Jengo la TANESCO Chato, kubwa kuliko la Wilaya Temeke lenye wateja milioni na nusu

Jengo la TANESCO Chato, kubwa kuliko la Wilaya Temeke lenye wateja milioni na nusu

Kwenye mamiradi hayo ndiyo hela ipo

Watu wataishije...

Hamuoni kila siku tuna bomoa na kujenga mabarabara

Ova
 
Sioni shida, ni namna ya kufungua mikoa ambayo imeachwa nyuma kimaendeleo.

Hata Pinda alijenga airport Katavi, kwa wkati ule ilionekana ni anasa ila kwa sasa ni uwekezaji mzuri.

Kuna ubaya gani kujenga jengo kama hilo Chato?
Mikoa 'haifunguliwi' kienyeji hivyo, ingekuwa ni hivyo airport ya chato ingeshaufungua huo mkoa.
 
Kwa nini kuchelewa?Ahukumiwe kabla ya kushtakiwa.
Huu ufisadi ulikuwa unafichwa fichwa sasa Mwendazake hayupo ndio ukweli unaanza kuonekana.
Kisiasa hii ni dhambi kubwa kwa fedha ya watanzania.

Ni vyema serikali ya CCM ikachukua hatua za makusudi kuwachukulia hatua za kumshitaki Kalemani kwa uhujumu uchumi.
 
Kufika 2025 Chato ilipaswa Kuwa kadubai. Bado tukiyaambia tuwe na katiba mpya mazezeta hayaelewi!! Acha tuendelee kuichekesha dunia kwa uzuzu Wetumpka. Wateja tanesco MIL 3 Tz nzima so temeke hawafiki MIL 1 heading haikosawa
 
Sioni shida, ni namna ya kufungua mikoa ambayo imeachwa nyuma kimaendeleo.

Hata Pinda alijenga airport Katavi, kwa wkati ule ilionekana ni anasa ila kwa sasa ni uwekezaji mzuri.

Kuna ubaya gani kujenga jengo kama hilo Chato?

Rais Mstaafu Mkapa alikuwa Rais kwa miaka 10 lakini hakuna hata airstrip ya kutua ndege ndogo wala chopper Masasi kwake! Baba wa taifa alikuwa Rais kwa miaka 23 lakini kijijini kwake hakuwahi kuweka kiwanja cha kutua helicopter/chopper/ndege ndogo! Tafakari ni nani mzalendo kwani hata Mzee Ruksa hakuweka airport Kwake Michenzani!
 
Rais Mstaafu Mkapa alikuwa Rais kwa miaka 10 lakini hakuna hata airstrip ya kutua ndege ndogo wala chopper Masasi kwake! Baba wa taifa alikuwa Rais kwa miaka 23 lakini kijijini kwake hakuwahi kuweka kiwanja cha kutua helicopter/chopper/ndege ndogo! Tafakari ni nani mzalendo kwani hata Mzee Ruksa hakuweka airport Kwake Michenzani!
Huwezi kulinganisha mchango wa maendeleo wa mkoa wa Geita na Mtwara.
 
View attachment 1944399

Jengo la TANESCO Chato, wilaya yenye wakazi 28,000 tu, ni kubwa kubwa kupitiliza.

Wilaya ya Temeke ina wakazi milioni moja na nusu, lakini hakuna jengo la kutisha na huduma inaendelea.

Hizo ndio zilikuwa sera za upendeleo maalum Chato, alizoanzishwa na Mwendazake na henchman Kalemani.

Kwa hili kwa kweli Kalemani ashitakiwe kwa uhujumu uchumi na matumizi mabaya ya madaraka.
Sisi tukusaidiaje!!
 
Rais Mstaafu Mkapa alikuwa Rais kwa miaka 10 lakini hakuna hata airstrip ya kutua ndege ndogo wala chopper Masasi kwake! Baba wa taifa alikuwa Rais kwa miaka 23 lakini kijijini kwake hakuwahi kuweka kiwanja cha kutua helicopter/chopper/ndege ndogo! Tafakari ni nani mzalendo kwani hata Mzee Ruksa hakuweka airport Kwake Michenzani!
Ukweli hata Mwendazake inabidi aingie posthumous trial.
 
View attachment 1944399

Jengo la TANESCO Chato, wilaya yenye wakazi 28,000 tu, ni kubwa kubwa kupitiliza.

Wilaya ya Temeke ina wakazi milioni moja na nusu, lakini hakuna jengo la kutisha na huduma inaendelea.

Hizo ndio zilikuwa sera za upendeleo maalum Chato, alizoanzishwa na Mwendazake na henchman Kalemani.

Kwa hili kwa kweli Kalemani ashitakiwe kwa uhujumu uchumi na matumizi mabaya ya madaraka.
Si alikua anafuata maagizo toka juu, jamani hivi serikali ya mwendazake mnaisikia au mnakijua?
 
Are you serious.....!?
Unapodhaminiwa madaraka ni mwiko kujilimbikizia vitege uchumi , tena visivyozalisha kwenu.
Ni matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi.
Tena tulikamuliwa na ma Task Force kwa nguvu.
Kalemani ashitakiwe kwa matumizi mabaya ya madaraka.
 
Kama mwendazake alivyovunja jengo la TANESCO Ubungo bila sababu yoyote.
Lakini kama funzo Kalemani ashitakiwe kwa matumizi mabaya ya madaraka.
Ujinga mpya huo jengo la tanesco chato jipya lifanane na jengo la tanesco kinondoni lililojengwa mwaka 1967 ujinga gani huo na lengo ni kutengeneza mkoa wa chato umshitaki kalemani kwa lipi? kawekwa makamba subilini ujanja na mipango kama kawaida.
 
Ujinga mpya huo jengo la tanesco chato jipya lifanane na jengo la tanesco kinondoni lililojengwa mwaka 1967 ujinga gani huo na lengo ni kutengeneza mkoa wa chato umshitaki kalemani kwa lipi? kawekwa makamba subilini ujanja na mipango kama kawaida.
Mjinga ni wewe unayetafuna kokoto kwa meno ya wenzio.
Kama una ujanja wowote, tafuna kokoto kwa meno yako.
Na kama hukulielewa hilo ni budi Kalemani ashitakiwe tu kwa matumizi mabayabya madaraka.
 
Sioni shida, ni namna ya kufungua mikoa ambayo imeachwa nyuma kimaendeleo.

Hata Pinda alijenga airport Katavi, kwa wkati ule ilionekana ni anasa ila kwa sasa ni uwekezaji mzuri.

Kuna ubaya gani kujenga jengo kama hilo Chato?
Ile iliyosababisha ajali ya ngombe kugongwa na ndege?
 
Ujinga mpya huo jengo la tanesco chato jipya lifanane na jengo la tanesco kinondoni lililojengwa mwaka 1967 ujinga gani huo na lengo ni kutengeneza mkoa wa chato umshitaki kalemani kwa lipi? kawekwa makamba subilini ujanja na mipango kama kawaida.
Usitufanye watanzania wajinga.
Huu ni wizi wa mchana wa rasilmali za nchi.
Waziri mkuu yuko huko , hebu mwiteni aweke jiwe la msingi na tuone atakavyo mung'unya maneno kwa wizi huu.
 
ilo jengo limejengwa kwa ajili ya Ofisi na pia kwa ajili ya wafanyakazi kuishi na familia zao, wafanyakazi wote wa Tanesco hapo Chato wataishi ndani ya ilo jengo.

Taasisi zingine nazo ziige huu utaratibu.
 
Back
Top Bottom