Jengo la TANESCO Chato, kubwa kuliko la Wilaya Temeke lenye wateja milioni na nusu

Jengo la TANESCO Chato, kubwa kuliko la Wilaya Temeke lenye wateja milioni na nusu

Aliamuriwa ajenge na mwenda zake,kesi imekwisha.
Katika kesi za Nuremberg 1946, wauaji wa Hitler walitumia utetezi kama huo.
Haukukubalika maana kila nafsi inayo uamuzi wa kutenda mema na mabaya.
Na mtu anashitakiwa kwa kile litendo kiovu alichoshiriki kukitenda.
Kalemani ashitakiwe kwa matumizi mabaya ya madaraka.
 
Chato nzima Ina raia waziozidi 360,000

Nb: hao Ni raia wote wazee,watoto,vijana n.k

Sio watumiaji umeme.
 
Bora jengo Kama Hilo huko chato. Ipo siku litatumika

Sio kujilimbikizia Mali Kama familia za baadhi ya marais
 
Kutumia fedha bila kibali cha bunge ni uhujumu uchumi.
Kalemaninkweli ashitakiwe.
Ametumia kufanya Nini.


Tz hii Kuna wezi na mafisadi wangap wanatumia pesa za serikali kwa matumbo yao?

Bora hata huyo amejenga kwa akili ya umma !! Mimi kwangu sio tatizo.

Tatizo ni wale wanajenga Mali zao binafsi
 
Bora jengo Kama Hilo huko chato. Ipo siku litatumika

Sio kujilimbikizia Mali Kama familia za baadhi ya marais
Kutumia fedha bila kibali cha bunge ni uhujumu uchumi.
Kalemaninkweli ashitakiwe.
Ametumia kufanya Nini.


Tz hii Kuna wezi na mafisadi wangap wanatumia pesa za serikali kwa matumbo yao?

Bora hata huyo amejenga kwa akili ya umma !! Mimi kwangu sio tatizo.

Tatizo ni wale wanajenga Mali zao binafsi
Hela ya serikali si utashi wa mtu.
Kama haikuidhinishwa matumizi hilo tayari ni kosa la jinai.
Kalemani hapo anatakiwa na Pilato.
 
[emoji16][emoji16][emoji16]

Juzi nimewasikia wazee kwenye kijiwe cha kahawa chato stand wanalalama eti sasa kila kitu ni Zanzibar!
 
Mnawivu eti Kila kitu Dah.
Acheni Chato nao wafaidi
Hakuna shida ukifaidi kwa pesa yako.
Fedha za kodi ya Watanzania matumizi yake laxima yapitishwe na bunge.
Kinyume na hivyo ni uhujumu uchumi.
Kalemani ashitakiwe.
 
Gharama za ujenzi chato ni ndogo kuliko gharama za Dar, simple like that kwanini wajinyime wakati maeneo wanayo.
 
Hizo ndio zilikua white elephant project za Dikteta uchwara

Taratibu tunaisahau Chato! Inasikika mara moja kwa mwezi hadi tutaanza kuisahau kabisa.
 
View attachment 1944399

Jengo la TANESCO Chato, wilaya yenye wakazi 28,000 tu, ni kubwa kubwa kupitiliza.

Wilaya ya Temeke ina wakazi milioni moja na nusu, lakini hakuna jengo la kutisha na huduma inaendelea.

Hizo ndio zilikuwa sera za upendeleo maalum Chato, alizoanzishwa na Mwendazake na henchman Kalemani.

Kwa hili kwa kweli Kalemani ashitakiwe kwa uhujumu uchumi na matumizi mabaya ya madaraka.
EeeeHeee!

Jengo lenyewe linatisha kwa mwonekano wake pekee!
 
Back
Top Bottom