Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Mwendazake alikuwa Psychopath na wivu pia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakustahili kupewa madaraka makubwa kama ya urais,alifaa kwenye nafasi ambazo kuna mtu wa kumdhibiti pale inapoonekana anaboronga.
Tujulishe mkuu, unasema siyo la TANESCO, ni la nani?Kwani ilo jengo linawauma nini hasa? Zilibomolewa nyumba huko kimara kibao, pale pembeni kulikuwa na jengo la Wizara ya Maji nalo likabomolewa wala hamyaoengelei ayo lakini kutwa ilo jengo tu la Tanesci tena sio la shirika hapana! Shida nini haswa hapo?
Wewe utakuwa ni miongoni mwa wale mazuzu.Taahi.ra wewe...alipewa na nani kama sio sisi the majority? we ni nani wa kutupangia sisi watanzania tulio wengi tuongozwe na nani?
Lilikuwa na faida gani kwa watanzania hilo jengo?Legacy ya kubomoa?
Pride (but this one is of DESTRUCTION); of which is useless and maniac in nature.Alikuwa na roho ya kwanini hakupenda ionekane kuna mwingine zaidi kuliko yeye hivyo alivyozuiwa mara ya kwanza kulibomoa aliumizwa sana na alipoupata urais akaona atimize lengo lake na kuiridhisha nafsi yake kwamba yeye ndio zaidi.
Mtu ukiwa na roho mbaya ya asili unateseka sana.
Hehe..huwa siargue na wapumliwa visogoni mimi, alipiga marufuku vilainishi pia enh? utampenda vipi mla ngada wewe?Wewe utakuwa ni miongoni mwa wale mazuzu.
Pole sana kwa kumpoteza mkuu wa mazuzu.
Halikuwa na faida kama ambavyo Ikulu haina faida.Lilikuwa na faida gani kwa watanzania hilo jengo?
Taahi.ra wewe, umeanzisha uzi bila kujua hata unachokiandika? tukianika mambo ya hili jengo humu hao wanaowatuma watahimili? yajayo yanafurahisha.Halikuwa na faida kama ambavyo Ikulu haina faida.
Kunywa maji kwa wingi halafu upumzike kidogo,yule keshaondoka na hawezi kurudi utapasuka bure.Hehe..huwa siargue na wapumliwa visogoni mimi, alipiga marufuku vilainishi pia enh? utampenda vipi mla ngada wewe?
Kweli wewe ZUZU 😂😂😂Lilikuwa na faida gani kwa watanzania hilo jengo?
Na kile kitendo cha kupigwa stop na Mzee wa Msoga asilivunje alipokuwa waziri alikaa nacho rohoni kusubiria tuu, so alivyopata nafasi akataka kulipiza..Kuna wapumbavu wengi sana walivumisha hilo jengo la Lowasa. Matokeo yake ndo amri za kulivunja wakijua wanamkomoa Lowasa..
Hiii nchi upumbavu Una nguvu kuliko akili
Hehehe...mtoto mchele.mchele utajua nini zaidi ya kupumliwa kisogoni?Kweli wewe ZUZU [emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi alipo sema libomolewe mara ya kwanza, kabla ya kuwa Raisi - sababu zilikuwa zipi? Maana tusije kuwa tuna changia kwenye uvunjifu wa sheria za nchi!Alikuwa na roho ya kwanini hakupenda ionekane kuna mwingine zaidi kuliko yeye hivyo alivyozuiwa mara ya kwanza kulibomoa aliumizwa sana na alipoupata urais akaona atimize lengo lake na kuiridhisha nafsi yake kwamba yeye ndio zaidi.
Mtu ukiwa na roho mbaya ya asili unateseka sana.
Ndiyo maana tumeuliza swali rahisi tu.Taahi.ra wewe, umeanzisha uzi bila kujua hata unachokiandika? tukianika mambo ya hili jengo humu hao wanaowatuma watahimili? yajayo yanafurahisha.
Exactly, alikuwa mpenda ligi sanaa...Alitaka kulibomoa alipokuwa waziri, JK na Pinda wakamzuia! Alipopata Uboss akabomoa makusudi ili kuwaonesha yeye ni nani!! Kati ya dhambi CCM hawatakuja kusamehewa ni kutuletea yule jamaa awe Rais wetu
Unahangaika bure tuu legacy ya mtu inaweza kupotezwa? Hivi unaweza kupoteza legacy ya Nyerere kwa porojo?Mnajifanya mnataka kupoteza legacy.......
ushuzi kweli huu....
Ongezea na mashoga na wauza mihadarati afu wakikujibu hapa nitag mkuu.Hivi alipo sema libomolewe mara ya kwanza, kabla ya kuwa Raisi - sababu zilikuwa zipi? Maana tusije kuwa tuna changia kwenye uvunjifu wa sheria za nchi!
Tena kweli, kwanini wezi, wabakaji, wauwaji, wanazuiwa kufanya kazi zao? Usikute hii ni roho mbaya ya viongozi na vyombo vya usalama na mahakama. Waache wafanye wanayotaka, maana hii nchi ya demokrasia! Ulaya na Marekani wana uhuru huo, lakini nchi zetu hizi - zimejaa roho mbaya! Ukitaka kujenga barabarani unazuiwa! Si wapite pembeni tu!