Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Kipindi cha jamaa yako kulikuwa na Mahakama? Kama sheria inawaruhusu wakienda sasa wanashindaKwani Kuna ambaye alionewa huko kimara , kama yupo aende mahakamani kudai haki yake. Mimi nachojua ni kwamba wa kimara walienda mahakamani kupinga wakashindwa.
Pure madness, kilichofanywa hakiwezi fanywa na mtu mwenye akili timamu, anayehurumia mali ya watanzania masikini.Marais kama Samia/Kikwete/Mkapa/Mwinyi hawawezi! Ila huyu aliyepita aliweza
Nadhani hujaielewa point yangu chiefPure madness, kilichofanywa hakiwezi fanywa na mtu mwenye akili timamu, anayehurumia mali ya watanzania masikini.
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza Ndg Dialo ali hint kuwa huyu jamaa alikuwa na faili Milembe, hizi ndio kithibitisho.
Angebomoa Ikulu akajenge Chato sijui mngesemaje.
Zile nyumba zilibomolewa kukiwa na stop order ya mahakama, fuatilis zaidi ujueKwani Kuna ambaye alionewa huko kimara , kama yupo aende mahakamani kudai haki yake. Mimi nachojua ni kwamba wa kimara walienda mahakamani kupinga wakashindwa.
sawa mkuu shukraniMtafute Bwege Atakwambia Maana Ya Mzilankende
Kwani ilo jengo linawauma nini hasa? Zilibomolewa nyumba huko kimara kibao, pale pembeni kulikuwa na jengo la Wizara ya Maji nalo likabomolewa wala hamyaoengelei ayo lakini kutwa ilo jengo tu la Tanesci tena sio la shirika hapana! Shida nini haswa hapo?Alitaka kulibomoa alipokuwa waziri, JK na Pinda wakamzuia! Alipopata Uboss akabomoa makusudi ili kuwaonesha yeye ni nani!! Kati ya dhambi CCM hawatakuja kusamehewa ni kutuletea yule jamaa awe Rais wetu
Ok nafikiri umeandika in converse!Nadhani hujaielewa point yangu chief
Atatokea mwendawazimu na kubomoa reli ya SGR ili ajenge nyingine.Maendeleo hayana Chama.. Tupige kazi usiku na mchana kama wachina.
Haa HaaAtatokea mwendawazimu na kubomoa reli ya SGR ili ajenge nyingine.
Kikwete alichoifanyia nchi hii kwa kumpa Urais Magufuli hatosamehewa kamweView attachment 1991013
Mpaka leo sielewi kwa nini hili jengo lilibomolewa.
Nimefika hata nchi za nje, barabara inakatiza hadi katikati ya jengo, na jengo hili hata kwa barabara iliyopo Ubungo haijafikia lilko jengo lililobomolew.
Kama si uhujumu sijui?
Mi nachokoza tu, wataalam tuambieni!
Hakika umeandika kweli tupu.Mi nalaani umasikini ndio unaosababisha watu kuwa na roho mbaya mno
Huyu hata ubaba wa familia hakuwa na sifa hizo.Hakustahili kupewa madaraka makubwa kama ya urais,alifaa kwenye nafasi ambazo kuna mtu wa kumdhibiti pale inapoonekana anaboronga.
Shida ni dhamira iliyokuwa nyuma ya ubomoaji wa hilo jengo, lilipaniwa haswaaa...! Na wakati anaamrisha libomolewe alisema alishindwa kubomoa akiwa waziri kwani Pinda alimzuia, ila kwa vile sasa yeye ni bosi basi analibomoaKwani ilo jengo linawauma nini hasa? Zilibomolewa nyumba huko kimara kibao, pale pembeni kulikuwa na jengo la Wizara ya Maji nalo likabomolewa wala hamyaoengelei ayo lakini kutwa ilo jengo tu la Tanesci tena sio la shirika hapana! Shida nini haswa hapo?
Hizi nyuzi zinawafikia funza na minyoo kule downTusahau yaliyopita tujenge taifa.
Kuna upuuzi mwingi Kikwete alifanya, unasameheka! Ila siyo huu wa kumweka jamaa kwenye Urais, aliua nchi, miaka 5 ya jamaa imevuruga mambo mengi sana, Watu wamekuwa waogaa, wanaswagwa kama mbuzi, 2015 and below hadi wanavyuo walikuwa wanaitunishia serikali na wanasikilizwa, leo hii hamna anayethubutu, kawarithisha na hawa akina Hangaya, japo mambo yanabadilika kwa sasa, ila itatake muda kidogo! ONA MAJIRANI ZETU WANAVYOJIACHIA NA NCHI YAO....Kikwete alichoifanyia nchi hii kwa kumpa Urais Magufuli hatosamehewa kamwe
Akiwa burundi,muhutuUsituvuruge Wewe
Akiwa Kayanga Karagwe Huko Ni Kwa Wazilankende
Akiwa Chettle, Mwanza Ni Ngosha Chapa Ng'ombe
Kodi zetu mkuu jengo la mamilioni unalibomoaje kingese bila sababuKwani ilo jengo linawauma nini hasa? Zilibomolewa nyumba huko kimara kibao, pale pembeni kulikuwa na jengo la Wizara ya Maji nalo likabomolewa wala hamyaoengelei ayo lakini kutwa ilo jengo tu la Tanesci tena sio la shirika hapana! Shida nini haswa hapo?
Ni jengo la shirika, acheni kudanganyana.Kwani ilo jengo linawauma nini hasa? Zilibomolewa nyumba huko kimara kibao, pale pembeni kulikuwa na jengo la Wizara ya Maji nalo likabomolewa wala hamyaoengelei ayo lakini kutwa ilo jengo tu la Tanesci tena sio la shirika hapana! Shida nini haswa hapo?