Jerry Silaa hajahudhuria shauri lake, Kamati yaomba kumkamata

Jerry Silaa hajahudhuria shauri lake, Kamati yaomba kumkamata

Safi sana tena wampige pingu kabisa. Haya majanga walikuwa wanawafanyia wabunge wa upinzani sasa wapinzani hawapo wanatiana madole ya macho wenyewe kwa wenyewe. 😂😂🤣
 
Huu ni upuuzi. Wabunge wa Ccm wana mambo ya kipuuzi sana..
 
Jamaa amesahau kama Leo zamu yake kuhojiwa yupo kwake anamwagilia mauwa tu.

Wangempigia simu isije kuwa kasepa na...
 
Sijui tunaenda wapi...kila kukuchao mbele giza. Tanzania Tanzania!
 
Nchi nzima kwa sasa hakuna mtanzania anayefuatilia kinachoendelea bungeni. Hii ni kwasabb hadhi ya vikao vya bunge chini ya Ndugai imeshuka kiasi cha kufanana na vikao vya send-off.

Watu wengi wazito waliwahi kulisuta bunge hili. Mfano:-
"Bunge ni dhaifu".........Prof. Assad
"Bunge ni kibogoyo" ..@pascal Mayalla.

Sasa ili kulifanya hili bunge walau liongelewe Ndugai ameanzisha maigizo na akina Gwajima na Jerry Slaa. Wnachokifanya Jerry Slaa na Gwajima ni maigizo tu. Kwenda na vitabu vingi visivyotumika wala visivyoendana na muktadha wa suala lenyewe.

Gwajima anakataa kiti na microphone siku ya kwanza na siku inayofuata anagoma kukaa na kukubali mic. Ni maigizo at work.
Halafu ujinga huo kupewa headlines na media ili bunge lifuatiliwe.

Leo tunaambiwa Jery Slaa amegoma kufika mbele ya kamati hivyo akamatwe. Lkn wenye akili washajua hii ni episode tu ktk hiyo movie.

Bunge limechuja na limekosa mvuto.
 
Ndugai mshauri mama uchaguzi ujao asikubali bunge liwe chama kimoja. Aacha wananchi wachague wampendae. Magu aliua bunge letu
 
Mnataka wafanyeje ili liwe halijadoda?

Uchengezi huo!

Mmezoea kusikia maadhabu au siyo!

Tufanye kama yameshapita!
 
Nchi nzima kwa sasa hakuna mtanzania anayefuatilia kinachoendela bungeni. Hii ni kwasabb hadhi ya vikao vya bunge chini ya Ndugai imeshuka kiasi cha kufanana na vikao vya send-off.

Watu wengi wazito waliwahi kulisuta bunge hili. Mfano:-
"Bunge ni dhaifu".........Prof. Assad
"Bunge ni kibogoyo" ..@pascal Mayalla.

Sasa ili kulifanya hili bunge walau liongelewe Ndugai ameanzisha maigizo na akina Gwajima na Jerry Slaa. Wnachokifanya Jerry Slaa na Gwajima ni maigizo tu. Kwenda na vitabu vingi visivyotumika wala visivyoendana na muktadha wa suala lenyewe.

Gwajima anakataa kiti na microphone siku ya kwanza na siku inayofuata anagoma kukaa na kukubali mic. Ni maigizo at work.
Halafu ujinga huo kupewa headlines na media ili bunge lifuatiliwe.

Leo tunaambiwa Jery Slaa amegoma kufika mbele ya kamati hivyo akamatwe. Lkn wenye akili tushajua hii ni episode tu ktk hiyo movie.

Bunge limechuja na limekosa mvuto.

Nilidhani ni mimi mwenyewe,kumbe wengi tumeshtukia huu mchezo wa kijinga.

Wabunge wameshindwa kushuhulikia mambo ya maana eg Tozo wanahangaka na upuuzi wa Askofu Rashid
 
Back
Top Bottom