T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,674
- 29,643
Kila la kheri JESCA JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ALIPATA F ZOTE LAKINI KAKUZIDI MAISHA HUJISHANGAI TU ? JUWA KUNA MAISHA BAADA YA ELIMUHuyu Jesca ndio yule alipwta F zote Form 4 au n mwingine
Division one mtoto wa kike ya kazi gani, mbona mnataka kuwabebesha mizigo isiyowahusu?.....mwanamke hawajaumbwa kuhangaikia ugali asome hadi achanganyikiwe, pambana na hali yako mzee.Huyu Jesca ndio yule alipwta F zote Form 4 au n mwingine
niliona kuna umuhimu wa kukutaarifu umuonye asijemwaribia Janetiiii.🏌♂️🎤Watu bhana .... Eeeeeeeh alifeli form four ndo Nini sasa? So what
Sisi tunampenda ivo ivooooo
Mtoto wa kiume ana wivu na janeti wetuuuuu 😂
Kupata F siyo kukosa la kufanya maishani, wapo waliopata A zote ila hawajui wafanye nini kukabiliana na changamoto za maisha, Mungu huwainua wanyonge kwa namna zakeHuyu Jesca ndio yule alipwta F zote Form 4 au n mwingine
Atapita kwa heshima ya baba na hakuna mtu asiyewezaKutoa baraka haimaanishi anaweza
Kumbe naye ni single maza duh,Amezaa tu hajaolewa
Pia anahaki ya kugombea mkuu katiba haimzuiiBora atulie tu. Tanzania sio monarch country.
MusukumaJesca uwezo wake wa kielimu uko chini sana, jamani ubunge sio nafasi ya kusomba watu tu sbb ya jina la mzazi wako, lazima uwe na uwezo, ni nafasi nyeti sana kuwakilisha wananchi bungeni.
Mtoto ni kisu ile laana. I can't last for 30 seconds.
Mimi ndo muchumba wake kaa kando!Ameolewaaa???? 🤒
Rafiki wa kweli hata mzee huko ahera city roho yake imefurahi anajua alimuacha mchizi wake kichizi nakuunga mkono odinga chukua form 2027 one day uwe raisi wa kenya hata ukiwa na miaka 100!Sasa rasmi familia ya JPM itadhibiti siasa za Geita na Chato kwa miaka kadhaa ijayo. Nguli wa siasa za Afrika Mashariki kaweka mkono wake.
Ni kweli kabisa watu tunashindwa kuelewa kuwa huwa kuna maisha mengine baada ya elimALIPATA F ZOTE LAKINI KAKUZIDI MAISHA HUJISHANGAI TU ? JUWA KUNA MAISHA BAADA YA ELIMU
Naamini unajua kusoma...Wapi pamesemwa hawezi kufanya jambo maishani? Nilikuwa nauliza tu.Kupata F siyo kukosa la kufanya maishani, wapo waliopata A zote ila hawajui wafanye nini kukabiliana na changamoto za maisha, Mungu huwainua wanyonge kwa namna zake
Musukuma
Babutale
Shigongo
Kishimba
Hao wana elimu gani?