Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona eneo la uzoefu na kazi halipo?!Na CPA loading hongera sana Mkuu.View attachment 1906643
JiweKama kuwa na mavyeti mengi ni sifa mie ningesoma kila mwaka mpaka nafika 40 yrs nina magamba kibao! Ila yote hayo kama huna mishe we ni zaidi ya kilaza mjini😅
HahahahahaJiwe
Alisema Mimi Kwenye Utawala Wangu Sitaki Mambo Ya Details Design,Watu Wanataka Maji Wanywe 😀😂😁😃
Swali zuri mkuu 👏👏Mbona eneo la uzoefu na kazi halipo?!
Tatizo MwengeTz tuna watu wana CV zinavutia ila kwanini hatusongi mbele?
1. Master's of Business administrationNa CPA loading hongera sana Mkuu.View attachment 1906643
Hayo ni mahaba binafsiLakini ndio huyu aliekuwa anapiga debe katiba ivunjwe na Magufuli atawale hadi kifo.Kweli elimu ni makaratasi tu.
Na Magufuli kweli alitawala hadi kifo chake. Au nasema uongo ndugu zangu.Lakini ndio huyu aliekuwa anapiga debe katiba ivunjwe na Magufuli atawale hadi kifo.Kweli elimu ni makaratasi tu.
Ukweli. Waliyokuwa wanamwombea yalitimia kwa ukamilifu. Mungu ni mwemaNa Magufuli kweli alitawala hadi kifo chake. Au nasema uongo ndugu zangu.