Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Kati ya wizara inayonikosha kwa mama samia n wizara ya ardhi
Hii wizara ilijawa na wahunj kila anaeingia anataka kujaza na ardhi mkononi mwake na kusahau majukumu yaliomteua
Kati ya wizara bora mama amefanya uteuzi n wizara ya ardhi
Mdogo wetu kiumri jerey silaa kwanza una shida ana ingilika kabisakuna mawaziri walikuwa miungu watu
Una shida hata katibuwake humwoni
Sio hivyo jerry ameweza kwenda mikoani kupambana na mali za waalifu waliotapeli ardhi za masikini wakitumia wahuni wa wizara husika
Jerry silaa amekuwa open wala haoindishi kama umepigwa anakwambia umepigwa
Kama hakiyako anakwambia hakiyakooo bika kupinda
Rejea kichwa cha habari hapo juu naomba wizara husika imkumbuke jerry silla ktk hafla za karibuni kumpa u dk wa heshima kwa kujali watu wwenye shida mbali mbali huku mapapa wapiga ardhi wakiwa hoi bin taaabani
Hii wizara ilijawa na wahunj kila anaeingia anataka kujaza na ardhi mkononi mwake na kusahau majukumu yaliomteua
Kati ya wizara bora mama amefanya uteuzi n wizara ya ardhi
Mdogo wetu kiumri jerey silaa kwanza una shida ana ingilika kabisakuna mawaziri walikuwa miungu watu
Una shida hata katibuwake humwoni
Sio hivyo jerry ameweza kwenda mikoani kupambana na mali za waalifu waliotapeli ardhi za masikini wakitumia wahuni wa wizara husika
Jerry silaa amekuwa open wala haoindishi kama umepigwa anakwambia umepigwa
Kama hakiyako anakwambia hakiyakooo bika kupinda
Rejea kichwa cha habari hapo juu naomba wizara husika imkumbuke jerry silla ktk hafla za karibuni kumpa u dk wa heshima kwa kujali watu wwenye shida mbali mbali huku mapapa wapiga ardhi wakiwa hoi bin taaabani