Jeshi la Ethiopia laingia Kenya na kuua wakenya

Jeshi la Ethiopia laingia Kenya na kuua wakenya

Nimeshawahi kuenda Ethiopia mwaka wa 2017. Ulinzi uliopo ndani ya nchi hio ni ya maajabu. Nilitumia basi kusafiri kutoka Moyale hadi Addis kwa siku mbili. Tulisimamishwa na polisi kila baada ya kilomita kama thelathini na kuagizwa kushuka ili bag zetu zifanywe search. Hamna Alshabab anayeweza kubeba bomb au bunduki kupitia basi au hata gari huko. Kenya na Tanzania sote tufuate mkondo huo. Pia wana nyumba kumi. Security yao iko sawa. Natumai umepata jibu.
Usiseme kenya na Tanzania,
Kwanini usiseme kenya ndio ifuate huo mkondo?
 
Eeheee kijana usinigeuze mtoto.
Taliban na Alqaeda hazihusiani kabbisa.
Taliban iliundwa ikiwa na dhumuni lake na Alqaeda iliundwa na Osama ikiwa na dhumuni lake tofauti na Alqaeda.
Nimeisoma vema sana historian ya kuundwa Alqaeda toka Osama anatoka Saudi na kwenda Afghanistan kuanzisha hilo kundi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Al qaeda ilianzishwa na Osama huko Afghanistan kwa pesa ya Marekani na pesa ya Osama mwenyewe maana baba yake alikuwa tajiri mkubwa huko Saudia. Lakini Afghanistan ilikuwa chini ya uongozi wa Taliban. Taliban ndio walimpa Osama mahali pa kufanyia mipango yake na kurecruit wapiganaji wake. Hivi unadhani kama Taliban wangemfurusha Osama arudi kwao Saudia kungekuwa na upuzi unaoitwa Al qaeda?
 
Hapo kwa ndugu zetu kenya chapati ni mlo wa kitajiri..Njooni nchi ya maziwa,matunda na asali mjionee...Hapo morogoro tunakula nanasi kubwa na lenye afya kwa miatano.Embe kubwa lile dodo lenye harufu nzuri na ladha murua kuanzia 200 mpaka wakati mwingine bure.Nenda pale soko la mawenzi mpaka vichaa wana afya njema.

Sent using Jamii Forums mobile app
Siku zote nchi ambayo watu wake wanaishi kwa jembe pekee lazima washibe kwa sana ila ubongo wao umeparara kwa kukosa elimu maana siku zote wapo shambani kuhangaikia tumbo wakati majirani wapo shuleni wakihangaikia elimu na ujuzi.
 
Usiseme kenya na Tanzania,
Kwanini usiseme kenya ndio ifuate huo mkondo?
Kwa sababu nyie pia hamfanyi search ya mabegi ya wasafiri kila baada ya kilomita kadhaa kama wafanyavyo Wahabeshi. Ila nyumba kumi yenu ipo sawa.
 
Siku zote nchi ambayo watu wake wanaishi kwa jembe pekee lazima washibe kwa sana ila ubongo wao umeparara kwa kukosa elimu maana siku zote wapo shambani kuhangaikia tumbo wakati majirani wapo shuleni wakihangaikia elimu na ujuzi.
Wanyekuhangaikia Elimu wameshindwa kumaliza ukabila, hiyo ni elimu au ujinga?, wameshindwa kutengeneza ajira, waneshindwa kupambana na rushwa, wameshindwa kupambana na "crime" waneshindwa kujilisha, wameshindwa kuwapatia wananchi wao maji safi na Salaama. That is Failed state in all sectors, including education sector ".

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Al qaeda ilianzishwa na Osama huko Afghanistan kwa pesa ya Marekani na pesa ya Osama mwenyewe maana baba yake alikuwa tajiri mkubwa huko Saudia. Lakini Afghanistan ilikuwa chini ya uongozi wa Taliban. Taliban ndio walimpa Osama mahali pa kufanyia mipango yake na kurecruit wapiganaji wake. Hivi unadhani kama Taliban wangemfurusha Osama arudi kwao Saudia kungekuwa na upuzi unaoitwa Al qaeda?
Umepatia Vingi ila umekosea kusema kuwa Taliban imekua ikiisimamia Alqaeda na umekosea kusema Osama kwao Saudi.
Taliban haikuundwa na US ila Alqaeda imeundwa na US.
Taliban kuna mkono wa wana intelijensia wa Pakistan mule .
Na Osama yeye ni Afghanistan pure ila mamaye ndio Muarabu.
Taliban na Alqaeda havihusiani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Russia ya sasa japo ni hatari na moto wa kuotea mbali lakini pia wanaeza chezea kichapo wakija na kifua. Gaidi hapendi watu wa vifua. Gaidi unamshinda tu kwa kutumia inteligensia sio silaha pekee. Ndiposa marekani wameanza kutumia inteligensia kuua Al Baghdadi na gaidi wengine wakuu. Huu mchezo hautaki kukingiana kifua inataka careful planning and execution.
Hao Russia na China ni wazuri kiintelijensia huyo US wako anasanda.
Na kinachomfanya US ashindwe kumalixa ugaidi ni kutokana hao maadui kawaunda yeye sasa inamaana anapigana na alichokiunda kwa mikono yake.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iran Suicide Bombing Kills 27 Revolutionary Guards
Image
A photograph released by the state-run Fars News Agency was said to show a Revolutionary Guards Corps bus that had been blown up in a suicide attack in southeastern Iran.

A photograph released by the state-run Fars News Agency was said to show a Revolutionary Guards Corps bus that had been blown up in a suicide attack in southeastern Iran.Credit...Fars News Agency, via Agence France-Presse — Getty Images
By Thomas Erdbrink

  • Feb. 13, 2019
TEHRAN — A suicide bomber killed at least 27 members of the Islamic Revolutionary Guards Corps and wounded 13 on a bus in a restive region of southeast Iran on Wednesday, Iranian media reported. It was among the deadliest attacks in Iran in years.

The Revolutionary Guards, an elite Iranian paramilitary force, quickly blamed the United States for the assault, which came during the week that Iran’s leaders have been celebrating the 40th anniversary of the Islamic Revolution, which overthrew the American-backed shah in 1979.

The Revolutionary Guards did not explain precisely how the Americans could have been involved in the attack. But Iranian officials suggested it was more than coincidental that it happened as the Trump administration was hosting an anti-Iran-themed meeting in Poland that included delegations from Iran’s regional adversaries, Israel and Saudi Arabia.

Dispatches by the official Islamic Republic News Agency and the Fars News Agency said the victims had been traveling between the cities of Zahedan and Khash near the Pakistan border, a haven for militant separatist groups and drug smugglers.

Kaka una matatzo ya uelewa.
Suicide bombing unafananishaje na launched missiles ama bombing??
Mm nazungumzia makombora kurushwa km US walivyopigwa makombora na Taliban ama Israel ilivyopigwa makombora na Hezbollah.
Ndio maana nasema hakuna Bomu lililopigwa na kufanikiwa kupenya ndan ya mipaka ya Iran.
We waniletea masuala ya mabomu ya muhanga tena!!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeshawahi kuenda Ethiopia mwaka wa 2017. Ulinzi uliopo ndani ya nchi hio ni ya maajabu. Nilitumia basi kusafiri kutoka Moyale hadi Addis kwa siku mbili. Tulisimamishwa na polisi kila baada ya kilomita kama thelathini na kuagizwa kushuka ili bag zetu zifanywe search. Hamna Alshabab anayeweza kubeba bomb au bunduki kupitia basi au hata gari huko. Kenya na Tanzania sote tufuate mkondo huo. Pia wana nyumba kumi. Security yao iko sawa. Natumai umepata jibu.
Kwanini msiwaige Ethiopia ili muweze kudhibiti Alshabaab, au hamuwezi?. Sisi Tanzania hatuwezi kuwaiga Ethiopia kwasababu Amani tuliyonayo huwezi linganisha na Ethiopia. Tanzania ni namba 7 Africa kwa amani, wakati Ethiopia na Kenya hazimo hata katika top 20.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku zote nchi ambayo watu wake wanaishi kwa jembe pekee lazima washibe kwa sana ila ubongo wao umeparara kwa kukosa elimu maana siku zote wapo shambani kuhangaikia tumbo wakati majirani wapo shuleni wakihangaikia elimu na ujuzi.
Kuna kazi kubwa sana ya kukuelimisha.Elimu inakusaidiaje wakati uko na njaa??Unaijua njaa.Nina imani unaizungumzia Kenya ukiwa kwenye ardhi ya Tanzania bila shaka.Hata kiswahili chako kinathibitisha hilo.Tafuta maana halisi ya Afya njema halafu rudi tujadili faìda ya hiyo elimu yenu.

Inakuaje mnasaidiwa na nchi za majangwa?Pamoja na elimu yenu kubwas hamuoni aibu?

Msisahau hata sisi tumewahi wasaidia chakula miaka flani njaa iliwagonga sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini na nyie msiige iran wanavyofanya
Iran inapigana na Isis huko Syria ila Isis kwa sasa haina nguvu na pia Iran inalinda border yake kwa ujasiri sana. Hata Kenya ikilinda border yake mashambulizi yataisha lakini ugaidi Somalia hautaisha. Pia Iran imepigwa mabomu na magaidi mara kadhaa ila wamedhibiti ulinzi vizuri ndani ya border. Urusi pia wamepigwa na magaidi ila wameweza kuwadhibiti ndani ya mipaka ya nchi ila hizi nchi haziwezi kumaliza ugaidi nje ya mipaka yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa sababu nyie pia hamfanyi search ya mabegi ya wasafiri kila baada ya kilomita kadhaa kama wafanyavyo Wahabeshi. Ila nyumba kumi yenu ipo sawa.
Nyumba kumi inasaidia sana maana tukimuona mtu ambaye haeleweki eleweki lazima taarifa ziende kwa balozi bila kusahau inteligensia yetu nzuri,
Hivi kwa nini Nyumba kumi ilifeli kenya?
 
Kaka una matatzo ya uelewa.
Suicide bombing unafananishaje na launched missiles ama bombing??
Mm nazungumzia makombora kurushwa km US walivyopigwa makombora na Taliban ama Israel ilivyopigwa makombora na Hezbollah.
Ndio maana nasema hakuna Bomu lililopigwa na kufanikiwa kupenya ndan ya mipaka ya Iran.
We waniletea masuala ya mabomu ya muhanga tena!!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani bomu ya muhanga sio bomu? Kwani hiyo ni kucheza densi?
 
Umepatia Vingi ila umekosea kusema kuwa Taliban imekua ikiisimamia Alqaeda na umekosea kusema Osama kwao Saudi.
Taliban haikuundwa na US ila Alqaeda imeundwa na US.
Taliban kuna mkono wa wana intelijensia wa Pakistan mule .
Na Osama yeye ni Afghanistan pure ila mamaye ndio Muarabu.
Taliban na Alqaeda havihusiani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Baba ya Osama ambaye pia aliitwa bin Laden ndiye alikuwa mmiliki wa kampuni kubwa zaidi ya ujenzi huko Saudia. Haya ni mambo unayoweza kuyasoma hata kwenye Wikipedia. Sio lazima upinge kila kitu.
 
Kwanini msiwaige Ethiopia ili muweze kudhibiti Alshabaab, au hamuwezi?. Sisi Tanzania hatuwezi kuwaiga Ethiopia kwasababu Amani tuliyonayo huwezi linganisha na Ethiopia. Tanzania ni namba 7 Africa kwa amani, wakati Ethiopia na Kenya hazimo hata katika top 20.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hio data umetoa wapi?
 
Nyumba kumi inasaidia sana maana tukimuona mtu ambaye haeleweki eleweki lazima taarifa ziende kwa balozi bila kusahau inteligensia yetu nzuri,
Hivi kwa nini Nyumba kumi ilifeli kenya?
Kwa sababu sisi hatuna umbea. Kila mmoja ana shughuli zake. Hatuna time ya kunusa nusa leo jirani amepika nini?
 

Hii sio Mara ya kwanza au ya pili kwa jeshi la Ethiopia kuingia Kenya na kuua watu bila kukutana na jibu lolote toka KDF.

Serikali ya Kenya zaidi ya kulalamika Mara kwa Mara, hakuna hatua zozote inazochukua, jamba linaloifanya Ethiopia kuendeleza tabia yake ya kuvuka mpaka wa Kenya na kuuwa wakenya vile wapendavyo.

Sent using Jamii Forums mobile app

"Engage is Crossfire" umelemewa na kizungu. Heri kukosa macho kuliko kukosa akili...
 
Back
Top Bottom