milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
Kuna kipindi BOT iliungua ,Kuna kipindi wizara ya mambo ya ndani iliungua!!
Nani alikuwa Rais wakati huo??.
Nani alikuwa Rais wakati huo??.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jeshi la zimamoto nalo si lilikuwa lipo tayari kwa ishu kama hizi au ndio mkutano umeisha jiji limeresetiwa kurudi kwenye default setting.Mkuu
Class of fire🔥 unazijua lakini..ntaenda kuzima kwa mikono.
Documents zote ziungue na servers tuanze upya.
Hatare Sanaa.Tanganyika tusipomkataa Saa100 na kizazi chake tumeliwa mazima!!!
Nchi imemshinda,kabisaa
Umetumia codes Sana ambao hatuna DD mbili hatujaelewa.Mwisho wa mwaka huu.
"Wasomi" wetu wanafanya yao.
Mkuuu muambie mkuuMkuu
Class of fire🔥 unazijua lakini..ntaenda kuzima kwa mikono.
Inamuhusu nini kuungua kwa jengo?Kwa kifupi,saa100 nchi imemshinda!!
Huyu baba mungu anampenda na ameona mbali.Mwisho wa mwaka huu.
"Wasomi" wetu wanafanya yao.
Huyu baba mungu anampenda na ameona mbali.Mwisho wa mwaka huu.
"Wasomi" wetu wanafanya yao.
Inamuhusu nini kuungua kwa jengo?
Mna roho mbaya kwa Uislam wake tu.
Tuliokueepo wakati wa nyerere, ilichomwa moto benki kuu na wizara ya mambo ya ndani na hakuna aliyenyua sauti.
Msifikiri mahasidi hatuwafahamu.
"wajanja' wanafunga mahesabu.Mwisho wa mwaka huu.
"Wasomi" wetu wanafanya yao.