Jerry Silaa hajahudhuria shauri lake, Kamati yaomba kumkamata

Jerry Silaa hajahudhuria shauri lake, Kamati yaomba kumkamata

Dodoma. Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Haki Maadili na Madaraka ya Bunge, Emmanuel Mwakasaka amesema ameomba kibali kwa Spika wa Bunge, Job Ndugai cha kukamatwa kwa mbunge wa Ukonga (CCM), Jerry Silaa baada ya kutofika katika shauri lake...

Ila haka kakijana kana kiburi ee 🤣🤣 sema mama ana hekima na busara na mpole,, kwa magu acngesubutu kufanya hayo.
 
Kwanini akimbie, wamempigia simu au kumtafuta kwa njia yoyote wakamkosa?

Hii hatua yao ni sawa na kumdhalilisha mtuhumiwa, hawakutakiwa kuwa na haraka ya kutoa hii taarifa.
 
Mambo mengine ni ya kujipotezea muda na kujitia magharama yasiyokuwa na mpango

Ova
 
Mzee Mwakasaka wewe ni mp.uuzi kuliko wanyakyusa wooote duniani.

Kosa la Jery Silaa ni kusema wabunge wakatwe kodi?
 
Haya ndiyo mambo Wabunge wetu wanayeweza.

Kero za wananchi kama tozo na changamoto nyingine hata huwa hawajali kivile.

Shame on them!
Nyie mnaweza mambo gani hadi mkawakubali hao wabunge wenu?
 
Hii kamati wanajadili siku nyingi waongeze posho tu. Huu nao ni ubadhirifu. Kitu kidogo wanajadili siku nyingi.
 
Wao kwa wao sasa! Kuna kale kamsemo ka kula nyama ya mtu that ukianza utaendelea tu!

Kosa lake ni kusema watazame namna ya wabunge waanze kukatwa kodi
 
Back
Top Bottom