Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 12,001
- 27,175
Kwani kauli yake hii ya 'Chokochoko' alizungumzia akiwa wapi?Na sisi Ukonga tunamtafuta maana toka kuapishwa atujamuona jimboni kwake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kauli yake hii ya 'Chokochoko' alizungumzia akiwa wapi?Na sisi Ukonga tunamtafuta maana toka kuapishwa atujamuona jimboni kwake
Ilitakiwa kiombwe kibali ili afande aje amkalishe kwa nguvu[emoji3]Hata hili la Gwajima kukataa kukaa wakati wa kuhojiwa litamgharimu sana.
Mtu anaongelea wabunge kukatwa kodi anakuwa mbaya CCM shida sana ila mwisho umekaribia!Sema hili Bunge drama zinazidi sasa.
"CONCUBINE"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumekucha, kumekuchaaa.
THE GREAT PONDS by Elechi Amadi"CONCUBINE"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
How?Hata hili la Gwajima kukataa kukaa wakati wa kuhojiwa litamgharimu sana.
Correct!,jamaa alikuwa noma sana ,mapigano ya koo kugombea bwawa la samakiTHE GREAT PONDS by Elechi Amadi
ila huku hakuna salakasi? halafu jamaa walikuwa wana minyoo sijui walipokula hela ya lowasa tu wakanenepaCCM bhana !! sarakasi tupu !
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Upuuzi gani huu wa kutishana kijinga. Sasa akishashikwa akaletwa kamati inaweza kumfunga kama hataki kuendelea kuhojiwa? Na kama tunafika huko kwa mbunge kutumia uhuru wake kutoa maoni kama taifa tunaenda wapi?
Hivi wanamhoji nini MTU aliyesema kuwa wabunge hawakatwi Kodi? Hiyo nayo ni kesi ya kutaka MTU arudi kesho yake au ndo kuongeza per Diem? Wanaomhoji ni wabunge, majibu tayari wanayo. Wasituchoshe ngoja tumalizane na gaidi traffic kwanzaWamvumilie kakosa kirikou ya kubeba mabuku mengine..Ila tumewasiliana naye anasema kesho must lazima afike.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ila huku hakuna salakasi? halafu jamaa walikuwa wana minyoo sijui walipokula hela ya lowasa tu wakanenepa
View attachment 1909490
angalia msigwa utafikiri katoka porini
Waliambiwa wakiwamaliza wataumama wenyewe na kweli sasa wananjooshana kisawasawa na bado%%%%%%%%Haya ndiyo mambo Wabunge wetu wanayeweza.
Kero za wananchi kama tozo na changamoto nyingine hata huwa hawajali kivile.
Shame on them!