Jengo la TANESCO alilobomoa Magufuli, mpaka leo sielewi!

Jengo la TANESCO alilobomoa Magufuli, mpaka leo sielewi!

Taahi.ra wewe...alipewa na nani kama sio sisi the majority? we ni nani wa kutupangia sisi watanzania tulio wengi tuongozwe na nani?
Hakustahili kupewa madaraka makubwa kama ya urais,alifaa kwenye nafasi ambazo kuna mtu wa kumdhibiti pale inapoonekana anaboronga.
 
Na Ramini tuliyowekewa wakati wa ujenzi haujaanza mbona sio hiyo ya dara lililopo kwa sasa?
 
Kwani ilo jengo linawauma nini hasa? Zilibomolewa nyumba huko kimara kibao, pale pembeni kulikuwa na jengo la Wizara ya Maji nalo likabomolewa wala hamyaoengelei ayo lakini kutwa ilo jengo tu la Tanesci tena sio la shirika hapana! Shida nini haswa hapo?
Tujulishe mkuu, unasema siyo la TANESCO, ni la nani?
Tena kwenye kiwanja cha Serikali?
 
Taahi.ra wewe...alipewa na nani kama sio sisi the majority? we ni nani wa kutupangia sisi watanzania tulio wengi tuongozwe na nani?
Wewe utakuwa ni miongoni mwa wale mazuzu.
Pole sana kwa kumpoteza mkuu wa mazuzu.
 
Alikuwa na roho ya kwanini hakupenda ionekane kuna mwingine zaidi kuliko yeye hivyo alivyozuiwa mara ya kwanza kulibomoa aliumizwa sana na alipoupata urais akaona atimize lengo lake na kuiridhisha nafsi yake kwamba yeye ndio zaidi.
Mtu ukiwa na roho mbaya ya asili unateseka sana.
Pride (but this one is of DESTRUCTION); of which is useless and maniac in nature.
 
Wewe utakuwa ni miongoni mwa wale mazuzu.
Pole sana kwa kumpoteza mkuu wa mazuzu.
Hehe..huwa siargue na wapumliwa visogoni mimi, alipiga marufuku vilainishi pia enh? utampenda vipi mla ngada wewe?
 
Kuna wapumbavu wengi sana walivumisha hilo jengo la Lowasa. Matokeo yake ndo amri za kulivunja wakijua wanamkomoa Lowasa..

Hiii nchi upumbavu Una nguvu kuliko akili
Na kile kitendo cha kupigwa stop na Mzee wa Msoga asilivunje alipokuwa waziri alikaa nacho rohoni kusubiria tuu, so alivyopata nafasi akataka kulipiza..
 
Alikuwa na roho ya kwanini hakupenda ionekane kuna mwingine zaidi kuliko yeye hivyo alivyozuiwa mara ya kwanza kulibomoa aliumizwa sana na alipoupata urais akaona atimize lengo lake na kuiridhisha nafsi yake kwamba yeye ndio zaidi.
Mtu ukiwa na roho mbaya ya asili unateseka sana.
Hivi alipo sema libomolewe mara ya kwanza, kabla ya kuwa Raisi - sababu zilikuwa zipi? Maana tusije kuwa tuna changia kwenye uvunjifu wa sheria za nchi!
Tena kweli, kwanini wezi, wabakaji, wauwaji, wanazuiwa kufanya kazi zao? Usikute hii ni roho mbaya ya viongozi na vyombo vya usalama na mahakama. Waache wafanye wanayotaka, maana hii nchi ya demokrasia! Ulaya na Marekani wana uhuru huo, lakini nchi zetu hizi - zimejaa roho mbaya! Ukitaka kujenga barabarani unazuiwa! Si wapite pembeni tu!
 
Taahi.ra wewe, umeanzisha uzi bila kujua hata unachokiandika? tukianika mambo ya hili jengo humu hao wanaowatuma watahimili? yajayo yanafurahisha.
Ndiyo maana tumeuliza swali rahisi tu.
Sasa taahira nani mwenye swali au anayeshindwa kujibu.
Halafu ni mijitu mijinga mijinga kama ninyi mnaweka vitu makwapani na kuvimba hadharani,
Sema kijana ueleweke.
 
Hivi alipo sema libomolewe mara ya kwanza, kabla ya kuwa Raisi - sababu zilikuwa zipi? Maana tusije kuwa tuna changia kwenye uvunjifu wa sheria za nchi!
Tena kweli, kwanini wezi, wabakaji, wauwaji, wanazuiwa kufanya kazi zao? Usikute hii ni roho mbaya ya viongozi na vyombo vya usalama na mahakama. Waache wafanye wanayotaka, maana hii nchi ya demokrasia! Ulaya na Marekani wana uhuru huo, lakini nchi zetu hizi - zimejaa roho mbaya! Ukitaka kujenga barabarani unazuiwa! Si wapite pembeni tu!
Ongezea na mashoga na wauza mihadarati afu wakikujibu hapa nitag mkuu.
 
Back
Top Bottom