Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
MBONA LILE JENGO BADO NALIONA JAPO HAKITUMIKI?? AU ULE NI MZIMU WA JENGO HUSIKA???
Karibu sana Dar es Salaam...
Huko Matombo utokako wazima wote?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MBONA LILE JENGO BADO NALIONA JAPO HAKITUMIKI?? AU ULE NI MZIMU WA JENGO HUSIKA???
Hivi we una shida gani? Jengo unalosema limebomolewa Wala si kweli? Jengo lipo kwa taarifa yako jengo Ni la mzee mweupe mwenye mvi alivyoona jengo litadondoka kweli akatinga ofisi ya raia namba moja kipindi hicho akaomba isitokee hivyo. Namba one Raia akaona POA isitoshe white hair akaahidi kuhamia huko ufipani. Basi likaachwa
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
PUNGUZA USHAMBA SIO KILA ANAEKAA DAR BAS ANAPAJUA UBUNGO MAJIKaribu sana Dar es Salaam...
Huko Matombo utokako wazima wote?
PUNGUZA USHAMBA SIO KILA ANAEKAA DAR BAS ANAPAJUA UBUNGO MAJI
Pale tumepigwa design ya fly over iliyokuwa kwenye picha siyo hii iliyojengwa so kuna njia wameziondoa ambazo zingefanya ipite karibu na lile jengo.Wakuu, nimepita mara kadhaa pale kwenye jengo la TANESCO Ubungo Maji nikaishia kushangaa tu kwanini Mwendazake alikomaa sana lile jengo libomolewe na kile kilichoitwa kupisha ujenzi wa 'Flyover' iliyopewa jina la swahiba wake hayati 'Kijazio'.
Kimsingi ukipita pale utaona ni kiasi gani motive za siasa zilitumika katika kulivunja jengo la mbele la ofisi hizo. Kwa sababu licha jengo hilo kuwa karibu na barabara lakini halikuwa na madhara yoyote na hata lingeachwa lisingezuia ujenzi huo kwasababu bado kuna nafasi kubwa ya kutosha kupitisha barabara ya one-way pale na jengo likiwepo.
Kwa mtazamo wangu, Serikali iliingizwa kwenye gharama zisizo na msingi wowote kwenye ubomoaji wa lile jengo kwa maagizo ya mzee chato.
Lile Jengo ni la Mamvi, ndio Maana Mwendakuzimu alikomaa libomoleweWakuu, nimepita mara kadhaa pale kwenye jengo la TANESCO Ubungo Maji nikaishia kushangaa tu kwanini Mwendazake alikomaa sana lile jengo libomolewe na kile kilichoitwa kupisha ujenzi wa 'Flyover' iliyopewa jina la swahiba wake hayati 'Kijazio'.
Kimsingi ukipita pale utaona ni kiasi gani motive za siasa zilitumika katika kulivunja jengo la mbele la ofisi hizo. Kwa sababu licha jengo hilo kuwa karibu na barabara lakini halikuwa na madhara yoyote na hata lingeachwa lisingezuia ujenzi huo kwasababu bado kuna nafasi kubwa ya kutosha kupitisha barabara ya one-way pale na jengo likiwepo.
Kwa mtazamo wangu, Serikali iliingizwa kwenye gharama zisizo na msingi wowote kwenye ubomoaji wa lile jengo kwa maagizo ya mzee chato.
Taaluma ya mkosoaji ni kufua boxer za AmsterdamUnataaluma gani?
Sawa mkuuKaribu sana Dar es Salaam, habari utokako huko Iselamagazi?
unatetea nini wewe ?Wahandisi waliobobea tena wazalendo watupe jibu. Kama huna hiyo fani jinyamazie na hutapoteza lolote.
Utani wa kumusisha mama mzazi yule chizi bhana..na vyeti anavyo vya uthibitisho wa kuwa mwehuchizi ni wewe usiyejua utani ni upi na jambo serious ni lipi.
Utani wa kumusisha mama mzazi yule chizi bhana..na vyeti anavyo vya uthibitisho wa kuwa mwehu
Yamkini wewe ni mgeni hapa mjini; sehemu ya mbele ya ile ghorofa ilikua demolished ndo mana hata Sasa watu wanahofia usalama wa kuitumia lile jengo! Uliza waliokutangulia mjiniHivi we una shida gani? Jengo unalosema limebomolewa Wala si kweli? Jengo lipo kwa taarifa yako jengo Ni la mzee mweupe mwenye mvi alivyoona jengo litadondoka kweli akatinga ofisi ya raia namba moja kipindi hicho akaomba isitokee hivyo. Namba one Raia akaona POA isitoshe white hair akaahidi kuhamia huko ufipani. Basi likaachwa
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Hii ni research au hisia? Nadhani ulipaswa kwenda deep kidogo kufahamu kama unachokifahamu ndio fact then conclude.Wakuu, nimepita mara kadhaa pale kwenye jengo la TANESCO Ubungo Maji nikaishia kushangaa tu kwanini Mwendazake alikomaa sana lile jengo libomolewe na kile kilichoitwa kupisha ujenzi wa 'Flyover' iliyopewa jina la swahiba wake hayati 'Kijazio'.
Kimsingi ukipita pale utaona ni kiasi gani motive za siasa zilitumika katika kulivunja jengo la mbele la ofisi hizo. Kwa sababu licha jengo hilo kuwa karibu na barabara lakini halikuwa na madhara yoyote na hata lingeachwa lisingezuia ujenzi huo kwasababu bado kuna nafasi kubwa ya kutosha kupitisha barabara ya one-way pale na jengo likiwepo.
Kwa mtazamo wangu, Serikali iliingizwa kwenye gharama zisizo na msingi wowote kwenye ubomoaji wa lile jengo kwa maagizo ya mzee chato.
Mrizidisha mbwembwe na madaharu, baada ya kula na kusaza vihepe!! madharau sana! kwa jakaya Mrisho kikwete!! mkwere akaona isiwe tabu ngoja awaletee ''chuma hikiiii!!JPM hakuwa sawa kichwani.