Jesca Kitambaa Cheupe aliacha kazi ya Airhostess ili akajiajiri

Jesca hakuanza na glocery ndogo.

Huyo ni mwanamke aliefaidika na ukike wake.

Kwanza alivyomaliza tu chuo Jesca aliolewa na mtoto wa kishua mwenye akili anemiliki mali kibao. Mtoto wa waziri wa miaka mingi zamani surname yake SINARE.

Huko jesca aliwezeshwa sana na mumewe.

Na hata ndoa yao ilipofikia Divorce

Jesca hakuondoka mikono mitupu. Mgao wa Divorce ulimpa mtaji wa nguvu.

Bado child support za kishua kwa mwanae nazo zikawa zinamsogeza
 
Hakuna biashara ya bar au glocery inayotoboa bila ushirikina wapo watu walifanya ayo yote unayoyasema lakini olaaaa najuana na watu wengi sana waliofanikiwa kwenye iyo sector naijua A to Z .
 
Umejuaje kama ana maisha magumu huyu mtu Mkuu
Mtu mwanamume akifika pahala akatamani kuwa ingekuwa vizuri kama angezaliwa mwanamke, ila anajuta kwa kuwa haiwezekani tena, hapo ujue amepigika!! Anawaonea wivu wanawake maana wao wana plan 2 katikati ya miguu yao!! Ushahidi wa Mpwayungu kutamani kuwa mwanamke huu hapa!! Kwa nini watu wasiamini kuwa huyu jamaa ni shoga?

 
Utakuwa una zile habari za kina Haji manara😁😁
 
Kama Mpwayungu ana ubavu, aje hapa ajitetee!!
 
Lakini akumbuke jehanamu inamsubiri!! Wengi hujitoa ufahamu na kujifanya hawalijui hili japo dhamiri zao huwashuhudia sana kuwa wayatendayo yanawapeleka kwenye hukumu ya Mungu!!
 
Mkuu wewe haupo miongoni mwa malofa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…