Jerry Silaa hajahudhuria shauri lake, Kamati yaomba kumkamata

Jerry Silaa hajahudhuria shauri lake, Kamati yaomba kumkamata

Ndugai mshauri mama uchaguzi ujao asikubali bunge liwe chama kimoja. Aacha wananchi wachague wampendae. Magu aliua bunge letu
Hata huyu Samia na limagufuli sio chaguo la watanzania. Ni chagua la washika bunduki
 
Mimi sioni umuhimu wa hicho chombo .
Kwa kwa maoni yako bunge lifutwe angalau kwa mwaka mmoja tuone tutapata hasara gani siyo? Swali kwako: Bajeti ya serikali nani ataipitisha? Au tupotezee maana hata iliyopitishwa haifuliwi? Miswaada na sheria mbalimbali nani ataipitisha? Au tupotezee mpaka tupate katiba mpya??
 
Nchi nzima kwa sasa hakuna mtanzania anayefuatilia kinachoendelea bungeni. Hii ni kwasabb hadhi ya vikao vya bunge chini ya Ndugai imeshuka kiasi cha kufanana na vikao vya send-off.

Watu wengi wazito waliwahi kulisuta bunge hili. Mfano:-
"Bun
Labda wanatuchezesha ubongo tusahau tozo na kodi za majengo.
Bunge haliwezi kujijengea heshma eti kwa kunyamazisha wajumbe ama kuwatisha wanapotoa mawazo tofauti na serikali.
Bunge bora ni lililohuru,linalojibu hoja kwa hoja na kuwa na uwazi.
leo mbunge haruhusiwi kuikosoa serikali it's a shame!!
Ndugu yai anageuza bunge kuwa kwaya ya MT. Teresia ya kusifu na kuabudu...stuspeed!!
 
Nchi nzima kwa sasa hakuna mtanzania anayefuatilia kinachoendelea bungeni. Hii ni kwasabb hadhi ya vikao vya bunge chini ya Ndugai imeshuka kiasi cha kufanana na vikao vya send-off.

Watu wengi wazito waliwahi kulisuta bunge hili. Mfano:-
"Bunge ni dhaifu".........Prof. Assad
"Bunge ni kibogoyo" ..@pascal Mayalla.

Sasa ili kulifanya hili bunge walau liongelewe Ndugai ameanzisha maigizo na akina Gwajima na Jerry Slaa. Wnachokifanya Jerry Slaa na Gwajima ni maigizo tu. Kwenda na vitabu vingi visivyotumika wala visivyoendana na muktadha wa suala lenyewe.

Gwajima anakataa kiti na microphone siku ya kwanza na siku inayofuata anagoma kukaa na kukubali mic. Ni maigizo at work.
Halafu ujinga huo kupewa headlines na media ili bunge lifuatiliwe.

Leo tunaambiwa Jery Slaa amegoma kufika mbele ya kamati hivyo akamatwe. Lkn wenye akili washajua hii ni episode tu ktk hiyo movie.

Bunge limechuja na limekosa mvuto.
Tangia Bunge lilipokubali kuongelea waliyotumwa kuyajadili na Wananchi gizani niliona anguko lake.Spika/Kiongozi wa mhimili unapoendesha chombo cha kuongea siasa unakubalije kuagizwa jinsi ya kutenda kazi huku ukishangilia.Kuanzia 2020 hali yao ndiyo imekuwa mbaya zaidi maana wamebaki waporaji na hakuna Mbunge mle.Wanayoyajadili hayaakisi mahitaji ya Wananchi ndiyo maana wanapitisha Sheria za ajabu kama Tozo za miamala,kodi lukuki na kuongeza kero.
Wabunge acheni kukamua ng'ombe msiyemlisha vema.Uchumi wa Wananchi upo taabani nanyi hamlali njaa au kubana matumizi!
 
Kwa kwa maoni yako bunge lifutwe angalau kwa mwaka mmoja tuone tutapata hasara gani siyo? Swali kwako: Bajeti ya serikali nani ataipitisha? Au tupotezee maana hata iliyopitishwa haifuliwi? Miswaada na sheria mbalimbali nani ataipitisha? Au tupotezee mpaka tupate katiba mpya??
Wewe jamaa mpaka sasa huajajua kuwa pale bungeni ni kualilisha tu vitu na siyo kupitisha vitu vya msingi.
Hangalia kipindi cha magufuli kila kitu alikuwa anapitsha ikulu then wavunge waba buruzwa tuu.

Kwa sasa ivi jaribu kuangalia mchakato mzima wa hizi kodi zisizo na kichwa wala miguu, zilitungwa na wabunge wa nchi gani
Kiuhalisia Bunge letu limekosa mvuto kwa uhai wa Taifa letu.
 
Kwa kwa maoni yako bunge lifutwe angalau kwa mwaka mmoja tuone tutapata hasara gani siyo? Swali kwako: Bajeti ya serikali nani ataipitisha? Au tupotezee maana hata iliyopitishwa haifuliwi? Miswaada na sheria mbalimbali nani ataipitisha? Au tupotezee mpaka tupate katiba mpya??
Lifutwe Bunge la chama cha mazuzu(CCM) tuandike Katiba ya Wananchi ile ya Warioba,turudi kwenye sanduku la kura ambazo zitasimamiwa na AU/UN tuanze upya.
Kutegemea CCM itafufuka na kuleta maendeleo ni sawa na kusubiria meli inayoenda Dodoma.
 
Back
Top Bottom