Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
MwanaCCM wa CCM au siyo eeh 😂uzuri ni mwana chama wa ccm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MwanaCCM wa CCM au siyo eeh 😂uzuri ni mwana chama wa ccm
Leo unamkana kada mwenzako siyo? 😂Msama mzushi tu miaka nenda rudi.....
Kuna wakati fulani alifungua mgahawa wake pale jirani na bestbite,mbeleni huko si akataka kumfanyia figisu yule mama mwenye eneo,kumbe yule mama mme wake mtu mzito,msama aliondolewa pale kama mwizi
Jambo lolote ukifanya na msama lazima uzushi uzushi utakuwepo
Ova
CCM akili imesharuka muda huu.Chawa huwa wanalipwa , hakuna tajiri aliye chawa
CCM HoyeeeeAisee watu wnajificha kwenye kichaka Cha dini na CCM
Mbowe pia ni mshiriki wa kosa kama hili hili.Mkimalizana nae katika hili Mamlaka nyingine imkamate kwa Kosa la Kudhulumu Mishahara na Stahiki za Wafanyakazi ( Waandishi wa Habari ) wa iliyokuwa Media ( hasa Gazeti ) akiongozwa na Marehemu Dada Yamola.
Rudisha kiwanja ulichotapeli weweSlaa ni tapeli mpiga dili
wamuache afanye anachotakiwa kufanyaMsichokifahamu ni kwamba waziri SLAA ni MAGUFULI namba mbili, anapita kwenye njia ambayo viongozi wengi hawawezi kupita
Msama tapeli tapeli dhuluma namjuwa miaka mingi sanaBasi jamaa ana pepo la dhuluma. Angetulia pale ule mgahawa ulikuwa unafanya vizuri sana kibiashara. Hizo tamaa zimemponza.
Tatizo sio dini, kabla ya alex msama kuna tapeli mwingine tena ni muslim, ila anakula kodi ya kitapeli eneo lisilo lake. Ndio kusema uislam ni utapeli no?Eti promota wa nyimbo za injili ,tamasha la pasaka?
Mkiambiwa dini ya ukristo ni kiota cha kile ndege mchafu muwe mnakubali.
Wezi kwa utapeli, waganga na wachawi , wapiga deal na watawala wamejificha kwenye dini.
Huko wizaran wamejaza watu waoJamaa ni tapeli mkubwa sana wa viwanja na amewashika watu wa ardhi wote hata huyo kamishna unaweza kukuta ni mtu wake so waziri akitaka kumkomesha msama adeal nae mwenyewe. Msama anaweza hadi kuiba viwanja vya serikali haogopi wanashirikiana na watu wa wizarani.
Ile wizara wangeifumua yite kuna majizi pale hatari sana.
Huna loloteRudisha kiwanja ulichotapeli wewe
YesHivi huyu ndiye aliye lalamikiwa na mwimbaji wa nyimbo za injili Rose Mhando ??
Looo!! Kumbe huyu jamaa ni mafia kiasi hiki!
Lazima utakua na mimba changa ndiyo maana unahisi kutapika nenda kapime mkojo!!Stop that! mkimtaja magufuli wengine tunahisi kutapika
Tanzania kesi ni pesa, ikiwa ushahidi upo wazi hakimu anakula pesa halafu kesi inapigwa kalenda hata miaka 10 ili mwenye haki achoke kufatiliaAlafu hili jambo la pesa limejengeka hadi kwa makarani wa Mahakama, wanakwambia kabisa, flani ana pesa lazima ashinde kesi! Sasa mimi najiuliza kesi ni pesa au ni ushahidi usiyo acha shaka !?
PAMOJA NA UKADA WA CCM KUMBE NI TAPELIPromota wa Tamasha la Pasaka, Mtangazaji wa vipindi vya kwaya na Mgombea wa nafasi mbalimbali za uongozi huko CCM, Bwana Alex Msama ametajwa kuwemo kwenye 3 bora ya Matapeli Papa wa Viwanja DSM.
Taarifa kamili hii hapa
====
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa amemtaka Mkurugenzi wa Msama Promotions, Alex Msama kujisalimisha kwa Kamishna wa Ardhi Msaidizi mkoa wa Dar es salaam akiwa na baadhi ya watu waliouziwa eneo la viwanja namba 1 kitalu 22 lililopo Kibada Manispaa ya Kigamboni jijini Dar es salaam ili kurejesha kwa wananchi eneo hilo lijengwa shule ya sekondari.
Silaa ametoa maagizo hayo alipofanya ziara katika eneo hilo Manispaa ya Kigamboni baada ya mgogoro huo kuwa wa muda mrefu kati ya wananchi wa eneo hilo na baadhi ya watu walionunua eneo la shule akiwemo Allex Msama.
Aidha, Waziri Silaa amemtaja Alex Msama kuwa ni tapeli namba 3 wa viwanja jijini Dar es salaam na tayari ameishaagiza baadhi ya maeneo anayoyamiliki kinyemela kunyang’anywa ikiwemo eneo la wazi na eneo la fukwe lililopo Mbweni Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es salaam.
Mwanahalisi Digital
Wewe ingia Labour kabisa ukajifungue mtoto wa Hayati MagufuliLazima utakua na mimba changa ndiyo maana unahisi kutapika nenda kapime mkojo!!
CCM kwa CCM, ulitegemea nini?Hii ishu ilimalizikaje!!??