bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
FilterJesca mzur
Wale watu hawapendi unyonge🤣🤣Tuache wanyaki hatutaki uchokozi.
Ndio utufananishe na wanyaki? Hatutakii nyau wee [emoji23]Wale watu hawapendi unyonge[emoji1787][emoji1787]
Hana ajira na kasomea ualimu ndio maana ana ulaaniMpwayugu una hasira ya kuacha kazi ya ualimu siku hizi wanakula mshahara mzuri tofaut na zama zile
Nimecheka hadi sifai🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ndio utufananishe na wanyaki? Hatutakii nyau wee [emoji23]
Ungekuwa miaka ile ningesema unaota ndoto za AlinachaNashangaa hilo??, kazi za kuvuka border unafikili wanapewa pesa za mbuzi kama walimu??, Kuna mataifa hiyo pesa inalipwa unskilled laborer
[emoji23][emoji23][emoji23] ndio umeamua unibadilishie na muandiko. LioneNimecheka hadi sifai[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanyaki hawapendi ujinga, maskini jeuri hadi kifo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe ni shahidi una vimelea muhimu vya Kinyaki mbusi wewe[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa msisitizo uone, najua ulivyo mbishi, khenge wewe🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23] ndio umeamua unibadilishie na muandiko. Lione
Dola 300 au Dola 3000?Fikiria kazi nzuri ya kuwa mhudumu wa ndege za Fastjet lakini huyu Dada akaona anapoteza muda kwani hatatajirika kwa kuajiriwa ikabidi akafungua glocery akaweka vinywaji hata vya laki tano havifiki.
Baada ya miaka mitano akaanza kukua kibiashara mwisho wa siku bar za kitambaa cheupe zinatikisa Dar nzima.
Inahitaji commitment na dedication kuacha kazi unayolipwa zaidi ya $3000 Kwa mwezi ukaenda kufungua kigrocery ukiwa na ndoto ipo siku itakuwa bar kubwa.
Lakini akili za walimu ukiwaambia vitu kama hivi wanaishia kudondosha udenda tu ila kufanya maamuzi kama haya hawawezi. Walimu mtabaki makapuku mpaka kaburini, mnaona hiyo kazi ni alpha na omega, mimi bora nikaendeshe guta sokoni.
View attachment 2708851
Kabisa jamaa hawajui masponsor huyu, na ufadhili wao ni kwa jinsia ke tu tena zile pisikali.Hio biashara ya bar ni extension ya biashara yake kuu ambayo mimi na wewe hatuijui🤣!
Shirika la ndege sio sawa na malipo ya uchawa kijana😂😂Dola 300 au Dola 3000?
Mbona Uwoya na Wema Wana na ma-sponsor Ila biashara hawawez?Kabisa jamaa hawajui masponsor huyu, na ufadhili wao ni kwa jinsia ke tu tena zile pisikali.
Jibu swali acha mipashoShirika la ndege sio sawa na malipo ya uchawa kijana😂😂
[emoji23][emoji125]Kwa msisitizo uone, najua ulivyo mbishi, khenge wewe[emoji1787][emoji1787]
Wasioweza walioweza wote ni wale wale tu kitega uchumi chao ni kinajulikana, so hatuwezi kuwatumia kama mtoa mada anavyotaka kutuaminisha ni 'inspirational figure' no not for my daughterMbona Uwoya na Wema Wana na ma-sponsor Ila biashara hawawez?