Jerry Silaa hajahudhuria shauri lake, Kamati yaomba kumkamata

Jerry Silaa hajahudhuria shauri lake, Kamati yaomba kumkamata

Mnataka wafanyeje ili liwe halijadoda?

Uchengezi huo!

Mmezoea kusikia maadhabu au siyo!

Tufanye kama yameshapita!
Watanzania wanahitaji nchi yao iwe na bunge, siyo upuuzi huo uliopo bungeni sasa, watu walioteuliwa na mtu mmoja, halafu akawaita wabunge. Ule ni uchafu ndani ya Taifa.
 
Kwa kwa maoni yako bunge lifutwe angalau kwa mwaka mmoja tuone tutapata hasara gani siyo? Swali kwako: Bajeti ya serikali nani ataipitisha? Au tupotezee maana hata iliyopitishwa haifuliwi? Miswaada na sheria mbalimbali nani ataipitisha? Au tupotezee mpaka tupate katiba mpya??
Kwani hata hiyo miswada isipopitishwa, tutapungukiwa na nini?

Kwa sasa huo uchafu unaoitwa bunge, ungefutwa moja kwa moja, tusubirie kuwa na bunge baada ya wananchi kuwachagua wanaotaka wawe wawakilishi wao. Hicho kikundi alichokitengeneza marehemu akakipatia mamlaka ya bunge, ni takataka na maudhi kwa umma.
 
Namsupport Jerry, kukaa na mijitu mbumbumbu ikikuhoji yataka moyo saana.
 
Wawapotezee tu au kuwapa onyo yaishe!

Siyo kila jambo lina adhabu!
Kwa alichofanya Gwajima kinastahili adhabu kubwa na siyo onyo kama unavyodai.
Kulifanya taifa lisimtii kiongozi mkuu mwenye suala muhimu la afya ya Taifa in sawa na uhaini.

Ili taifa liendelee linahitaji watu tena wenye afya imara,kama watu wataugua na kufa na maendeleo ya nchi yatakufa(kama yapo).
Nchi zote zenye uchumi mkubwa duniani baada ya janga hili LA covid,hawatakuwa na uchumi ule was mwanzo.

Waziri ni mwakilishi wa Rais kwenye eneo husika,ilitosha kauli yake iliyosema siyo lazima kuchanjwa no hiari ya mtu.
Kumpinga ni kumpinga Rais na kulihujumu taifa.

AFUNGULIWE MASHITAKA YA UHAINI,TOFAUTI NA HIVYO TUTAAMINI KUNA KUNDI LENYE NGUVU LILILOMTUMA HUYU KIBWENGO

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
hi kuna haja ya kuwa na bunge kweli....halina msaada hata kwa waliowapigia kula....
 
Back
Top Bottom