotoka huko ni bora, wahuni wakamchafua wakishirikiana na upinzani
Mpaka mwaka 1999 government schools zilikuwa zimeshazidiwa wanafunzi zilikuwa haziwezi tena kuchukua wote.

Wakaanzisha Community schools lakini zilishindwa kumatch demands iliyokuwepo mtaani, ongezeko hili lilichangiwa na kufanikiwa kwa kiwango kikubwa sana kwa mpango wa MMEM wakati Mpango wa MMES ulikuwa ukisuasua.

Kwa mpaka 2005 n 2006 wazo la kujenga shuleni katani was an obvious option to every Tom and Jeryy.

Mtu hakosi mazuri the positive thing about that guy is his ability to mobilise resources na kuinfluence.
 
Leo kila kata ina shule, ni vision yake kabla hawajamuondoa kwa sababu za uswahili swahili, angeendelea na kumalizia uwaziri mkuu wake leo hii top 3 ya wanafunzi bora wangekuwa wanatoka shule za kata, maana baada ya kumaliza majengo alikuwa anaenda kuhakikisha elimu inayotoka huko ni bora, wahuni wakamchafua wakishirikiana na upinzani
Lowassa hakuchafuliwa na upinzani walikuwa wanachafuana ccm wenyewe wapinzani walitumia advantage hiyo kwa sababu ccm toka uchaguzi wa 2005 hawategemei ubora wa sera zao bali wanaangalia aina ya mgombea ndiyo maana upinzani waliwekeza sana kwenye kushambulia personalities za wanaccm kwa sababu ndiyo ilikuwa political capital ya ccm.
 
Mpaka mwaka 1999 government schools zilikuwa zimeshazidiwa wanafunzi zilikuwa haziwezi tena kuchukua wote.

Wakaanzisha Community schools lakini zilishindwa kumatch demands iliyokuwepo mtaani, ongezeko hili lilichangiwa na kufanikiwa kwa kiwango kikubwa sana kwa mpango wa MMEM wakati Mpango wa MMES ulikuwa ukisuasua.

Kwa mpaka 2005 n 2006 wazo la kujenga shuleni katani was an obvious option to every Tom and Jeryy.

Mtu hakosi mazuri the positive thing about that guy is his ability to mobilise resources na kuinfluence.
"Mtu hakosi mazuri the positive thing about that guy is his ability to mobilise resources na kuinfluence."- He had connections, and also the goodwill for the nation, kama utajiri alishakuwa nao zamani, then what happened? Kuchafuliwa na kila mtu kupitia hela za JK, kinachokera zaidi wapinzani nao wakahongwa kumchafua jamaa, Mwanahalisi (Kubenea wa CDM) and TZ Daima (Ya Mbowe) kila siku habari za jamaa fisadi, then wakabadilikiana wakamchukua huyo fisadi awe mgombea wao, Shida tupu siasa zetu
 
Lowassa hakuchafuliwa na upinzani walikuwa wanachafuana ccm wenyewe wapinzani walitumia advantage hiyo kwa sababu ccm toka uchaguzi wa 2005 hawategemei ubora wa sera zao bali wanaangalia aina ya mgombea ndiyo maana upinzani waliwekeza sana kwenye kushambulia personalities za wanaccm kwa sababu ndiyo ilikuwa political capital ya ccm.
Operesheni ya kumchafua Lowasa kwa upande wa upinzani walipewa Mwanahalisi (Kubenea), and TZ Daima (Mbowe), then 10 bora ya mafisadi iliyotangazwa na Slaa Mwembeyanga (But Mlengwa mkuu alikuwa Lowasa), hao wengine walikuwa ni "collateral damage"
 
"Mtu hakosi mazuri the positive thing about that guy is his ability to mobilise resources na kuinfluence."- He had connections, and also the goodwill for the nation, kama utajiri alishakuwa nao zamani, then what happened? Kuchafuliwa na kila mtu kupitia hela za JK, kinachokera zaidi wapinzani nao wakahongwa kumchafua jamaa, Mwanahalisi (Kubenea wa CDM) and TZ Daima (Ya Mbowe) kila siku habari za jamaa fisadi, then wakabadilikiana wakamchukua huyo fisadi awe mgombea wao, Shida tupu siasa zetu
Siasa ni mchezo unaobadilika kila baada ya lisaa unahitaji maarifa mengi sana kuucheza.

Lowassa alichafuliwa zaidi na wanaccm kwa sababu ndani ya chama he was an obvious threat kwa kila mtu aliyekuwa na ambitions za urais.

Same kwa upinzani alikuwa ni obvious target kwa sababu chama mlikivisha makoti ya watu kila aliyechafuka na chama kilichafuka.

Unategemea wapinzani waache kutumia hiyo advantage ?
 
"Mtu hakosi mazuri the positive thing about that guy is his ability to mobilise resources na kuinfluence."- He had connections, and also the goodwill for the nation, kama utajiri alishakuwa nao zamani, then what happened? Kuchafuliwa na kila mtu kupitia hela za JK, kinachokera zaidi wapinzani nao wakahongwa kumchafua jamaa, Mwanahalisi (Kubenea wa CDM) and TZ Daima (Ya Mbowe) kila siku habari za jamaa fisadi, then wakabadilikiana wakamchukua huyo fisadi awe mgombea wao, Shida tupu siasa zetu
Kuhusu kumteua kuwa mgombea wao ni dynamics za siasa tu.

Lakini hili nimeshakupa msimamo wangu kuwa tulipewa uchaguzi usio na chaguo no sober person would have elected Magufuli or Lowassa to the state house.
 
Alikuwa na roho ya kwanini hakupenda ionekane kuna mwingine zaidi kuliko yeye hivyo alivyozuiwa mara ya kwanza kulibomoa aliumizwa sana na alipoupata urais akaona atimize lengo lake na kuiridhisha nafsi yake kwamba yeye ndio zaidi.
Mtu ukiwa na roho mbaya ya asili unateseka sana.
Unaweza kuniambia nateseka kivipi!!!??
 
Siasa ni mchezo unaobadilika kila baada ya lisaa unahitaji maarifa mengi sana kuucheza.

Lowassa alichafuliwa zaidi na wanaccm kwa sababu ndani ya chama he was an obvious threat kwa kila mtu aliyekuwa na ambitions za urais.

Same kwa upinzani alikuwa ni obvious target kwa sababu chama mlikivisha makoti ya watu kila aliyechafuka na chama kilichafuka.

Unategemea wapinzani waache kutumia hiyo advantage ?
You are right on this
 
Kuhusu kumteua kuwa mgombea wao ni dynamics za siasa tu.

Lakini hili nimeshakupa msimamo wangu kuwa tulipewa uchaguzi usio na chaguo no sober person would have elected Magufuli or Lowassa to the state house.
Ilikuwa ni ngumu, ila uamuzi wa CDM kumchukua Lowasa was wrong, To me ni bora kupata 15% ya kura kutoka kwa Slaa kuliko 40% za Lowassa
 
Back
Top Bottom