Jengo la TANESCO Chato, kubwa kuliko la Wilaya Temeke lenye wateja milioni na nusu

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594


Jengo la TANESCO Chato, wilaya yenye mji wa wakazi 28,000 tu, ni kubwa kubwa kupitiliza.

Wilaya ya Temeke ina wakazi milioni moja na nusu, lakini hakuna jengo la kutisha na huduma inaendelea.

Hizo ndio zilikuwa sera za upendeleo maalum Chato, alizoanzishwa na Mwendazake na henchman Kalemani.

Kwa hili kwa kweli Kalemani ashitakiwe kwa uhujumu uchumi na matumizi mabaya ya madaraka.

YALIYOJIRI
Waziri Mkuu amekataa kupokea jengo la TANESCO huko Kyerwa, Kagera.
Waziri Mkuu kwa maslahi ya Tsifa tembelea jengo la Chato.
 
Tanesco mkoa wa Chato, take note please
 
Ndio limeishia hapo au litaendelea kujengwa.....
 
Kwani jengo ndio linazalisha umeme?

Wivu tu.
 
Sioni shida, ni namna ya kufungua mikoa ambayo imeachwa nyuma kimaendeleo.

Hata Pinda alijenga airport Katavi, kwa wkati ule ilionekana ni anasa ila kwa sasa ni uwekezaji mzuri.

Kuna ubaya gani kujenga jengo kama hilo Chato?
Tusi uchekee upendeleo wa dhahiri na usio na tija.
Dar hapa kuna kata zina watu zaidi ya laki.
Ni heri kusema Sinza nao wajengewe jengo kama hilo la Chato, bado utaeleweka, kuliko watu elf 28,000 kuwajengea International Airport, Hospitali ya kimataifa na sasa madudu makubwa ambayo yangekuwa na faida zaidi katika uwekezaji wenye tija.
Kalemani ashitakiwe Kwa matumizi mabaya ya madaraka.
 
Ndio maana wakamtungua kabla hajaharibu nchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…