Jerry Silaa kwa CV hii umestahili kubeba vitabu hivyo

Ila jamaa ana nongwa, kaja na sanduku la vitabu kabisa, angekuwa Lissu angeenda na kichwa chake tu lakini unakosa pa kumbana mpaka unataka kurusha ngumi...kuna mawakili wa serikali waliwahi kulalamika mwamba anatumia uchawi🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…