Matawi ya juu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 3,504
- 6,809
Ajenge system iwe rahisi na straight forward kupata umiliki na kutatua matatizo ya ardhi nchi nzima katika utaratibu wa haraka na unaoeleweka, hili la solution la viwanja viwili vitatu litasaidia Kwa muda tu watu wachache na akiondoka tutarudi nyuma zaidiTungepata Mawaziri watatu tu kama Slaa nchi ingenyooka, Ardhi, Mambo ya ndani, Katiba na Sheria™
Zile siasa, na hawakuwa na mgombea mwingine huko ukonga, hivyo hakuwa na jinsi bali kumpigia kampeni aliyekuwa anakubalika jimboni kwa upande wa chama chao. Ingawa naye asinge shinda kama uchaguzi ungefanyika.Kupishana kupo katika utendaji, mbona huyo huyo Magufuli hakung'oa mabango alipoingia madarakani??? Hapa narudi kwenye uhalali wa kauli yako
Ila all in all, Magufuli alimpigia kampeni katika chaguzi zotebili na alimtaja kwa majina kuhusiana na utendaji wake
Rejea hotuba zake wakati anatambulisha mbunge mmoja mmoja katika kampeni za 2015& 2020
Tulia kafanya nini tena huko Bungeni!?Tulia
Acha kulinganisha watu wasiofanana. Huyo marehemu wako hakuwa anatumia akili ndio maana aliigawa nchi na kuua watu wengi. Magufuli alikuwa km shetani aliharibu hii nchi hatutaki kumsikia tena, hakuna cha maana alicho-accomplish zaidi ya kupumbaza majinga km wewe.Msichokifahamu ni kwamba waziri SLAA ni MAGUFULI namba mbili, anapita kwenye njia ambayo viongozi wengi hawawezi kupita
Sukuma gang haoNchi hii bhana ! Makonda naye ana chawa
Anakukuna wapi?Jerry Slaa unanikuna
Mbona walisema ni mate na ulimi na PrinceMsichokifahamu ni kwamba waziri SLAA ni MAGUFULI namba mbili, anapita kwenye njia ambayo viongozi wengi hawawezi kupita
AhsanteAcha kulinganisha watu wasiofanana. Huyo marehemu wako hakuwa anatumia akili ndio maana aliigawa nchi na kuua watu wengi. Magufuli alikuwa km shetani aliharibu hii nchi hatutaki kumsikia tena, hakuna cha maana alicho-accomplish zaidi ya kupumbaza majinga km wewe.
Hapa naanza kumuelewa Waziri Slaa.
Huyu Msama anasumbua sana
Acha tuone mwisho wa hili picha
Umesema kweli, lakini ninachozungumzia hapa ni kuwa wakati unasubiri hiyo system ambayo kwa mtazamo ni mchakato ambao haujulikani kama ni karne gani itapatikana basi walau tupate wazalendo kadhaa watakaokuwa na uthubutu wa kuona nyeupe na kusema nyeupe, nyeusi waseme nyeusi walau inasaidia kwa kiasi fulani, yaani ni kama huduma ya kwanza wakati unasubiri kupata Pesa ya matibabu ambayo nayo hujui ni lini Utaipata walau ukipata huduma ya kwanza utakuwa umesaidikaAjenge system iwe rahisi na straight forward kupata umiliki na kutatua matatizo ya ardhi nchi nzima katika utaratibu wa haraka na unaoeleweka, hili la solution la viwanja viwili vitatu litasaidia Kwa muda tu watu wachache na akiondoka tutarudi nyuma zaidi
Hakuna noma mkuuTulia kafanya nini tena huko Bungeni!?
Aisee watu wnajificha kwenye kichaka Cha dini na CCMPromota wa Tamasha la Pasaka, Mtangazaji wa vipindi vya kwaya na Mgombea wa nafasi mbalimbali za uongozi huko CCM, Bwana Alex Msama ametajwa kuwemo kwenye 3 bora ya Matapeli Papa wa Viwanja DSM.
Taarifa kamili hii hapa
====
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa amemtaka Mkurugenzi wa Msama Promotions, Alex Msama kujisalimisha kwa Kamishna wa Ardhi Msaidizi mkoa wa Dar es salaam akiwa na baadhi ya watu waliouziwa eneo la viwanja namba 1 kitalu 22 lililopo Kibada Manispaa ya Kigamboni jijini Dar es salaam ili kurejesha kwa wananchi eneo hilo lijengwa shule ya sekondari.
Silaa ametoa maagizo hayo alipofanya ziara katika eneo hilo Manispaa ya Kigamboni baada ya mgogoro huo kuwa wa muda mrefu kati ya wananchi wa eneo hilo na baadhi ya watu walionunua eneo la shule akiwemo Allex Msama.
Aidha, Waziri Silaa amemtaja Alex Msama kuwa ni tapeli namba 3 wa viwanja jijini Dar es salaam na tayari ameishaagiza baadhi ya maeneo anayoyamiliki kinyemela kunyang’anywa ikiwemo eneo la wazi na eneo la fukwe lililopo Mbweni Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es salaam.
Mwanahalisi Digital
Kuhusisha Ukristo na huyu Tapeli ni nje ya mada. Kwani hakuna matapeli WAISLAMU?Eti promota wa nyimbo za injili ,tamasha la pasaka?
Mkiambiwa dini ya ukristo ni kiota cha kile ndege mchafu muwe mnakubali.
Wezi kwa utapeli, waganga na wachawi , wapiga deal na watawala wamejificha kwenye dini.
"Acha kulinganisha watu wasiofanana. Huyo marehemu wako hakuwa anatumia akili ndio maana aliigawa nchi na kuua watu wengi. Magufuli alikuwa km shetani aliharibu hii nchi hatutaki kumsikia tena, hakuna cha maana alicho-accomplish zaidi ya kupumbaza majinga km wewe"Acha kulinganisha watu wasiofanana. Huyo marehemu wako hakuwa anatumia akili ndio maana aliigawa nchi na kuua watu wengi. Magufuli alikuwa km shetani aliharibu hii nchi hatutaki kumsikia tena, hakuna cha maana alicho-accomplish zaidi ya kupumbaza majinga km wewe.
Juu ana suti chini ana ndalaMsama kama msama promota majalala anabip na chini ana ndala!
Safi sana!Juu ana suti chini ana ndala
Basi jamaa ana pepo la dhuluma. Angetulia pale ule mgahawa ulikuwa unafanya vizuri sana kibiashara. Hizo tamaa zimemponza.Msama mzushi tu miaka nenda rudi.....
Kuna wakati fulani alifungua mgahawa wake pale jirani na bestbite,mbeleni huko si akataka kumfanyia figisu yule mama mwenye eneo,kumbe yule mama mme wake mtu mzito,msama aliondolewa pale kama mwizi
Jambo lolote ukifanya na msama lazima uzushi uzushi utakuwepo
Ova
Stop that! mkimtaja magufuli wengine tunahisi kutapikaKupishana kupo katika utendaji, mbona huyo huyo Magufuli hakung'oa mabango alipoingia madarakani??? Hapa narudi kwenye uhalali wa kauli yako
Ila all in all, Magufuli alimpigia kampeni katika chaguzi zotebili na alimtaja kwa majina kuhusiana na utendaji wake
Rejea hotuba zake wakati anatambulisha mbunge mmoja mmoja katika kampeni za 2015& 2020