Jengo la TANESCO lilibomolewa kwa Siasa na siyo kupisha Ujenzi

Jengo la TANESCO lilibomolewa kwa Siasa na siyo kupisha Ujenzi

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Wakuu, nimepita mara kadhaa pale kwenye jengo la TANESCO Ubungo Maji nikaishia kushangaa tu kwanini Mwendazake alikomaa sana lile jengo libomolewe na kile kilichoitwa kupisha ujenzi wa 'Flyover' iliyopewa jina la swahiba wake hayati 'Kijazio'.

Kimsingi ukipita pale utaona ni kiasi gani motive za siasa zilitumika katika kulivunja jengo la mbele la ofisi hizo. Kwa sababu licha jengo hilo kuwa karibu na barabara lakini halikuwa na madhara yoyote na hata lingeachwa lisingezuia ujenzi huo kwasababu bado kuna nafasi kubwa ya kutosha kupitisha barabara ya one-way pale na jengo likiwepo.

Kwa mtazamo wangu, Serikali iliingizwa kwenye gharama zisizo na msingi wowote kwenye ubomoaji wa lile jengo kwa maagizo ya mzee chato.
 
Wakuu, nimepita mara kadhaa pale kwenye jengo la TANESCO Ubungo Maji nikaishia kushangaa tu kwanini Mwendazake alikomaa sana lile jengo libomolewe na kile kilichoitwa kupisha ujenzi wa 'Flyover' iliyopewa jina la swahiba wake hayati 'Kijazio'.

Kimsingi ukipita pale utaona ni kiasi gani motive za siasa zilitumika katika kulivunja jengo la mbele la ofisi hizo. Kwa sababu licha jengo hilo kuwa karibu na barabara lakini halikuwa na madhara yoyote na hata lingeachwa lisingezuia ujenzi huo kwasababu bado kuna nafasi kubwa ya kutosha kupitisha barabara ya one-way pale na jengo likiwepo.

Kwa mtazamo wangu, Serikali iliingizwa kwenye gharama zisizo na msingi wowote kwenye ubomoaji wa lile jengo kwa maagizo ya mzee chato.
Lilibomolewa na kichaa, mtu mzima na akili zake huwezi kufanya hivyo. He was a mad man!
 
Kwa sababu licha jengo hilo kuwa karibu na barabara lakini halikuwa na madhara yoyote na hata lingeachwa lisingezuia ujenzi huo kwasababu bado kuna nafasi kubwa ya kutosha kupitisha barabara ya one-way pale na jengo likiwepo.

Kwa mtazamo wangu, Serikali iliingizwa kwenye gharama zisizo na msingi wowote kwenye ubomoaji wa lile jengo kwa maagizo ya mzee chato.
Yaliyopita si ndwele tugange yajayo
 
K
JPM hakuwa sawa kichwani.. mi alipotaka kumpa mama yake yule mzee aliyemgaia kuku kule Kusini ndio nilithibitisha mazima kwamba jamaa alikuwa chizi
Kwamba mzee alikuwa anakabidhiwa mzigo kwa utamu wa kuku
 
Umefanyaje utafiti wako?
1669721749271.png
 
Hivi we una shida gani? Jengo unalosema limebomolewa Wala si kweli? Jengo lipo kwa taarifa yako jengo Ni la mzee mweupe mwenye mvi alivyoona jengo litadondoka kweli akatinga ofisi ya raia namba moja kipindi hicho akaomba isitokee hivyo. Namba one Raia akaona POA isitoshe white hair akaahidi kuhamia huko ufipani. Basi likaachwa

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Hivi we una shida gani? Jengo unalosema limebomolewa Wala si kweli? Jengo lipo kwa taarifa yako jengo Ni la mzee mweupe mwenye mvi alivyoona jengo litadondoka kweli akatinga ofisi ya raia namba moja kipindi hicho akaomba isitokee hivyo. Namba one Raia akaona POA isitoshe white hair akaahidi kuhamia huko ufipani. Basi likaachwa

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Usichokijua limebomolewa nusu na nusu imebaki.
 
Wakuu, nimepita mara kadhaa pale kwenye jengo la TANESCO Ubungo Maji nikaishia kushangaa tu kwanini Mwendazake alikomaa sana lile jengo libomolewe na kile kilichoitwa kupisha ujenzi wa 'Flyover' iliyopewa jina la swahiba wake hayati 'Kijazio'.

Kimsingi ukipita pale utaona ni kiasi gani motive za siasa zilitumika katika kulivunja jengo la mbele la ofisi hizo. Kwa sababu licha jengo hilo kuwa karibu na barabara lakini halikuwa na madhara yoyote na hata lingeachwa lisingezuia ujenzi huo kwasababu bado kuna nafasi kubwa ya kutosha kupitisha barabara ya one-way pale na jengo likiwepo.

Kwa mtazamo wangu, Serikali iliingizwa kwenye gharama zisizo na msingi wowote kwenye ubomoaji wa lile jengo kwa maagizo ya mzee chato.
MZEE WA CHATO ILIBAKI KIDOGO AHAMISHE BAHARI IENDE CHATO
 
Back
Top Bottom