Jerry Silaa: Alex Msama ni tapeli namba 3 wa Viwanja, ajisalimishe

Jerry Silaa: Alex Msama ni tapeli namba 3 wa Viwanja, ajisalimishe

Tungepata Mawaziri watatu tu kama Slaa nchi ingenyooka, Ardhi, Mambo ya ndani, Katiba na Sheria™
Ajenge system iwe rahisi na straight forward kupata umiliki na kutatua matatizo ya ardhi nchi nzima katika utaratibu wa haraka na unaoeleweka, hili la solution la viwanja viwili vitatu litasaidia Kwa muda tu watu wachache na akiondoka tutarudi nyuma zaidi
 
Kupishana kupo katika utendaji, mbona huyo huyo Magufuli hakung'oa mabango alipoingia madarakani??? Hapa narudi kwenye uhalali wa kauli yako

Ila all in all, Magufuli alimpigia kampeni katika chaguzi zotebili na alimtaja kwa majina kuhusiana na utendaji wake

Rejea hotuba zake wakati anatambulisha mbunge mmoja mmoja katika kampeni za 2015& 2020
Zile siasa, na hawakuwa na mgombea mwingine huko ukonga, hivyo hakuwa na jinsi bali kumpigia kampeni aliyekuwa anakubalika jimboni kwa upande wa chama chao. Ingawa naye asinge shinda kama uchaguzi ungefanyika.

Marehemu magufuli alikuwa mtu wa visasi, ukimkosea anakupa live na anakuacha.
 
Msichokifahamu ni kwamba waziri SLAA ni MAGUFULI namba mbili, anapita kwenye njia ambayo viongozi wengi hawawezi kupita
Acha kulinganisha watu wasiofanana. Huyo marehemu wako hakuwa anatumia akili ndio maana aliigawa nchi na kuua watu wengi. Magufuli alikuwa km shetani aliharibu hii nchi hatutaki kumsikia tena, hakuna cha maana alicho-accomplish zaidi ya kupumbaza majinga km wewe.
 
Acha kulinganisha watu wasiofanana. Huyo marehemu wako hakuwa anatumia akili ndio maana aliigawa nchi na kuua watu wengi. Magufuli alikuwa km shetani aliharibu hii nchi hatutaki kumsikia tena, hakuna cha maana alicho-accomplish zaidi ya kupumbaza majinga km wewe.
Ahsante
 
Ajenge system iwe rahisi na straight forward kupata umiliki na kutatua matatizo ya ardhi nchi nzima katika utaratibu wa haraka na unaoeleweka, hili la solution la viwanja viwili vitatu litasaidia Kwa muda tu watu wachache na akiondoka tutarudi nyuma zaidi
Umesema kweli, lakini ninachozungumzia hapa ni kuwa wakati unasubiri hiyo system ambayo kwa mtazamo ni mchakato ambao haujulikani kama ni karne gani itapatikana basi walau tupate wazalendo kadhaa watakaokuwa na uthubutu wa kuona nyeupe na kusema nyeupe, nyeusi waseme nyeusi walau inasaidia kwa kiasi fulani, yaani ni kama huduma ya kwanza wakati unasubiri kupata Pesa ya matibabu ambayo nayo hujui ni lini Utaipata walau ukipata huduma ya kwanza utakuwa umesaidika
 
Promota wa Tamasha la Pasaka, Mtangazaji wa vipindi vya kwaya na Mgombea wa nafasi mbalimbali za uongozi huko CCM, Bwana Alex Msama ametajwa kuwemo kwenye 3 bora ya Matapeli Papa wa Viwanja DSM.

Taarifa kamili hii hapa

====



Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa amemtaka Mkurugenzi wa Msama Promotions, Alex Msama kujisalimisha kwa Kamishna wa Ardhi Msaidizi mkoa wa Dar es salaam akiwa na baadhi ya watu waliouziwa eneo la viwanja namba 1 kitalu 22 lililopo Kibada Manispaa ya Kigamboni jijini Dar es salaam ili kurejesha kwa wananchi eneo hilo lijengwa shule ya sekondari.

Silaa ametoa maagizo hayo alipofanya ziara katika eneo hilo Manispaa ya Kigamboni baada ya mgogoro huo kuwa wa muda mrefu kati ya wananchi wa eneo hilo na baadhi ya watu walionunua eneo la shule akiwemo Allex Msama.

Aidha, Waziri Silaa amemtaja Alex Msama kuwa ni tapeli namba 3 wa viwanja jijini Dar es salaam na tayari ameishaagiza baadhi ya maeneo anayoyamiliki kinyemela kunyang’anywa ikiwemo eneo la wazi na eneo la fukwe lililopo Mbweni Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es salaam.

Mwanahalisi Digital
Aisee watu wnajificha kwenye kichaka Cha dini na CCM
 
Eti promota wa nyimbo za injili ,tamasha la pasaka?
Mkiambiwa dini ya ukristo ni kiota cha kile ndege mchafu muwe mnakubali.
Wezi kwa utapeli, waganga na wachawi , wapiga deal na watawala wamejificha kwenye dini.
Kuhusisha Ukristo na huyu Tapeli ni nje ya mada. Kwani hakuna matapeli WAISLAMU?
 
Acha kulinganisha watu wasiofanana. Huyo marehemu wako hakuwa anatumia akili ndio maana aliigawa nchi na kuua watu wengi. Magufuli alikuwa km shetani aliharibu hii nchi hatutaki kumsikia tena, hakuna cha maana alicho-accomplish zaidi ya kupumbaza majinga km wewe.
"Acha kulinganisha watu wasiofanana. Huyo marehemu wako hakuwa anatumia akili ndio maana aliigawa nchi na kuua watu wengi. Magufuli alikuwa km shetani aliharibu hii nchi hatutaki kumsikia tena, hakuna cha maana alicho-accomplish zaidi ya kupumbaza majinga km wewe"

Nimerudia kuweka mkazo, samahani lakini
 
Msama mzushi tu miaka nenda rudi.....
Kuna wakati fulani alifungua mgahawa wake pale jirani na bestbite,mbeleni huko si akataka kumfanyia figisu yule mama mwenye eneo,kumbe yule mama mme wake mtu mzito,msama aliondolewa pale kama mwizi
Jambo lolote ukifanya na msama lazima uzushi uzushi utakuwepo

Ova
Basi jamaa ana pepo la dhuluma. Angetulia pale ule mgahawa ulikuwa unafanya vizuri sana kibiashara. Hizo tamaa zimemponza.
 
Kupishana kupo katika utendaji, mbona huyo huyo Magufuli hakung'oa mabango alipoingia madarakani??? Hapa narudi kwenye uhalali wa kauli yako

Ila all in all, Magufuli alimpigia kampeni katika chaguzi zotebili na alimtaja kwa majina kuhusiana na utendaji wake

Rejea hotuba zake wakati anatambulisha mbunge mmoja mmoja katika kampeni za 2015& 2020
Stop that! mkimtaja magufuli wengine tunahisi kutapika
 
Back
Top Bottom