Jesca Kitambaa Cheupe aliacha kazi ya Airhostess ili akajiajiri

[emoji23][emoji23][emoji23], mkuu ana Prado mbili, range tatu, hivyo vigari vidogo dogo kama upupu ana nyumba sio chini ya tano utasemaje anajisell
Labda nikwambie.
Kuna watu wanajua kushikwa mkono na wakashikika sio kama akina Wema.
Hasa wanawake wa kichaga, wakishikwa mkono watakushangaza.
98% ya wanawake wenye mafanikio ndani yake kuna mikono na sio mkono...ya wanaume.

Hasa hawa wenye bar wanajua sana kutengeneza michongo kupitia wateja wao wa kudumu.

Utakuta ana eneo maalum la kukaa na wateja wake wa kila siku na kupiga nao stori huku wa kinywa taratubu, mkilewa mnaanza kutoa ahadi za kumjengea mara kusomesha watoto, mara wengine kuongezea mtaji wa kreti za bia.
Imejini kila siku apewe kreti 2 ..3 za bia ndani ya mwaka yuko wapi?

Endelea kuwatukana walimu lkn mjini shule...walimwengu ndio waalimu wenyewe🀣🀣
 
Mleta Thread sijakuelewa,Hii ni Madam ya WALIMU au ya JESCA wa Kitambaa Cheupe??
Ila Naomba nikukumbushe kitu kimoja tu,Unione muuza Machungwa anatajirika nawe ukaacha KAZI Ili nawe ukauze Machungwa Ili utajirike.
Mfumo wetu wa elimu ndio changamoto maana ni wachache wanaweza kuwa na uthubutu.
 
Mpwayungu Village anamsifia huyo dada Kwa kuwa naye anatamani kuwa mwanamke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…