Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sababu lilijengwa ndani ya hifadhi milki ya Barabara , ni uchafu lilijengwa pahala pasipostahili kuwa na structure yeyote ya kudumu. Ni kama unavoona vibanda vya matching guys vikibomolewa, halinaaa tofauti. Next time badala ya kuleta uzi chonganishi jifunze kutii na kufuata sheria. LILIBOMOELWA kwa mujibu wa sheriaMpaka leo sielewi kwa nini hili jengo lilibomolewa.
Nimefika hata nchi za nje, barabara inakatiza hadi katikati ya jengo, na jengo hili hata kwa barabara iliyopo Ubungo haijafikia liliko jengo lililobomolewa.
Kama si uhujumu sijui?
Mi nachokoza tu, wataalam tuambieni!
View attachment 1991013
Hatuwezi kusahau wakati shetani CCM bado yupoTusahau yaliyopita tujenge taifa.
Hakununua na wala hakuuza just like vile hakuvunja nyumba zenu na jengo la TANESCO akiwa waziri kwa sababu hakuwa na ubavu wa kwenda kinyume na wavunjifu wa sheria na watetea ushoga, udhalimu na ufisadi.Jibu swali,jiwe hakuuzia nyumba hawara au aliuzia? Hakununua meli bom au alinunua? mengine unajaribu kutaja wezi wenzie tu
Tusahau yaliyopita tujenge taifa.
Nimekwambia sina muda wa kufukua makaburi ya uvccm mimiTafuta makaburi yote unayoyajua mkuu, ila siku zote hiyo ndiyo misimamo yangu! Mimi nilikuwa mtu wa kwanza kabisa kuonesha nimechanja (Kabla hata chanjo hazijaja huko TZ), I posted a picture here, unaweza kuifukua pia......
Nimeuliza tu aliamua mwenyewe peke yake ?Hahaha, Mkuu hilo jambo ni la kuandikia Thesis kabisa ya PhD in political science, I don't want to go deep into it
Yes, asingeamua peke yake Slaa asingeondoka kwa namna alivyoondoka (Kumbuka hakuna connection imewahi kutokea nchi hii kwenye vyama vya upinzani kati ya Mkiti na Katibu kama ya Slaa na Mbowe)Nimeuliza tu aliamua mwenyewe peke yake ?
Pumbavu unafikiri pusi wa nyumbani kwako sisi.Kwa sababu lilijengwa ndani ya hifadhi milki ya Barabara , ni uchafu lilijengwa pahala pasipostahili kuwa na structure yeyote ya kudumu. Ni kama unavoona vibanda vya matching guys vikibomolewa, halinaaa tofauti. Next time badala ya kuleta uzi chonganishi jifunze kutii na kufuata sheria. LILIBOMOELWA kwa mujibu wa sheria
Nimeuliza tu aliamua peke yake ?Yes, asingeamua peke yake Slaa asingeondoka kwa namna alivyoondoka (Kumbuka hakuna connection imewahi kutokea nchi hii kwenye vyama vya upinzani kati ya Mkiti na Katibu kama ya Slaa na Mbowe)
ila yule jamaa aliwafanya watu wajiarishie kwenye skirt na suruali live.Mpaka leo sielewi kwa nini hili jengo lilibomolewa.
Nimefika hata nchi za nje, barabara inakatiza hadi katikati ya jengo, na jengo hili hata kwa barabara iliyopo Ubungo haijafikia liliko jengo lililobomolewa.
Kama si uhujumu sijui?
Mi nachokoza tu, wataalam tuambieni!
View attachment 1991013
kwa hiyo ulitaka hadi hiyo barabara pia ikatize katikati ya jengo? ili tuwe kama ulaya si eti? pumba za wapi hizi?Mpaka leo sielewi kwa nini hili jengo lilibomolewa.
Nimefika hata nchi za nje, barabara inakatiza hadi katikati ya jengo, na jengo hili hata kwa barabara iliyopo Ubungo haijafikia liliko jengo lililobomolewa.
Kama si uhujumu sijui?
Mi nachokoza tu, wataalam tuambieni!
View attachment 1991013
YesNimeuliza tu aliamua peke yake ?
Unajua maamuzi ya chama yanafaywa na nani ?
Kuna mtambo gani usawa wa jengo la Tanesco? Au mtambo gani wa umeme uko mdani yq hifadhu ya barabara?Pumbavu unafikiri pusi wa nyumbani kwako sisi.
Mbele kuna mtambo wa kufua umeme 45MW kwa nini haujabomolewa?
Halafu mbona barabara haijapita hapo kwenye jengo lililobomolewa.
Hadithi zako wahadithie pimbi wenzio.
Dingi kama yale maamuzi yangekuwa ya chama Katibu Mkuu asingeondoka, Mkiti aliamua liwalo na liwe lazima Lowasa awe mgombea urais wa chama!! Watu wote walikatazwa kuchukua fomu ya kuwa wagombea Urais. Lowasa alishindana na nani kwenye kura za maoni za CDM?Unajua maamuzi ya chama yanafaywa na nani ?
Kumbe hujui!Kuna mtambo gani usawa wa jengo la Tanesco? Au mtambo gani wa umeme uko mdani yq hifadhu ya barabara?
punguza mhemko itakusaidia kuficha upumbavuHakununua na wala hakuuza just like vile hakuvunja nyumba zenu na jengo la TANESCO akiwa waziri kwa sababu hakuwa na ubavu wa kwenda kinyume na wavunjifu wa sheria na watetea ushoga, udhalimu na ufisadi.