Jerusalem: Sababu tatu za kuzuka kwa ghasia kati ya Wapalestina na Wayahudi

Kwa Kifupi sana, Waisrael Zamani walitekwa na kwenda kutumikishwa ulaya kama Waafrika walivyofanywa, na wapalestina ni kama wamasai walivyoingia kenya na nchi nyingine.
Asante sana Mkuu
 
Reactions: Lob
Wale makafiri waliovamiaa masjid aqsa wakapiga watu risasi huwezi kuskiia wakiitwa magaidi
 
Dunia nzima waislam akili zao ni moja wanawaza fujo mda wote kuua kuandamana kujitoa mhanga.

Kusingekuwepo uislam tungekaa kwa aman sana ila nashukuru mungu aliwapa nguvu Israeli, na wazungu maana wanashughulikiwa kisawa sawa very good.
Pole sana chief.
 
Mbn dunia kubwa kwann wasiende kuishi hata araska auko au austrial waombe wakaishi uko kila siku wanapigana kuigombania iyo ardhi ina nn iyo ardhi???
 
Dunia nzima waislam akili zao ni moja wanawaza fujo mda wote kuua kuandamana kujitoa mhanga.

Kusingekuwepo uislam tungekaa kwa aman sana ila nashukuru mungu aliwapa nguvu Israeli, na wazungu maana wanashughulikiwa kisawa sawa very good.
Poor reasoning guy,
Pole sana hujui dunia ya propaganda inavyoendeshwa.Uislamu siyo fujo,kuua wala siyo kuandamana bali haya yametengenezwa na watu wenye malengo mabaya dhidi ya uislamu (Samahani ukiwemo na wewe).

Uislam maana ake ni "PEACE'' hivyo ondosha dhana mbaya yenye chuki na ujifunze uislam then urudi hapa kwa mara nyingine.
 
Nimekwambia ksome uislamu kwanz

Maana katika vyote ulivyovitaja hakuna hatakimoja kilicho idhinishwa na uislamu hapo

Vyote hvo vimekatazwa so kbla ujaanza kuongelea dini ya mtu unabidi uisome uielewe then ndo uje kujudge
 
Soma history kipindi UN anagawanya hyo Palestine na kuform Israel 1948

Wapalestine walkuwa wengi na wakapewa eneo dogo kuliko jews ambao walikuwa wachache

Na tangia hapo majews walikuwa wanaexpand mpka sasa inaonekana kma Palestine hamn nchi

Ndomn nikakwambia weka udini pembeni
 
Unatetea upumbavu mjinga wewe wale waliokua wanachoma makanisa zanzibar kipindi cha kikwete si waislam mara ngapi waliondamana na kuleta fujo kisa mtoto kakojolea quran si waislam mara ngap ma padri wame pigwa risas na kumwagiwa tindikali zanzibar au wale mashekh wa uamsho gerezani wako pale bure??
 
Nimekwambia ksome uislamu kwanz

Maana katika vyote ulivyovitaja hakuna hatakimoja kilicho idhinishwa na uislamu hapo

Vyote hvo vimekatazwa so kbla ujaanza kuongelea dini ya mtu unabidi uisome uielewe then ndo uje kujudge
Kwa hiyo wale wanaovifanya huwa ni watu wa dini gani?

Au kuna dini 2 za uislamu?
 
Shida kubwa uliyonayo mkuu ni kwamba uko too general, hebu jaribu kwenda taratibu na ujiulize kwa nn hayo hutokea.

Zaidi ya hapo kuna uislamu as a religion na kuna muislamu as a person likewise kuna ukristo/uyahudi as a religion na christian as a person kwa hiyo hukumu kwa kuutazama uislamu na siyo muislam.

Kam hujaelewa njo mkuu.
 
Uislam ni ugaidi full stop,
 
Uislam ni ugaidi full stop,
Bado hujaelewa pia naona hupendi kujifunza.
Kwa bahati mbaya inawezekana uko mweupe sana katika terminology za ugaidi na zenye mfano wake.
Tenga muda ujifunze dunia inavyoendeshwa usije kuua ndugu zako kwa kuwaita magaidi ilihali siyo katika hao unaowadhania.

Ukitaka kumuua mbwa muite jina baya.
Mchana mwema mkuu ila karibu nikujuze kuhusu uislam labda utajiweka seheme huru na kuepuka chuki isiyo ya lazima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…