Jeshi Israel lamnasa kamanda Hezbollah alijificha handakini chini ardhini lenye silaha na mahitaji muhimu, apelekwa Israel kuhojiwa

Jeshi Israel lamnasa kamanda Hezbollah alijificha handakini chini ardhini lenye silaha na mahitaji muhimu, apelekwa Israel kuhojiwa

Israel hakuna pahala kaingia lebanon,hizo propaganda tu
Mmmeumbiwa ujinga mwingi, mnakufa huku mkitiwa moyo msiogope eti hata mkifa kuna mito ya pombe na mabikra 72๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Huo ni uwongoo pendeni maisha wakuu
 
Bora Hamas walikaza msuli kabla pumzi hazijakata....Hezbollah wepesi kuliko mgambo wa manispaa....
Nimeona kwenye habari waandishi WA vyombo vya habari vya "Nje" wamepelekwa kwa magari ya kivita ya mayahudi kwenda kuangalia mzigo WA silaha zikiwemo anti-tank Kali zana zilizokamatwa na mayahudi mpya kabisa kwenye mabox yake!
Imagine CCM inavowakomalia wa Tanzania, inavowakataza wasiandamane, Inavouza Bandari zao kwa Waarabu.

Ndio situation waliopo Lebanon, Hezbollah imeiweka mateka Serikali na watu wa Lebanon, na wameuza nchi yao Kwa Iran.

Ndio maana usishangae Israel kuwa Taarifa za kiintelenjinsia sahihihi sana
 
Hakuna mahala alipoingia wakati umoja wa mataifa wameshalalamika kwa ofisi yao kushambuliwa na askari wawili wamejeruhi na vifaru vya Israel Beirut kusini au huko siyo Lebanon?.
Umoja wa mataifa wapo mpaka wa lebanon na israel,wanatengeza buffer zone muda tu,miaka, netanyahu kamwambia guttierez muda mfupi uliopita un waondoke hapo.....
 
Mmmeumbiwa ujinga mwingi, mnakufa huku mkitiwa moyo msiogope eti hata mkifa kuna mito ya pombe na mabikra 72๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Huo ni uwongoo pendeni maisha wakuu
Inahusiana nini na mada?
 
Tulianzishiwa thread humu IDF wakiingia lebanon vikundi vyote vya kislam vitaenda kuwasaidia hesbullah mpaka sasa mambo magumu kwao sijaona kikundi chochote cha kislam kwenda lebanon zaidi ya mbwa iran kubweka tu ๐Ÿคฃ
Iran alimjaza upepo kuwa watapigana kwa pamoja ikiwa Israel ataingia Lebanon. Kwa sasa Ayatollah simu zake haziiti na meseji hajibu, kwa sasa kazi aliyonayo ni kuhama handaki moja kwenda jingine.
 
Hata maisha yao sasa yameshakuwa ya mateso...
 
Wadau hamjamboni nyote?

Shughuli inaendelea huko Lebanon

Gaidi anaswa live chini ya ardhi huko Lebanon, apelekwa sehemu maalumu kwa ajili ya mahojiano

Mungu ibariki Israel

Taarifa zaidi kwa kimombo hapo chini:


October 13, 2024

IDF troops capture Hezbollah fighter in underground bunker, take him to Israel for interrogation

By Lazar Berman Follow
Today, 12:05 pm
10


IDF forces in southern Lebanon capture a Hezbollah fighter in an underground bunker.

According to the IDF, troops identified a tunnel shaft inside a building leading to a 50-square-meter room some seven meters underground. The terror operative was hunkered down in the bunker, which also held weapons and supplies for an extended stay underground.

Video shows IDF troops instructing the Hezbollah fighter in Arabic to climb slowly out of the bunker, wearing only his underwear and shoes.

According to the IDF, the operative was taken to a detention facility inside of Israel for interrogation.

IDF troops in southern Lebanon uncover a Hezbollah bunker 7 meters underground, with a Hezb fighter hiding inside. He surrenders, and according to the IDF, is taken to a detention facility inside of Israel. pic.twitter.com/2A6IkBXQEx

โ€” Lazar Berman (@Lazar_Berman) October 13, 2024
Mwanzo wafia dini walipaza sauti hezbollah ni watu hatari sana sio hamas ni kikundi kikubwa kina misile laki na nusu israel itachapika sana sasa najiuliza hii ndio ile hezbollah ilikuwa inasifiwa au nyingine maana myahudi anavyojipigia mpaka huruma wanamgambo wote wa allah amejifichia mapangoni kama panya
 
Wadau hamjamboni nyote?

Shughuli inaendelea huko Lebanon

Gaidi anaswa live chini ya ardhi huko Lebanon, apelekwa sehemu maalumu kwa ajili ya mahojiano

Mungu ibariki Israel

Taarifa zaidi kwa kimombo hapo chini:


October 13, 2024

IDF troops capture Hezbollah fighter in underground bunker, take him to Israel for interrogation

By Lazar Berman Follow
Today, 12:05 pm
10


IDF forces in southern Lebanon capture a Hezbollah fighter in an underground bunker.

According to the IDF, troops identified a tunnel shaft inside a building leading to a 50-square-meter room some seven meters underground. The terror operative was hunkered down in the bunker, which also held weapons and supplies for an extended stay underground.

Video shows IDF troops instructing the Hezbollah fighter in Arabic to climb slowly out of the bunker, wearing only his underwear and shoes.

According to the IDF, the operative was taken to a detention facility inside of Israel for interrogation.

IDF troops in southern Lebanon uncover a Hezbollah bunker 7 meters underground, with a Hezb fighter hiding inside. He surrenders, and according to the IDF, is taken to a detention facility inside of Israel. pic.twitter.com/2A6IkBXQEx

โ€” Lazar Berman (@Lazar_Berman) October 13, 2024
Wakati sisi tukishangaashangaa hii habari, wao watakuwa wameshapata habari za mtandao mzima
 
Umoja wa mataifa wapo mpaka wa lebanon na israel,wanatengeza buffer zone muda tu,miaka, netanyahu kamwambia guttierez muda mfupi uliopita un waondoke hapo.....
Kumbe Beirut kusini iko mpakani?.
 
Ukiwaona na zile uniforms utadhani kuna wapiganaji, baruti ikilia humo, wanavaa nguo za kile na kupaka wanja.
 
Back
Top Bottom