Alitemwa sema kusema kwa uwazi kipengele nacho.Ni kichaa pekee wa kuamini hilo. Waseme tu mkataba wake uliisha akaamua afungue biashara hapo itaeleweka. Hakuna mtu wa kuacha million 7 kwa mwezi akafungue business ya kitoto kama grocery.
Nineshindwa kupata connection kama kweli analipwa mpunga huo alifunguaje grocery na mtaji chini ya laki tanoAir hostess Gani anaelipwa Dola 3000
Kim Jong Jr kakuuliza swali zuri sana ulipaswa kuja na Data sio ushubwadaNashangaa hilo??, kazi za kuvuka border unafikili wanapewa pesa za mbuzi kama walimu??, Kuna mataifa hiyo pesa inalipwa unskilled laborer
Mkuu, kama huyo demu alikuwa anakaa Tanzania, hio hela ni kubwa sana ila kama alikuwa anakaa nje ya bongo, USD 3000 ni hela ndogo kiukweli.Ulipwe $3000 uache ukafungue grocery ya vinywaji? 😂 😂 😂 ONLY IN TIZED MAZEE
Umemaliza kila kitu wasipokuelewa hawataelewa chochote maishaniSasa Mkuu ukianza kuchukua inspiration kwa wadada utapotea. Huyo ukute aliachishwa kazi na sponsor lake, akajipumzikia zake, after the mentioned years akapewa mtaji wake ndo saivi anatikisa mjini. Hao wanawake wenzako wana contingency plan between their legs in case mambo hayaendi vile wanataka, wewe sasa jichanganye uache kazi ukaskume guta alafu ukose mizigo ya kubeba kwenye hilo guta, uone kama hujavuliwa ubingwa mjini hapo😅
Obvious alikuwa BongoMkuu, kama huyo demu alikuwa anakaa Tanzania, hio hela ni kubwa sana ila kama alikuwa anakaa nje ya bongo, USD 3000 ni hela ndogo kiukweli.
Waache wapoteane. Hamna demu anaacha kazi bila kuwa na uhakika wa sponsorship ya kibabe. Na hapo lazma awe kajihakikishia kachuma vya kutosha.Sasa Mkuu ukianza kuchukua inspiration kwa wadada utapotea. Huyo ukute aliachishwa kazi na sponsor lake, akajipumzikia zake, after the mentioned years akapewa mtaji wake ndo saivi anatikisa mjini. Hao wanawake wenzako wana contingency plan between their legs in case mambo hayaendi vile wanataka, wewe sasa jichanganye uache kazi ukaskume guta alafu ukose mizigo ya kubeba kwenye hilo guta, uone kama hujavuliwa ubingwa mjini hapo😅
Simple mno yani. 🤣Watu biashara wanazichukulia simple
Kujiajiri ni royal kuliko kuajiriwa no matter utaingiza bei Gani, hiyo pesa unayoshoboka nayo ni ndogo sana, angetia uoga Leo hii asingekuwa alivyoUlipwe $3000 uache ukafungue grocery ya vinywaji? [emoji23] [emoji23] [emoji23] ONLY IN TIZED MAZEE
FastJet ingekufa hapa Tanzania ....safari yake ni ndefu usione vyaelea watu wanapita mengiNi kichaa pekee wa kuamini hilo. Waseme tu mkataba wake uliisha akaamua afungue biashara hapo itaeleweka. Hakuna mtu wa kuacha million 7 kwa mwezi akafungue business ya kitoto kama grocery.
Sumeona akili za walimu!!, kwahiyo kazi ya bar ya kitambaa cheupe unaichukulia poaHio biashara ya bar ni extension ya biashara yake kuu ambayo mimi na wewe hatuijui[emoji1787]!
Usimshangae. Maana hata huko nyuma alishawahi kutamani kuwa mwanamke/kuzaliwa mwanamkeKama wewe ni mwanaume acha kabisa kutamani mafanikio ya wanawake, wameumbwa kupokea!
Kama million 7 kwa mwezi ni ndogo acha nishoboke tu mkuu. Wapo watu budget ya kuwalipa ofisi nzima haizidi hio figure. Na wananyonga tai kama kawa.Kujiajiri ni royal kuliko kuajiriwa no matter utaingiza bei Gani, hiyo pesa unayoshoboka nayo ni ndogo sana, angetia uoga Leo hii asingekuwa alivyo
Laana lakini wanakula hadi milioni 2 kwa mwezi wakati wewe uko huko mwaka wa 3 huu very jobless.Walimu ndiyo kada pekee hapa Tanzania inayo tukanwa, kudharauriwa, kutwezwa na kukalipiwa hata na mlevi.
Ukizingatia mshahara mdogo na hakuna allowance wanaonekana hopeless. Ualimu tz ni laana.
Shida umejiandaa kuninanga na upo standby Kwa ligi, kwahiyo ww fata mambo yakolimpwaYungu n liongo hebu tutajie huyo' air hostess n wa kampun gan anayelipwa hvi..ili na sisi tukujulishe ulivyo muongo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkuu ualimu ni laana bora ubake baba mzazi ila sio kuwa mwalimuWalimu ndiyo kada pekee hapa Tanzania inayo tukanwa, kudharauriwa, kutwezwa na kukalipiwa hata na mlevi.
Ukizingatia mshahara mdogo na hakuna allowance wanaonekana hopeless. Ualimu tz ni laana.