Jengo la TRA Mnazi Mmoja laungua moto

Jengo la TRA Mnazi Mmoja laungua moto

Inamuhusu nini kuungua kwa jengo?

Mna roho mbaya kwa Uislam wake tu.

Tuliokueepo wakati wa nyerere, ilichomwa moto benki kuu na wizara ya mambo ya ndani na hakuna aliyenyua sauti.

Msifikiri mahasidi hatuwafahamu.
Nyenyua✖️

Nyanyua✔️

Halafu sauti hainyanyuliwi ni "kupaza sauti"

Hivi huko Canada ulienda kusomea ujinga?
 
WAcheni negative perception dhidi ya Serikali kila wakati, Je hamjaona mtu nyumba yake inaungua na anazimia au kufa kabisa, huwa anachoma ili kuficha? kwanini serikali soko likiungua au ofisi mnakimbilia kuona si ajali ?
Screenshot_20250130-180404_X.jpg
 
Back
Top Bottom