Jeshi la Israel lapiga picha wakiwa ndani ya jengo la Bunge Gaza

Sina ushabiki mimi zaidi ya kulibariki tu basi.
 
Una wehu kidogo? Unafahamu maana ya "shaheed"?
Sina haja ya kufahamu maneno ya kiarabu kama utajisikia unaweza nielezea.Lakini pia punguza kucomment huku unafoka,umri wetu huu siyo wa kujipa stress kiasi hiki.
 
Hahaha Yesu...Hibi kwanini tusimuombe mungu ?kwanini tumsifie na kumuomba yesu amabaye ni binadamm aliyezaliwa na mama kama sisi
Edit comment yako isomeke vizuri
 
General Ali Komico
 
Jamani bibie acha kuwaita watu mazayuni FaizaFoxy tokea ucomment kwenye uzi wangu wa kutapeliwa kazi niliacha kukusema sana so sikuhizi nakuomba usiwaite watu majina ya ovyo bahna .
 
Gaidi kwako ni mpigania uhuru kwa wenye kujielewa wote duniani.

Sikushangai mtumwa wa mazayuni.
sasa shangazi, wewe ulikuwa unasema israel anapata kipondo na ameshindwa, mbona sasaivi wananajisi bunge la hamas? hamas wapo wapi kulinda bunge lao? majority of their leaders have been eliminated.
 
tunnels [emoji1] ngojea watu wenye ujuzi wa engineering hasa civilian engineering nawale ma expert watatueleza wanacho ongea Israel ni kweli au ujinga [emoji1]

Kumbe Mende ndio Central command
unabishana na video ? yaan waislam mna matatizo sio bure
 
kwamba kuna siku israel waliwa kufanya kitu kama hicho Gaza nazungumzia Gaza , elewa Gaza
 
una akili za kimuvi muvi sana , yaan waache hadi maandaki yao ya makao makuu hlf ww useme kuna habar mpya hapo , labda nchi jiran ziivamie Israel ghafla
 
hv hii elimu ya kukariri imewatia ujinga , kila mtu ana mamlaka yakr hapo hiyo ni full war sio civil war , au huelew maana ya apartheid regime ? wapalestina waliopo ndan ya israel wanasema wana enjoy ila nyiny vikaragosi ndio mnaleta kelele
 
sasa shangazi, wewe ulikuwa unasema israel anapata kipondo na ameshindwa, mbona sasaivi wananajisi bunge la hamas? hamas wapo wapi kulinda bunge lao? majority of their leaders have been eliminated.
Anti nisome vizuri, mimi nimesema toka siku ya kwanza, huu ni ushindi mkubwa sana kwa Waplestina na nnaendelea kusema hivyohivyo.

Unaongea lugha za kwalee, au na wewe wamoo? Sisi hatuongei sana, waulize hao mabwana zaoko, hii vipi:

Your browser is not able to display this video.
 
sasa mbona kafiri wa kiyahudi ananajisi bunge la Gaza, hi ni sawa kweli? na mlisema hawana hata uwezo kucontrol. kinachosikitisha ni kwamba, from now onwards Gaza inaenda kukaliwa kwa mabavu upya kama ilivyokua kabla ya 2005. si unakumbuka ile evacuation ya wayahudi Ganza na walivyovunja nyumba zao ili wawaachie wapalestina, Netanyau amesema wameamua warudi kuitawala Gaza tena kwasababu bila hivyo wameona hawaishi kwa amani. kwa sasa wataanza na kuifanya kama buffer zone na baadaye majengo ya walowezi wa kiyahudi yataanza kujengwa. tuwape pole tu wapalestina.isingekuwa hamas wala hayo yasingetokea pengine.
 
Ndio hivyohivyo kwa wanawake na watoto wa Gaza wanaouawa na Wayahudi kwenye hiyo operation.
Hivyo hakuna haja ya kulalamika.

Hao watoto na wanawake wa Gaza wataendelea kuuawa kwa sababu hawapo sehemu sahihi kwa wakati usiosahihi.
Wapalestina wapo kwao unawaambia hawapo sehemu sahihi? Au walitokea Tanzania na wao?
 
Dini ya waarabu inakuhusu nini wewe muafrica mwenye ngozi kama mkaa [emoji23] hivi wao ni mawakala wa kuwapeleka peponi kwamba wanajuana sanaa na Mungu
Nafahamu tatizo ni elimu yako tu, ilikujaza ujinga. Nnauhakika hata maana ya neno "dini" huielewi.

Tumia muda wako mwwingi kujisomea badala ya kubishana kijinga mtandaoni.
 
Sina haja ya kufahamu maneno ya kiarabu kama utajisikia unaweza nielezea.Lakini pia punguza kucomment huku unafoka,umri wetu huu siyo wa kujipa stress kiasi hiki.
Kumbe hata Kiswahili bado hukielewi, sikushangai, nafahami Kiswahili siyo lugha mama kwako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…