Jengo laporomoka na kuua watu watatu

ssssh......I was addressing people who can understand what I'm talking about. Lanes please.

But if you look at the practical side of it, the deliverable of Tanzania's engineers is brilliant. Need say more!!?
 
But if you look at the practical side of it, the deliverable of Tanzania's engineers is brilliant. Need say more!!?
Naona leo umemuamulia kila anapoenda unamgonga tu na kitu kizito. [emoji23][emoji23][emoji23]
 

Hao wakenya wanapojenga hayo majengo wanawapa kazi mafundi Maiko aka Makanjanja?
 
Wanaija wanamnyoosha kule nairaland bila kumsahau mbongo kazikazi...halafu akilogin humu ananyooshwa pia na wabongo [emoji23][emoji23][emoji23]
Mzee, lijamaa lipo idle kinoma, nikalikuta kule nairaland anabishana na watu, nikahisi huenda ni ujira wake kudiscredit bongoland, labda analipwa na icho kitengo kipo kwa nchi yao, ila tofauti na ivyo, huyu ni hopeless individual, afu ni jitu zima kabisa.
 
Pia hiki ni kiashiria kwamba Elimu ya majirani zetu kwa ujumla wake ni HOVYO KABISA!
Kiingereza tu na ujanja ujanja mwingi.
Umemaliza, Hawa ni English tu, mostly broken, with tribal dialect, though, business wako poa, Kanda ya kaskazini Nairobi inatusave sana
 
Unakuta sehemu Tanzania haihusiki lakini lazima tu aingize Tanzania akiwa anabishana na Wanaija [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unakuta sehemu Tanzania haihusiki lakini lazima tu aingize Tanzania akiwa anabishana na Wanaija [emoji23][emoji23][emoji23]

Ebwana, pengine anatafuta usaidizi kutoka Tanzania.
Embu dondosha hapa huo wavuti nasi tuupitie kidogo.
😆 😛😊
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…