Jengo la TANESCO lilibomolewa kwa Siasa na siyo kupisha Ujenzi

Jengo la TANESCO lilibomolewa kwa Siasa na siyo kupisha Ujenzi

Yamkini wewe ni mgeni hapa mjini; sehemu ya mbele ya ile ghorofa ilikua demolished ndo mana hata Sasa watu wanahofia usalama wa kuitumia lile jengo! Uliza waliokutangulia mjini
Labda pia hujui kama stand kuu ya Dala Dala ubungo ilikua Kabla ya lile jengo au vilipakana
Na labda hujui kuwa panapo madaraja (interchange) bridge palikua na mataa ya kuongozea magari.
Kama sio chuo kimekuleta mjini Basi itakua uko kwa shemeji yako likizo!
[emoji3][emoji3]
 
Lile Jengo ni la Mamvi, ndio Maana Mwendakuzimu alikomaa libomolewe
Mamvi aliporudi Kwenye Chama Cha Mataahira, Ubomoaji ukasitishwa
Jengo ni Mali ya Imma kupitia TANESCO
 
MBONA JENGO BADO LIPO NA NI OFISI ZA KAZ ZA WATU .....

JENGO LA TANESCO UBUNGO MAJI PEMBENI KARIBU NA KITUO CHA MWENDOKASI UBUNGO MAJI BADO LIPO .......
Habari za Kazuramimba? Mnapokuja Dar es Salaam muwe mnauliza wenyeji.

Pole
 
KUNA MSHAMBA MMOJA HUYU Watu8 ANAKWAMBIA JENGO LIMEVUNJWA WAKATI TUNAPITA NA KULIONA.
DHUMUNI LA MAGU ILIKUWA KUVUNJA JENGO LILE KUBWA LOTE. KUNA MSHAMBA HAPO JUU ANAKWAMBIA LIMEVUNJWA JENGO DOGO🤣🤣🤣
SASA KAMA WAMEVUNJA DOGO KWA NINI TANESCO WALIHAMA WAKATI JENGO KUBWA LIPO??
Rudi kwenu Nangurukulu Dar siyo saizi yako. Unabishana mambo usiyoyajua na unakomaa mpaka mishipa inakutoka.

Facts ni hizi hapa;
1. Kulikuwa na majengo pacha. La mbele na la nyuma

2. Lakini yalikuwa na muunganiko kama mapacha walioungana (conjoined twins)

3. Jengo la mbele ndiyo lilibomolewa na la nyuma likabaki.

4. Sehemu iliyobaki haitumiki kwa vile yaweza kuwa safety and health hazard kwa kuwa yaliungana previously.

5. Kuna marekebisho inabidi yafanyike kwanza kabla ya kutumika na wafanyakazi.

All in all Magufuli was sick mentally to undertake the demolition
 
Rudi kwenu Nangurukulu Dar siyo saizi yako. Unabishana mambo usiyoyajua na unakomaa mpaka mishipa inakutoka.

Facts ni hizi hapa;
1. Kulikuwa na majengo pacha. La mbele na la nyuma

2. Lakini yalikuwa na muunganiko kama waapacha walioungana (conjoined twins)

3. Jengo la mbele ndiyo lilibomolewa na la nyuma likabaki.

4. Sehemu iliyobaki haitumiki kwa vile yaweza kuwa safety and health risk kwa kuwa yaliungana previously.

5. Kuna marekebisho inabidi yaganyike kwanza kabla ya kutumika na wafanyakazi.

All in all Magufuli was sick mentally to undertake the demolition
Watu kama hawa inabidi kuwafundisha kwa vitendo na mifano hai. Hiyo ni baada ya kubomolewa na kabla ya kubomolewa labda wataelewa na kuacha kubisha.
20221201_093538.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rudi kwenu Nangurukulu Dar siyo saizi yako. Unabishana mambo usiyoyajua na unakomaa mpaka mishipa inakutoka.

Facts ni hizi hapa;
1. Kulikuwa na majengo pacha. La mbele na la nyuma

2. Lakini yalikuwa na muunganiko kama waapacha walioungana (conjoined twins)

3. Jengo la mbele ndiyo lilibomolewa na la nyuma likabaki.

4. Sehemu iliyobaki haitumiki kwa vile yaweza kuwa safety and health risk kwa kuwa yaliungana previously.

5. Kuna marekebisho inabidi yaganyike kwanza kabla ya kutumika na wafanyakazi.

All in all Magufuli was sick mentally to undertake the demolition
AKILI NDOGO NDOGO NDO HUWA MNAONGOZA KUKARIRI MAJENGO NA MITAA,HIVI MTU NA AKILI ZAKE TIMAMU ANASHUPAZA MISHIPA YA SHINGO KULIA LIA KISA JENGO LA TANESCO?? AFU KINGINE MSHUKURU SHEMEJI YAKO KUKULETA MJINI
 
Hivi we una shida gani? Jengo unalosema limebomolewa Wala si kweli? Jengo lipo kwa taarifa yako jengo Ni la mzee mweupe mwenye mvi alivyoona jengo litadondoka kweli akatinga ofisi ya raia namba moja kipindi hicho akaomba isitokee hivyo. Namba one Raia akaona POA isitoshe white hair akaahidi kuhamia huko ufipani. Basi likaachwa

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Uongo, umefika Dar lini wewe?
 
Back
Top Bottom