Jenista Joakim Mhagama

In March 2007, Dr. Kazibwe married prominent Ugandan businessman and long term boyfriend Habib Kagimu.
 
In March 2007, Dr. Kazibwe married prominent Ugandan businessman and long term boyfriend Habib Kagimu.


U have no idea wot ur talking abt..... umekurupuka na kukuimbilia copy and pate tu bila hata kuusoma mjadala vizuri.

Ushauri wa bure: soma tena halafu utaona ulicho copy na ku paste kinathibitisha niliyo yasema!
 

.....nadhani umesoma kwa makini maoni yangu ...opening remark niliyotoa ilihusu ...kina mama ambao huwaacha waume zao pale wanapokuwa wakubwa[hasa nikishangaa kitendo cha mumewe kuwa ubalozini india wakati ambako ndio angetakiwa aendelee kumtia nguvu mkewe.,though that is too personal]......lakini ungeeenda mbele zaidi conclussion niliyotoa siku generalize ..nilisema wazi kuwa sio wanawake wote wanaowakimbia waume zao ...na nikasema wazi kuwa wanaume ndio wanaongoza kwa kutelekeza wake zao...ingawa mwanamme akitelekeza hurudi muda woowote tofauti na mwanaume akitelekezwa yeye huamua kutoa talaka kabisa...kama ilivyotokea kwa engneer kazibwe...alipotupiwa virago nje na makamu wa rais wa uganda[aliyekuwa]...
 
..mila na tamaduni zetu ziko harsh sana kwa wanawake wanaotembea nje ya ndoa zao.

..wanasiasa wanaume wa Tanzania wako immune na hizi kashfa za kutembea nje ya ndoa.

.kwa mfano: kuna mchangiaji hapa alikuja na kuwalaani wanafunzi wa kike wa UDOM kwa kujiachia-achia wakati wa vikao vya Bunge. kitu cha ajabu kabisa hakuelekeza lawama zozote zile kwa waheshimiwa wabunge wanaume wanaosemekana kutembea na wasichana wa UDOM.
 
HESHIMA aliyonayo Mwanamke ni kubwa kuliko Mwanaume.
Ndiyo maana Mwanamke AKIFANYA JAMBO basi linakuwa JAMBO.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…