Jengo la TANESCO Chato, kubwa kuliko la Wilaya Temeke lenye wateja milioni na nusu

Jengo la TANESCO Chato, kubwa kuliko la Wilaya Temeke lenye wateja milioni na nusu

ilo jengo limejengwa kwa ajili ya Ofisi na pia kwa ajili ya wafanyakazi kuishi na familia zao, wafanyakazi wote wa Tanesco hapo Chato wataishi ndani ya ilo jengo.

Taasisi zingine nazo ziige huu utaratibu.
Kwanini waishi humo ikiwa wanalipwa mishahara na housing allowance? Kwanini watumishi wa sekta nyingine hawapewi hiyo huduma na kwanini Chato pekee?

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Ila hawa jamaa walikuwa wapuuzi kupitiliza sasa jengo kama hilo manufaa yake ni yapi

Yaani badala ya kusambaza umeme wenyewe wakajenga jengo kubwa la Tanesco

Kumbe ndio maana kuna kipindi Zitto aliwahi kusema kuwa tumechagua washamba & malimbukeni
 
Ila hawa jamaa walikuwa wapuuzi kupitiliza sasa jengo kama hilo manufaa yake ni yapi

Yaani badala ya kusambaza umeme wenyewe wakajenga jengo kubwa la Tanesco

Kumbe ndio maana kuna kipindi Zitto aliwahi kusema kuwa tumechagua washamba & malimbukeni
Washamba ndivyo waliwao!
Mradi umepitishwa na Bunge la Chao?
 
Ila hawa jamaa walikuwa wapuuzi kupitiliza sasa jengo kama hilo manufaa yake ni yapi

Yaani badala ya kusambaza umeme wenyewe wakajenga jengo kubwa la Tanesco

Kumbe ndio maana kuna kipindi Zitto aliwahi kusema kuwa tumechagua washamba & malimbukeni
Mkuu si upuuzi tu, ni ufisadi.
Mamlaka waliyoaminiwa wameyatumia kupora fedha za watanzania.
Kalemani lazima ashitakiwe kwa matumizi mabaya ya madaraka.
 
We mpumbavu nini?

Wenzio wametizama miaka 30 mbele, unataka lijengwe dogo ili miaka 15 baadae wabomoe wajenge Tena?
Wewe nfio mpumbavu maana kwa watu 28,000 wa Chato ambao 99% ni wakulima opputunity cost ya jengo na matumizi yake baada ya hiyo miaka 30 ni sawa na sifuri.
Ulafi na upendeleo ndio unawasumbua nyie kizazi cha nyoka wa Chato.
Kalemani lazima ashitakiwe kwa matumizi mabaya ya madaraka.
 
View attachment 1944399

Jengo la TANESCO Chato, wilaya yenye wakazi 28,000 tu, ni kubwa kubwa kupitiliza.

Wilaya ya Temeke ina wakazi milioni moja na nusu, lakini hakuna jengo la kutisha na huduma inaendelea.

Hizo ndio zilikuwa sera za upendeleo maalum Chato, alizoanzishwa na Mwendazake na henchman Kalemani.

Kwa hili kwa kweli Kalemani ashitakiwe kwa uhujumu uchumi na matumizi mabaya ya madaraka.
Ardhi ya Chato iko Tanzania kwani kuna ubaya gani!?
 
Wewe nfio mpumbavu maana kwa watu 28,000 wa Chato ambao 99% ni wakulima opputunity cost ya jengo na matumizi yake baada ya hiyo miaka 30 ni sawa na sifuri.
Ulafi na upendeleo ndio unawasumbua nyie kizazi cha nyoka wa Chato.
Kalemani lazima ashitakiwe kwa matumizi mabaya ya madaraka.
Unaweza ukashangaa umeshitakiwa wewe kwa kesi ya huyo kalemani, au ukapewa kesi ya ubakaji na ulawiti kwa kibinti cha kidato cha pili.

Ukae kwa kutulia kijana.
 
Syo swala la ardhi kuwa tanzania ni je ukubwa wake unaendana na idadi ya watu litakaowahudumia?
Tujenge hoja hujui kuwa kuna population growth and development!? Sisi tunaangalia future economic strategy
 
Wakazi elfu 28...ilipataje hadhi ya kua wilaya?
au ndo tunatafta ht point za kuokoteza ilimradi ku make a point?
According to sensa ya 2012 chato ina wakazi 365,000 now wanaweka kua wamefika 500,000.
Point nzuri ila unapoweka na uongo inaondoa integrity na authentic ya habari husika na kuifanya iwe km soga, majungu au fitina visivyo na mantiki.
na watu wote wanaojadili kwa mihemko hii hoja bila kupata data kamili now wanakua wamekosa weledi..
 
View attachment 1944399

Jengo la TANESCO Chato, wilaya yenye wakazi 28,000 tu, ni kubwa kubwa kupitiliza.

Wilaya ya Temeke ina wakazi milioni moja na nusu, lakini hakuna jengo la kutisha na huduma inaendelea.

Hizo ndio zilikuwa sera za upendeleo maalum Chato, alizoanzishwa na Mwendazake na henchman Kalemani.

Kwa hili kwa kweli Kalemani ashitakiwe kwa uhujumu uchumi na matumizi mabaya ya madaraka.

sasa miaka yote kutakua na watu 28K tu?
 
Wakazi elfu 28...ilipataje hadhi ya kua wilaya?
au ndo tunatafta ht point za kuokoteza ilimradi ku make a point?
According to sensa ya 2012 chato ina wakazi 365,000 now wanaweka kua wamefika 500,000.
Point nzuri ila unapoweka na uongo inaondoa integrity na authentic ya habari husika na kuifanya iwe km soga, majungu au fitina visivyo na mantiki.
Vizur Mkuu ukweli mtupu ,tatizo vijana wanaendeshwa na siasa kuliko uhalisia ,MTU anapinga maendeleo bila reason ya msingi..
 
Unaweza ukashangaa umeshitakiwa wewe kwa kesi ya huyo kalemani, au ukapewa kesi ya ubakaji na ulawiti kwa kibinti cha kidato cha pili.

Ukae kwa kutulia kijana.
Natumaini kuanzia Bunge watsona huu wizi wa kuaminiwa.
Kalemani ashitakiwe kwa matumizi mabaya ya madaraka.
 
View attachment 1944399

Jengo la TANESCO Chato, wilaya yenye wakazi 28,000 tu, ni kubwa kubwa kupitiliza.

Wilaya ya Temeke ina wakazi milioni moja na nusu, lakini hakuna jengo la kutisha na huduma inaendelea.

Hizo ndio zilikuwa sera za upendeleo maalum Chato, alizoanzishwa na Mwendazake na henchman Kalemani.

Kwa hili kwa kweli Kalemani ashitakiwe kwa uhujumu uchumi na matumizi mabaya ya madaraka.
Marehemu alikua mtu wa hovyohovyo,alifikiria kujaza majengo huko kichakani kwao ni kukuza uchumi,wakti kawaacha watu wake bado makapurwa tu
 
Wakazi elfu 28...ilipataje hadhi ya kua wilaya?
au ndo tunatafta ht point za kuokoteza ilimradi ku make a point?
According to sensa ya 2012 chato ina wakazi 365,000 now wanaweka kua wamefika 500,000.
Point nzuri ila unapoweka na uongo inaondoa integrity na authentic ya habari husika na kuifanya iwe km soga, majungu au fitina visivyo na mantiki.
na watu wote wanaojadili kwa mihemko hii hoja bila kupata data kamili now wanakua wamekosa weledi..
Awamu ya Tano awamu ya wezi wa kuaminiwa na walaghai.
Miradi imelundikwa kwa watu 28,000 bila ridhaa ya bunge..Huu wizi wabunge wetu wamelaka?
 
Awamu ya Tano awamu ya wezi wa kuaminiwa na walaghai.
Miradi imelundikwa kwa watu 28,000 bila ridhaa ya bunge..Huu wizi wabunge wetu wamelaka?
unaweza kudhibitisha kua Chato ina watu 28,000?na km ina watu hao iliwezaje kupata hadhi ya wilaya?au hujui ht vigezo vya kua wilaya?
Na ni nani alikuambia miradi ya mashirika ya uma inapitia bungeni?
 
unaweza kudhibitisha kua Chato ina watu 28,000?na km ina watu hao iliwezaje kupata hadhi ya wilaya?au hujui ht vigezo vya kua wilaya?
Na ni nani alikuambia miradi ya mashirika ya uma inapitia bungeni?
Mwulize mwendazake anajua kila kitu.
 
Back
Top Bottom