Jengo la TANESCO alilobomoa Magufuli, mpaka leo sielewi!

Jengo la TANESCO alilobomoa Magufuli, mpaka leo sielewi!

Kwahiyo Ulitaka hili nalo liachwe! Na lile na hilo, mwisho yote yaachwe, pamoja na ya kwake aliyo pindisha! Imagine, nchi itakuwa vipi!
Ila kule Mwanza sio nchi hii tunayoongelea? Au ndio Burundi kwenu?

Nachoamini ukiwa kiongozi na ukafanya maamuzi fulani kwa eneo fulani basi haupaswi kuwa na double standard. Magu alikuwa na double standard sehemu nyingi sana Hadi kwa watendaji wake unakuta Bashite na akina Hapi na Sabaya wanafanya upuuzi na anawaacha tu na kuwapa sofa hadharani Ila wengine anawafukuza kwa fedheha.

He was too much.
 
Huyo jamaa alikuwa anajali sheria? Yeye alikuwa ni kanyaga twende! Unajua huku chini tunalalamika sana kuhusu jamaa, ila chamoto walikuwa wanakiona akina Majaliwa na mawaziri wake, jamaa alikuwa hana staha kabisa, anatukana kila mtu!! Leo hii unapomsikia Majaliwa anakomaa Samia aendelee hadi 2030 ni kwamba haamini hii ahueni aliyopata, and hataki kusikia or kuona mambo waliyopitia yanajirudia 2025! Na 2030 watafanya kila aina ya figisu asiingie tena mtu wa type ya Marehemu
Marehemu kaumiza wengi sana
 
Kwani ilo jengo linawauma nini hasa? Zilibomolewa nyumba huko kimara kibao, pale pembeni kulikuwa na jengo la Wizara ya Maji nalo likabomolewa wala hamyaoengelei ayo lakini kutwa ilo jengo tu la Tanesci tena sio la shirika hapana! Shida nini haswa hapo?
Alikuwampumbafu kwanini alibomoe?
 
"Maslahi yake binafsi", mnajua wewe na nani? embu tujuze na sie tujue.
Unajua kama aliingilia mchakato wa uuzaji wa nyumba za serikali na kuwauzia nyumba kwa upendeleo baadhi ya watu ambao hawakuwa na sifa ya kuuziwa nyumba hizo akiwemo hawara wake na mdogo wake,pia alihusika na ufisadi katika ununuzi wa boti tena kwa gharama za juu boti iliyokusudiwa kufanya safari zake kati ya Dar na Bagamoyo kwa kununua boti mbovu ambayo haikuwahi kufanya kazi iliyokusudiwa hata siku moja hadi alipokuwa rais kwa kuficha aibu hiyo kubwa aliamua kuitoa kwa jeshi,hiyo ni machache tu lakini kafanya mengi.
 
Kuna wapumbavu wengi sana walivumisha hilo jengo la Lowassa. Matokeo yake ndo amri za kulivunja wakijua wanamkomoa Lowassa..

Hiii nchi upumbavu Una nguvu kuliko akili
Kwamba Magu hadi anavunja hilo jengo hakujua kua sio la Lowasa? Hii haiwezekani.
 
Kwahiyo Ulitaka hili nalo liachwe! Na lile na hilo, mwisho yote yaachwe, pamoja na ya kwake aliyo pindisha! Imagine, nchi itakuwa vipi!
Kama alikataza kubomolewa nyumba za aliowaita "wapiga kura wake" kule mwanza alishindwa nini pia kuliacha lile jengo ambalo ni mali ya umma!
Ni kibri na kule kujiona yeye ni mungu mtu ndio tatizo.
 
Kwamba Magu hadi anavunja hilo jengo hakujua kua sio la Lowasa? Hii haiwezekani.
Why mnamuoverrate huyo mtu? Alikuwa hashirikishi ubongo kwenye uamuzi wake, Sijui mnataka ushahidi gani nyie watu mjue huyo jamaa yenu alikuwa hafai, Msaidizi wake aliyemwamini kuliko wote ni Bashite (Unataka maelezo yeyote kuhusu mtu aliyemwamini Bashite kama msaidizi wake namba moja????!!!!!)
 
Why mnamuoverrate huyo mtu? Alikuwa hashirikishi ubongo kwenye uamuzi wake, Sijui mnataka ushahidi gani nyie watu mjue huyo jamaa yenu alikuwa hafai, Msaidizi wake aliyemwamini kuliko wote ni Bashite (Unataka maelezo yeyote kuhusu mtu aliyemwamini Bashite kama msaidizi wake namba moja????!!!!!)
Hehe..ukiacha kupumliwa kisogoni ndo utajua kwamba serikalini hakuwawa na mtu aitwaye Bashite, yote na yote, yeyote alomshauri JPM kutuongoza vile sisi watanzania tulimpenda na yeyote afanyaye kinyume ajiandae maana yajayo yanafurahisha.
 
Hehe..ukiacha kupumliwa kisogoni ndo utajua kwamba serikalini hakuwawa na mtu aitwaye Bashite, yote na yote, yeyote alomshauri JPM kutuongoza vile sisi watanzania tulimpenda na yeyote afanyaye kinyume ajiandae maana yajayo yanafurahisha.
Yajayo yepi chief? Kubali kuwa you are already fooked, wait for 2040....
 
Back
Top Bottom