Jengo la TRA Mnazi Mmoja laungua moto

Jengo la TRA Mnazi Mmoja laungua moto

Wacha Trump atukane Waaafrika!
Hapo hela zishapigwa vya kutosha na kutisha!
Ushahidi wote MOTO!
SA100 2025!
 
Jengo La TRA _Kariakoo Linawaka Moto Mda Huu 😭😭😭
1738256482472.jpg
 
Inamuhusu nini kuungua kwa jengo?

Mna roho mbaya kwa Uislam wake tu.

Tuliokueepo wakati wa nyerere, ilichomwa moto benki kuu na wizara ya mambo ya ndani na hakuna aliyenyua sauti.

Msifikiri mahasidi hatuwafahamu.
Punguza munkali bibi
 
Nazan watu wake wapo umu sisi tunapo toa utabiri waaono yetu basi wao wanatakiwa kuweka umakin Ili kuzuia ilo mkuu
Nabii wa kweli huwa si muoga, kile anachooneshwa lazima akawajulishe watu wa usalama na sio watu wa usalama wasubiri nyuzi za jf ndio wachukue hatua.

Jitahidi mpendwa ufikishe ujumbe kwa afande Muliro utaokoa wengi wasiathirike na majanga.
 
Kuna muda watu mnaumiza vichwa vyenu bure tu.

Hayo mafaili yachomwe sasa kwa kumuogopa nani?

Angekuwepo Magu tungesema wanamuogopa Magu, ila nani kwa sasa ni tishio kiasi hiko hadi mtu achukue risk kubwa kama hio?
Ndio ubaya wa one man army.. staring akifa na na muvi imeisha..
 
WAcheni negative perception dhidi ya Serikali kila wakati, Je hamjaona mtu nyumba yake inaungua na anazimia au kufa kabisa, huwa anachoma ili kuficha? kwanini serikali soko likiungua au ofisi mnakimbilia kuona si ajali ?
Wezi huteteana
 
Back
Top Bottom