Peaceforever
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,030
- 2,200
Walifunguliwa mashtaka waliofanya huo uhalifu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walifunguliwa mashtaka waliofanya huo uhalifu?
Hata historia huijui!!! Na huna kumbu kumbu kabisa!
BOT iliungua kipindi cha mwalimu!!
Au madras.. ilikuchanganya
Kuna muda watu mnaumiza vichwa vyenu bure tu.Kuna mengi Sana mkuu..Kuna walakini mkubwa.
Waambie ukweli hao. Wana rohombaya sana.Inamuhusu nini kuungua kwa jengo?
Mna roho mbaya kwa Uislam wake tu.
Tuliokueepo wakati wa nyerere, ilichomwa moto benki kuu na wizara ya mambo ya ndani na hakuna aliyenyua sauti.
Msifikiri mahasidi hatuwafahamu.
Kwamba Cloud Servers ni Literally in the Clouds ?Server ipo mawinguni, hakuna kuanza upya. Tutaendelea tulipoishia
Hahahahaah Sio kweliJengo La TRA _Kariakoo Linawaka Moto Mda Huu 😭😭😭
Umeshatoa taarifa kwa afande Muliro?Hizi ajali mwaka Jana nilizisema watu wakasema ngonjela nyingi,hii ndo ya kwanza tuliombee sana taifa letu,walio iona Ile Uzi wangu wanalijua Ili ajali zipo 6 hii ni first Bado five
Punguza munkali bibiInamuhusu nini kuungua kwa jengo?
Mna roho mbaya kwa Uislam wake tu.
Tuliokueepo wakati wa nyerere, ilichomwa moto benki kuu na wizara ya mambo ya ndani na hakuna aliyenyua sauti.
Msifikiri mahasidi hatuwafahamu.
Sivyo, ni kwamba server hazipo hapo Mnazi Mmoja, na hata moja ingekuwapo, bado backup ipo somewhere elseKwamba Cloud Servers ni Literally in the Clouds ?
Nazan watu wake wapo umu sisi tunapo toa utabiri waaono yetu basi wao wanatakiwa kuweka umakin Ili kuzuia ilo mkuuUmeshatoa taarifa kwa afande Muliro?
Nabii wa kweli huwa si muoga, kile anachooneshwa lazima akawajulishe watu wa usalama na sio watu wa usalama wasubiri nyuzi za jf ndio wachukue hatua.Nazan watu wake wapo umu sisi tunapo toa utabiri waaono yetu basi wao wanatakiwa kuweka umakin Ili kuzuia ilo mkuu
Ndio ubaya wa one man army.. staring akifa na na muvi imeisha..Kuna muda watu mnaumiza vichwa vyenu bure tu.
Hayo mafaili yachomwe sasa kwa kumuogopa nani?
Angekuwepo Magu tungesema wanamuogopa Magu, ila nani kwa sasa ni tishio kiasi hiko hadi mtu achukue risk kubwa kama hio?
Wezi huteteanaWAcheni negative perception dhidi ya Serikali kila wakati, Je hamjaona mtu nyumba yake inaungua na anazimia au kufa kabisa, huwa anachoma ili kuficha? kwanini serikali soko likiungua au ofisi mnakimbilia kuona si ajali ?
Maskini siku zote sikutokuwa na fedha wala mali bali mawazo hasi dhidi ya waliofanikiwa.Wezi huteteana