Tetesi: Jerry Muro na William Malecela ndani ya mpango wa hatari wa kuidhibiti timu ya Fiesta

Tetesi: Jerry Muro na William Malecela ndani ya mpango wa hatari wa kuidhibiti timu ya Fiesta

Hakuna kulialia hapa, ni kupanda ulingoni kupambana, sisi tunasubiri tu mshindi hatuna msaada mwingine.
 
WAFITINI Work!!!!!! HIVI HUYO MAKONDA NA MIHANGAIKO YAKE YA KUBORESHA DSM ANA MUDA HUO KWA KIPI HASAAAA AU NI UNABII
 
Mkuu wa mkoa anahusikaje na Watu wanaoshika nyeti majukwaani

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] swali lako bhan, ni sawa na kukuliza wewe unahusikaje na mada za watu timamu? Au wew pia ni timamu?
 
WAFITINI Work!!!!!! HIVI HUYO MAKONDA NA MIHANGAIKO YAKE YA KUBORESHA DSM ANA MUDA HUO KWA KIPI HASAAAA AU NI UNABII
Kuzima mziki element....,dar fish market,
Hata hiyo fiesta sahv wataambiwa mwishoi Saa sita usiku

Ova
 
Hapo unatamani ungewahi usome niliandika nini.. wivu tupu umekujaaaaaa

Vipi bado unaisoma namba? Au nawewe unapenda kusoma udaku kama huu wa uzi huu usio na kichwa wala miguu.
Kwanza nashukuru sijaukuta coz ningemaliza siku yangu vibaya


Aisee sijui niseme namshukuru Mungu coz kati ya watu ambao hawajaathirika na huu utawala ni mm,maisha niliyokuwa naishi uongozi uliopita ndio ndio ninayoyaishi ss hivi
 
Kwanza nashukuru sijaukuta coz ningemaliza siku yangu vibaya


Aisee sijui niseme namshukuru Mungu coz kati ya watu ambao hawajaathirika na huu utawala ni mm,maisha niliyokuwa naishi uongozi uliopita ndio ndio ninayoyaishi ss hivi

Haya jipigie makofi.

Ila usiogope nondoz nakuandikiaga kila mara.. eeeeeh my fan in de....
 
Kosa ni nini hapo! Clouds mlizoea kula kilaini fanyeni na nyie mpango wenu wa kutoa mafuta na kusaidia vilema.acheni kulalamika, tumeshawashauri muda mwingi kuhusu vipindi vyenu kujaa matangazo zaidi kuliko habari hamjatusikia, clouds 360 na husein ngoma ni shida pia. Mkajipange na nyie
 
inawezekana huu mkakati could be much more bigger than the other
 
Mimi kwa Mara ya kwanza Niko upande wa makonda clouds wametunyanyasa mnooo

Let them enjoy their own taste
Muda wa Karma huu
NIPO UPANDE WA MAKONDA LEO. HAO CLOUDS HIZO FURSA ZENU KUNA KITU KINAONEKANA MMEFANYA ANGALAU MAKONDA KUNA VITU ANAFANYA TUNAONA. LE MUTUZ NA MURO HUWA NAWAPINGA ILA KWA HAPA CARRY GO! HATA LEADERS ANDAENI MECHI YA SIMBA NA YANGA YA NDONDO
 
kuna mtu kwenye thread yangu juzi alicomment kitu hiki kwamba kuna bomu linasukwa kwaajili ya fiesta kweli nimeamini watu ni mashushu
 
3317564bbe9b4ed56cc6cbc18194d43e.jpg
huyu jamaa alisema toka jana kweli kuna watu mashushu

Dd:kasulamkombe
 
Back
Top Bottom