Jerry Muro ni wa kutilia shaka sana ujio wake Dar | TAKUKURU Kuweni makini hapo

Jerry Muro ni wa kutilia shaka sana ujio wake Dar | TAKUKURU Kuweni makini hapo

Kwa iyo huna taarifa kama haji anatakiwa na radio station nyingi akafanye uchambuzi wa habar za michezo??? [emoji848] [emoji848] [emoji15] [emoji15] Muulize Diamond anamtaka sana haji ila yy ndo hajawa tayari
Elimu ya madrasa haina faida yoyote Haji ameajiriwa kwa mdomo tu lakin Muro akiondoka hapo anarudi kutangaza kwenye TV au redio.Elimu ya madrasa inamsaidia mhusika tu na sio jamii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo Jumatano ikiwa ni siku ya kazi, Mkuu wa Wilaya ya Arumeru mkoani Arusha alikuwa katika studio za Wasafi Fm jijini Dar Es Salaam akihojiwa mambo ya michezo kuhusu Klabu ya Yanga.

Huo ni muda ambao alipaswa awe ofisini kule Arumeru akiwahudumia wananchi wake ili kuendana na kauli ya Hapa Kazi Tu. Je Dc Jerry Murro ni mtoro kazini? Au yupo likizo?
 
Kwa iyo huna taarifa kama haji anatakiwa na radio station nyingi akafanye uchambuzi wa habar za michezo??? [emoji848] [emoji848] [emoji15] [emoji15] Muulize Diamond anamtaka sana haji ila yy ndo hajawa tayari
hahaha kweli mbumbumbu hamna akili, haji atafanya uchambuzi gani huyo! huyo kawa maarufu kwa kuitukana yanga, sio mambo ya uchambuzi
 
Kwa iyo huna taarifa kama haji anatakiwa na radio station nyingi akafanye uchambuzi wa habar za michezo??? [emoji848] [emoji848] [emoji15] [emoji15] Muulize Diamond anamtaka sana haji ila yy ndo hajawa tayari

Na kwa Kumsaidia tu huyo Mdau kwani yawezekana ametokea Kijijini Kwao Iparagasi hivi karibuni ya kwamba Wachambuzi Waandamizi wa Kwanza wa Mpira hapa Tanzania walikuwa ni Watatu tu ambapo wa Kwanza alikuwa ni Dokta Leakey Abdallah, wa Pili ni Jamaa Mmoja hivi anaitwa Sapi na wa Tatu alikuwa ni Haji Manara huyu huyu Msemaji wa Klabu ya Simba. Tena hakuna Mtu ambaye akiutoa Usimba wake na akisema aamue Kuchambua Mpira ( Mipira ) ya ndani na nje ya Tanzania utapenda na utafurahi kwa Utaalam na Ufundi wake basi ni Haji Sunday Manara. Wale Wahenga Wenzangu najua watakumbuka na watakubaliana nami pia.
 
Na kwa Kumsaidia tu huyo Mdau kwani yawezekana ametokea Kijijini Kwao Iparagasi hivi karibuni ya kwamba Wachambuzi Waandamizi wa Kwanza wa Mpira hapa Tanzania walikuwa ni Watatu tu ambapo wa Kwanza alikuwa ni Dokta Leakey Abdallah, wa Pili ni Jamaa Mmoja hivi anaitwa Sapi na wa Tatu alikuwa ni Haji Manara huyu huyu Msemaji wa Klabu ya Simba. Tena hakuna Mtu ambaye akiutoa Usimba wake na akisema aamue Kuchambua Mpira ( Mipira ) ya ndani na nje ya Tanzania utapenda na utafurahi kwa Utaalam na Ufundi wake basi ni Haji Sunday Manara. Wale Wahenga Wenzangu najua watakumbuka na watakubaliana nami pia.
acha uongo wewe, haji kachambua wapi mpira? nakumbuka tuko wadogo kombe la dunia mchambuzi alikuwa dr. leakey, huyo haji sijawahi kumuona. labda anachambulia huko kwenye vijiwe vya kahawa.
 
Elimu ya madrasa haina faida yoyote Haji ameajiriwa kwa mdomo tu lakin Muro akiondoka hapo anarudi kutangaza kwenye TV au redio.Elimu ya madrasa inamsaidia mhusika tu na sio jamii

Sent using Jamii Forums mobile app

Siku zingine jitahidi sana Kuficha Mapungufu yako makubwa ya Kifikra uliyonayo tafadhali. Na kama unakuwa huna au hujui CV ya Mtu basi ni vyema kabla hujaanza Kubwabwaja ukatumia muda wako Kuiulizia au Kufanya Utafiti wako. Nani aliyekudanganya kuwa Haji Manara ( Msemaji wa Simba SC) hajasoma? Tena kwa Kukusaidia zaidi amesoma japo hana hiyo Masters Degree ambayo anayo DC Jerry Muro ila Haji Manara ana Exposure kubwa, ameishi pia nje ( namaanisha Ulaya ) akiwa na Baba yake huko nchi ambazo nina uhakika pamoja na Kujitutumua Kwako hapa hadi unakufa kama siyo kufariki hutowahi Kwenda ( Kutembelea ) ng'o. Nje ya hapo Haji ana Elimu nzuri tu ya mambo ya Propaganda, Media and Communication halafu ni Mbunifu, ana uwezo mkubwa wa Ushawishi kuliko hata DC Jerry Muro. Na usisahau pia kwamba Haji Manara huu Mkoa wa Dar es Salaam ni wakwake lakini Wewe na Mwenzako DC Jerry Muro ni Wakuja watupu. Na hakuna Mtoto wa Mjini wa Kweli kama Haji Manara. Mwisho nakuuliza Swali umeshajua ni kwanini pamoja na jana DC Jerry Muro Kumchokoza vile Haji Manara ile jana na hata leo lakini Yeye Haji Manara Kanyamaza? Sababu ya Kunyamaza kwa Haji Manara utaijua leo Jioni Saa 12 baada ya Mechi baina ya Yanga SC na Gwambina FC ambapo kwa Kitakachotokea leo najua hakuna atakayeamini ( labda tu upepo ubadilike ghafla ) kuna Klabu fulani huenda leo wakaanza Kuchapana Bakora kutokea Uwanjani hadi Mabondeni Maporomokoni Kwao huku Kocha Wao Mzungu akikutana na Mabegi yake JNIA pale Terminal III akiwa ameshafukuzwa na Timu Kukabidhiwa na Mumewe Betty na Mtoto wa Marehemu Remmy Ongala ili waiongoze hadi mwisho wa Msimu. Nasisitiza tena labda Upepo ubadilike muda huu ila leo Mende kutoka Mwanza ataangusha Kabati Kubwa la Mabondeni Mafurikoni.
 
Yanga yetu![emoji16][emoji16][emoji16]
20200223_181729.gif
 
NAKAZIA NA KUUNGA MKONO HOJA "TAKUKURU KUWENI MAKINI" KWA MUJIBU WA MURO NI KWAMBA GAME WAMESHAICHEZA NJE YA UWANJA BADO NDANI TU. MANAKE NI NINI???

1. LEO KUNA HATARI YA YANGA KUPATA PENATI YA UPENDELEO
2. KUNA HATARI YA KUFUNGA KWA OFFSIDE
3. KUNA HATARI YA GWAMBINA KULA RED CARD
4. KUNA HATARI YA GWAMBINA KUNYIMWA GOLI LA WAZI

NAISHIA HAPO

Sent using Jamii Forums mobile app

Nakutoa hofu Mdau leo Yanga SC anakufa kwa Goli 1 au anatolewa kwa Mikwaju ya Penati na Gwambina FC anasonga mbele.
 
acha uongo wewe, haji kachambua wapi mpira? nakumbuka tuko wadogo kombe la dunia mchambuzi alikuwa dr. leakey, huyo haji sijawahi kumuona. labda anachambulia huko kwenye vijiwe vya kahawa.

Huwa sipotezewi muda na Wapuuzi na Wavivu wa Fikra kama Wewe tafadhali.
 
Umeona kuwa Kesho Yanga SC yako ikicheza na Gwambina FC katika Kombe la ASFC kwa Udhaifu na Uchanga wa Timu hiyo ya Gwambina leo umejifanya Kujitokeza katika Vyombo vya Habari na kusema kuwa Kesho Yanga SC itaibuka na Ushindi mnono na kuwataka wanayanga wote wajazane Uwanjani kuishangilia Timu yao.

Kama kweli DC Jerry Muro una Uchungu na Yanga SC yako ulikuwa wapi Kujitokeza Kuizungumzia, Kuleta kama siyo Kurudisha Hamasa kwa Mashabiki na Wachezaji hadi ujitokeze leo na Kujiita Mkombozi na kwamba una Nywila ( Password ) ya Ushindi ya Yanga SC?

Kwahiyo DC Jerry Muro ulikuwa unasubiri hadi Yanga SC yako ifanye vibaya na Kesho icheze na Gwambina FC ambako mnauhakika wa Kushinda ndipo ujitokeze kama hivi kutafuta Sifa ( Kiki ) kwa wanayanga ambao bahati mbaya wengi Wao wana Hasira na Wewe kweli kweli hasa baada ya Wewe Kugundulika kuwa ndiyo uliyemponza aliyekuwa Mfadhili wenu Yusuph Manji hadi yakampata yale yaliyompata?

Na hakuna Watu ambao nawashangaa kama Viongozi wa Yanga SC ambao leo walikuwepo ( waliambatana ) nae DC Jerry Muro Klabuni Kwao alipokuwa anazungumza na wana Habari. Kwa Kitendo cha Viongozi wa Yanga SC kumkaribisha DC Jerry Muro ni sawa na Kukikaribisha Kirusi cha COVID-17 kinachosababisha Mafua ya Corona kutoka nchini China kuja Tanzania na hasa hasa kujikita sana katika Mitaa ya Twiga na Jangwani yalipo Makao Makuu ya Klabu ya Yanga.

Najua kuna wale Wavivu wa Fikra kutoka Klabu ya Yanga watafurahia huu urejeo wa Kinafiki na Kizandiki wa DC Jerry Muro ila kwa tunaomjua vyema DC Jerry Muro amejifanya Kujirudisha tena Yanga SC kutokana na Matokeo yake mabaya ili awateke Akili Viongozi kisha awadukue Kiujasusi hawa Wafadhili ( Wadhamini ) wa Yanga SC Kampuni ya GSM kisha akairipoti kwa yule yule aliyempelekea Habari za Yusuph Manji kisha nao GSM yawakute.

DC Jerry Muro leo kawaaminisha wanayanga kuwa Timu yao imekuwa ikifanya vibaya kwakuwa inahujumiwa na Klabu ya Simba huku akisema kuwa kuna Wachezaji wa Yanga SC wanahongwa na Simba SC na kama haitoshi akaenda mbele zaidi na kusema kuwa Timu yake ya Yanga inahujumiwa na Simba SC hasa kwa Kuwekewa Dawa Viwanjani na Mambo ya Kishirikina na kuwataka wanayanga wote kuanzia leo jioni waende Kuulinda Uwanja wa Taifa ambao watauchezea mechi yao ya Kombe la FA Kesho dhidi ya Gwambina FC.

Mwisho kabisa namtahadharisha DC Jerry Muro kwamba japo amejiaminisha huku akiwa na uhakika kabisa kuwa Kesho Yanga SC itashinda kati ya Goli 7 hadi 8 dhidi ya Gwambina FC ila Mimi namwambia kuwa kama kuna Mechi ambayo Yanga SC hawapaswi kwenda na Matokeo mkononi na Kujiamini na Kujiaminisha kuwa watashinda basi ni mechi yao hiyo ya Kesho. Muda utaongea vyema Kesho ila DC Jerry Muro atafute ni wapi atauficha Uso wake kwa Aibu Kubwa.

Na kwakuwa wengine ni Watu wa Mpira tokea Siku nyingi na pia ni Wafukunyuzi wazuri tu wa Matukio, Habari na Mambo mbalimbali na tuko karibu mno na Wachezaji wengi wa hivi Vilabu Vikubwa nimwambie tu DC Jerry Muro kuwa Yanga SC yake inafanya vibaya kwakuwa kuna Mgogoro mkubwa sana ndani ya Wachezaji waliosajiliwa na Wafadhili wao wa Mlango wa nyuma GSM na wale waliosajiliwa na Yanga SC yenyewe kama yenyewe.

DC Jerry Muro ajue ya kwamba wale Wachezaji waliosajiliwa na Wafadhili wao GSM wanalipwa Mishahara na wanapata Posho zao ila wale waliosajiliwa na Uongozi wa Yanga SC wanalia njaa mno Kitendo ambacho kimepunguza sana Ari ya Kiuchezaji baina ya Timu nzima.

Na nasikitika kuona Wachezaji wenyewe wa Yanga SC wakikutana na Sisi Wadau wa Mpira wanatuambia hizi Siri lakini Viongozi wa Yanga SC wanaficha na kwa Kuwapumbaza na kuwafanya wanayanga ni Mambumbumbu leo wameona wamtafute Mtu ambaye angalau anaweza Kupambana na Kujibizana na Msemaji wa Simba SC kwani wamegundua akina Hassan Bumbuli na Bondia Mtanashati asiye na Mkanda wowote Antonio Nugaz wameshindwa ndiyo wakamkaribisha Nyoka mwenye Sumu Kali na Kirusi kilichoisambaratisha Yanga SC ile ya Yusuph Manji Msemaji wao wa zamani DC Jerry Muro ili arudishe Hamasa na Mwamko uliopotea kwani tayari Wanachama, Wapenzi na Mashabiki wa Yanga SC wameshaichoka Timu yao na kuna Uwezekano hata Uwanjani pia wasiwe wanahudhuria vile vile.

Yakitokea ya kutokea huko Yanga SC msije kusema Mzukulu sikuwaambia kwani nimeshatoa Tahadhari hii mapema Kwenu.
Wewe ni zaidi ya kirusi cha korona

In God we Trust
 
Huyo Manara naona katoroka kwenye kambi yao kule korandoto
Nugaz, Bambuli, Muro wote wanapambana na De la boss ambaye yeye ni Jeshi la mtu mmoja, wataweza kweliiii Aaaaaa Wapiiiii..!

In God we Trust
 
Na kwa Kumsaidia tu huyo Mdau kwani yawezekana ametokea Kijijini Kwao Iparagasi hivi karibuni ya kwamba Wachambuzi Waandamizi wa Kwanza wa Mpira hapa Tanzania walikuwa ni Watatu tu ambapo wa Kwanza alikuwa ni Dokta Leakey Abdallah, wa Pili ni Jamaa Mmoja hivi anaitwa Sapi na wa Tatu alikuwa ni Haji Manara huyu huyu Msemaji wa Klabu ya Simba. Tena hakuna Mtu ambaye akiutoa Usimba wake na akisema aamue Kuchambua Mpira ( Mipira ) ya ndani na nje ya Tanzania utapenda na utafurahi kwa Utaalam na Ufundi wake basi ni Haji Sunday Manara. Wale Wahenga Wenzangu najua watakumbuka na watakubaliana nami pia.
acha uongo wewe, haji kachambua wapi mpira? nakumbuka tuko wadogo kombe la dunia mchambuzi alikuwa dr. leakey, huyo haji sijawahi kumuona. labda anachambulia huko kwenye vijiwe vya kahawa.
 
Muda si mrefu kuna mtu atakamatwa kwa kutakatisha fedha huko.

Hamuwezi kuwekeza mabilioni kwa siri siri halafu mnachangisha wananchi kutakatisha fedha zenu zisizojulikana zinatoka wapi.

Kuweni makini,mmeonywa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom