T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Wewe jamaa nenda shule kwanza alafu urudi kwenye mjadara. Urusi ndipo Marekani ilipo? Kwahiyo ikitokea vita ya US vs Iran, US atakuwa anashambulia Iran na Iran inashambulia Urusi. Geography ulifundishwa wapi.Pole ,mwaka Jana Iran alionyesha baadhi ya makombora yake na kusema hii ni sehem ndogo tu ya makombora ya Iran akiyapanga Kwenye range tofauti la mwisho lilikua linafika mpaka Russia
Iran na Venezuela wanaweza kukabiliana na USA? ahahahaha iko siku ataingia Rais wa action itakuwa ni balaa.
US ana Intercontinental Ballistic Missiles zaidi ya 405 kwenye inventory tofauti, bado ana subs kama Ohio zinazobeba makombora ya Trident na subs kadhaa zinazobeba cruise missiles kama Tomahawk. Hizo zote zinafika Iran.namimi nasema US hana missile zakufika IRAN ukiachana na kipigo atakachokipata katika kambi zake pale akishakua kamalizika hana lakufanya kama anazo prove...
Ama ulikua unataka prove ya vp MKUU ?!
Hiyo list uliyotoa hakuna hata kombora la kuzidi 3000km sasa hiyo si sawa na jet fighter yenye pilot mmoja[emoji23].Kwan iran hana makombora ya kuvuka mabara?
Uhajemi ndiyo nini hata kuandika hujui, Irani utaijuaje?Uhajemi wameamua
Usichokijua ni kuwa Iran wana makombora ya siri ambayo yamefichwa hayajulikani uwezo wake uko vp au yana nini, ukiachana na hayo makombora ambyo Yanafika Ulaya na Asia, chengine ni kuwa Iran haihitaji kupiga marekani, kumbuka Marekani ina malaki ya wanajeshi bara la Africa Ulaya na Asia so hizo base zake 400 zitawaka moto siku akiamua kukinukisha, Unajua kuwa kuna nchi za ulaya kipindi zile base za marekani ziliposhambuliwa Iraq walisema kuwa wanataka kununua mifumo ya S-400 ya Mrusi ili kujilinda na makombira ya Iran?Kwahiyo hapo Kenya ndipo Marekani inapatikana? Kwamba Kenya imeimeza Marekani. Asante mkuu nimeelewa akili yako.
Malaki ya wanajeshi wa US yakifa vita haitoisha. US ana uwezo wa kupoteza wanajeshi milioni moja na bado akakushinda vita. Kama vita ya pili ya dunia alipoteza wanajeshi laki 5 na ni shambulizi moja tu alifanyiwa Pearl harbour. Na vita alishinda, bado si kushinda tu, AKAKOPESHA ULAYA NZIMA wakati katokea vitani. Huyu ndo unasema apigwe na Iran?Usichokijua ni kuwa Iran wana makombora ya siri ambayo yamefichwa hayajulikani uwezo wake uko vp au yana nini, ukiachana na hayo makombora ambyo Yanafika Ulaya na Asia, chengine ni kuwa Iran haihitaji kupiga marekani, kumbuka Marekani ina malaki ya wanajeshi bara la Africa Ulaya na Asia so hizo base zake 400 zitawaka moto siku akiamua kukinukisha, Unajua kuwa kuna nchi za ulaya kipindi zile base za marekani ziliposhambuliwa Iraq walisema kuwa wanataka kununua mifumo ya S-400 ya Mrusi ili kujilinda na makombira ya Iran?
Sent from my JSN-L21 using JamiiForums mobile app
Hivi rais wa Syria bado yupo?.
Naona kimya kweli kweli.
Endelea kujiongopea!usa ana maadui wengi watamchangia na kumdunda .. wanatafuta sababu tu.. maana china, russia, wapo pia
Mwaje huyu anajidanganya eti US ana maadui wengi. US ana allies wengi kuliko maadui, NATO tu inachangamsha dunia. Bado kuna South Korea, Japan, Australia, etc ambazo hazipo NATO.Endelea kujiongopea!
Unaijua NATO wewe? Unajua kama Amerika yupo hadi hapo ulipo hivi sasa? (Kwa maana yakulidhamini jeshi linalolinda mipaka ya nchi yako kifedha, kimafunzo na kivifaa)
Acha kabisa hizi mambo it no joke fatilia mambo ujue hata huyo Russia na America hawajawahi pigana hata siku moja ni one family wale kalagabaho
Mkuu sio general wa Iraq aliyewatonya ni ayatollah ndie aliyewaambia "ndio narusha kuelekea kwenye kambi zenu Iraq na mavideo kibao wamarekani wakaanza kusubiri makombora kwa kwenda kujificha mashimoni kama panya.Binafsi tangu Iran ilipo fanikiwa kushambulia kambi za kijeshi za Merikani nchini Iraq kwa kutumia high precision ballistic missiles, tangu siku hiyo Iran nuliivulia kofia, si Taifa la michezo hata kidogo, hata jeshi la Merikani pamoja na Trump mwenyewe usahihi wa kulenga Shabaha wa ballistic missiles za Iran uliwashtua sana - si hilo tu hata athali za mlipuko wa missiles uliwakumba zaidi ya wanajeshi 90 walikuwa wamejificha kwenye mahandaki saa moja kabla missiles hazijatua kwenye kambi - wanajeshi wa Merikani walinusurika baada ya Jenerali wa Iraq kuwatonya wakuu wa Kambi ya kijeshi ndio maana walikimbilia kujificha kwenye mahandaki la sivyo wengi wao wangekufa, hata hivyo baada ya milipuko wengi wao walikimbizwa Ujerumani kutibiwa.
Nikuonee huruma sijui unaishi dunia ya wapi,na usiyempenda katika anga za kijeshi poteza muda ujifunze ili ujue uwezo wake,punguza pia mahaba ya kuridhi kwenye movie za akina Rambo,niishie kukueleza Iran ni next level.Mimi nimetaja silaha wewe umeleta vigano vya Kiswahili. Taja hizo silaha au zimefichwa uvunguni kwamba hazionekani wala kujulikana. Silaha lazima zifanyiwe testing na mazoezi. Hawa Iran wanazindua speed boats ambazo nazizidi urefu wanapiga kelele sembuse wawe na silaha nzito wasilinge. Nimewauliza hapo mwishoni, Iran akitaka kuivamia Marekani atatumia SILAHA GANI? Hata Japan walikuwa na akili maandazi kama hivi, kilichotokea walishinda shambulizi moja tu la kushtukiza pa Pearl harbour mpaka vita inaisha hawajashinda battle yoyote ile.
Uganda Iddi Amin alikuwa anabwabwaja hivihivi, akashtukiza akavamia vita ilipoanza akapigwa. Iran itakuwa hivyohivyo.
Kama ana akili timamu ajiuulize hv nchi gani inayoweza kuahidi kumpiga marekani na kutekeleza ndani ya wiki hiyi hiyo tena kwa kulipua kambi 2 za kijeshi, jaman swala zito hili musifanye mchezo tena kwa Nchi yenyewe marekani inaogopwa duniani kote . Kitendo alichokifanya Iran Umoja wa Ulaya wote hule ungane Kama ulivyo bado hauwez kufanya halafu anatoka mtu tu huko kashiba chakula alichochumiwa na mama yake hata kuchuma hajui anaenda kuikebei Iran Atari Sana .Kuna Nchi Ile kuisema vibaya tu marekani inaogopa au likitokea Jambo lililofanywa na marekani baadhi ya nchi zinaogopa hata kulaani .Nikuonee huruma sijui unaishi dunia ya wapi,na usiyempenda katika anga za kijeshi poteza muda ujifunze ili ujue uwezo wake,punguza pia mahaba ya kuridhi kwenye movie za akina Rambo,niishie kukueleza Iran ni next level.
Huyo kasema yeyeUS ana Intercontinental Ballistic Missiles zaidi ya 405 kwenye inventory tofauti, bado ana subs kama Ohio zinazobeba makombora ya Trident na subs kadhaa zinazobeba cruise missiles kama Tomahawk. Hizo zote zinafika Iran.
Iran atajibu kwa kuipiga Kenya na Russia kama huyo mwenzako alivyosema[emoji23].
Bado mtoto huyo hana analolijua,hv mmarekani upige kambi zake Kisha akimbilie Kwenye kuongeza vikwazo vilivyozoeleka bila kuchukua hatua za kijeshi hata atii akiliHuyo kasema yeye
Ila bado huja prove aliwahi kupiga lini mpaka ukapata ushahidi kama kunaweza kutokea jambo kama hilo MKUU ?!.....
Nikukumbushe Tu MKUU yakwamba zile picha picha zakila rangi ambazo US waliziona pale IRAQ nirashasha tu zile wajikanyage waone
:-IRAN ndio taifa pekee DUNIANI kuwahi kushambulia kambi zakijeshi za US kama onyo baada ya JAPAN kukichafua pale pearl.....
US nnayoijua mimi ama anayoijua hata yeye haiwezi ikakuacha upige kambi yake hata bureBado mtoto huyo hana analolijua,hv mmarekani upige kambi zake Kisha akimbilie Kwenye kuongeza vikwazo vilivyozoeleka bila kuchukua hatua za kijeshi hata atii akili
Huyu jamaa ana mahaba na us tu, kitu alichokifanya Irani hata Russia asingefanya sio Kama Russia uwezo Hana no Ila ujasiri huo hana . kwasababu kitendo Cha kulipua kambi za jeshi tena mbili harafu unakaa Kwenye runinga unajinadi tumesha mpiga kibao adui na akijaribu kufanya uchokozi wa aina yeyote ile bc hapa mashariki ya kati hatasalimika hata mwanajeshi moja wa marekani hivi maneno madogo haya !!! Hawa watu Wana masihara kweli hawa. Maana yake Iran alishajipanga kwa Vita alikua anasubir shambulio moja tu bc dunia mzima ingesimama na wale jamaa wanaijua Vita sio mas hara !! Anga zima linge tanda makomboraUS nnayoijua mimi ama anayoijua hata yeye haiwezi ikakuacha upige kambi yake hata bure
Mfano SYRIA pale US wanakambi zao zakijeshi ila SYRIA hawathubutu kurusha hata jiwe nakama itatokea akarusha basi atakua kaishapata mamlaka kamili yakumchapa AL ASSAD yaani DIRECTLY
namkumbusha tu kuipiga kambi ya nchi ama taifa jengine nitayari umeshatangaza vita hadharani kuliko hata alivyoenda kuipiga IRAQ ya SADDAM ama LIBYA ya GADAFI kwasababu zakuunga unga
US kachapiwa kambi zake mwenyewe pale IRAQ ambazo kazisimamia UJENZI wake mwenyewe US akakausha kapigiwa DRONE zake zaidi yamaramoja kanyamaza kakamatiwa Mpaka wanajeshi wake kama haitoshi kanyamaza
Sijui anataka IRAN waoneshe ubabe gani dhidi ya US hayo nloyataja hapo hakuna taifa lolote limemfanyia US baada ya vita ww1 na ww2 vimalizike ni IRAN pekee
Halaf anatokea mtu anakuja kuwabeza hawa watu.....
Anaeamua kuibeza IRAN hasa kwatukio lile aibeze tu ila sijui kwakuangalia kigezo kipiHuyu jamaa ana mahaba na us tu, kitu alichokifanya Irani hata Russia asingefanya sio Kama Russia uwezo Hana no Ila ujasiri huo hana . kwasababu kitendo Cha kulipua kambi za jeshi tena mbili harafu unakaa Kwenye runinga unajinadi tumesha mpiga kibao adui na akijaribu kufanya uchokozi wa aina yeyote ile bc hapa mashariki ya kati hatasalimika hata mwanajeshi moja wa marekani hivi maneno madogo haya !!! Hawa watu Wana masihara kweli hawa. Maana yake Iran alishajipanga kwa Vita alikua anasubir shambulio moja tu bc dunia mzima ingesimama na wale jamaa wanaijua Vita sio mas hara !! Anga zima linge tanda makombora