Jeshi la Israel lapiga picha wakiwa ndani ya jengo la Bunge Gaza

Jeshi la Israel lapiga picha wakiwa ndani ya jengo la Bunge Gaza

Hao wanajeshi ni makondoo waliopotea wanatafuta ushindi wa kijinga wa picture ili waonekane walifika Gaza 😄

Kuna sehemu zingine Gaza ni km 0.6km kutumia njia ya bahari labda hata hilo bunge liko area za baharini ndio sababu wamefika, tuonyesheni mmefika Gaza city? Au hio Al Shifa Hospital mmeisha fika au bado?
SOmetimes tusikie habari jamani, tuache ujuaji.
Yaani na picha juu bado tu.
Al shifa hawajafika while jana breaking news ilionyesha Askari wa israel wakiongozwa na kamanda wao, wakiwa wanapeleka mafuta katika hospitali hiyo alshifa na kukabidhi,
Leo wameonyesha kipande cha hospitali kilicho na umeme, watoto wanahamishwa. Jamani eeenh. Msifanye hivo mnatupoteza bwana. Na story za vijiweni.
 
Netanyahu leo katangaza atawacha vita mateka wakiwachiwa.
.mnafahamu maana yake nini hiyo? Kwa mtu aliyekuwa anasema haongei kuwacha vita mpaka Ghaza wote waishe?

Mtajaza wenyewe.
Kaa kimya wewe bibi acha kupotosha. Shame
 
Mafanikio gani? Yaani waisrael wanasubiri habari kuhusu mateka alafu nyinyi mnawaletea picha?
Hivi mkuu wewe unafurahia HAMAS kushikilia mateka raia wasio na hatia wakiwemo watanzania wenzio ?.
 
Takwimu Hupingwa Kwa takwimu. Jamaa ameleta takwimu zake na wewe toa zako mjadala uishe .
Mkuu mbona nafuatilia sana? Na ndio maana nime kwambia kuwa takwimu zako zina walakini kwa sababu hazijawahi kutolewa na media yeyote au Israel.
 
Wewe ni mwehu , unajua Gaza occupation ya 2005 kurudi nyuma ya wazayuni hapo Gaza imekaa kwa muda gani huku ikishuhudiwa Hamas kuzaliwa na kukua kama walivyo leo ?
Kenge we
😂😂 Mkuu mbona povu 🤣🤣
Wewe unadhani hata wazayuni wakiamua kukaa hapo ndio kwamba Harakati za Hamas zitaisha au watakufa njaa ,kwa akili yako mgando hiyo ? , Unajua urefu wa hizo bunkers na tunnels ? ,
Kumbe ni kweli ndani ya hospital Kuna mahandaki wanayoyatumia HAMAS?🤣🤣🤣
Unajua hizo tunnels zimesambaa mpaka katika mataifa gani hapo ya karibu ?
Unajua supplies za ujenzi na uzalishaji wa silaha Hamas walikuwa au wanaendelea kuzipata kwa namna gani ukizingatia Gaza miaka yote imekuwa surrounded katika mipaka yako na wazayuni (border control ) na kabla ya 2005 hao Hamas wameanza kujenga hizo underground bunkers and tunnels na wazayuni wakiwa hapo hapo kama occupiers


Tumia akili usitumie emotions za kijinga na makalio kufikiri
 
Siuende ukasifu na kuwaomba majini yenu nani amekunyima
Hahaah ila wakristo bana kwa vituko ..yaaani Yesu alikufa miaka 2000 iliyopita na kamera imegunduliwa mwaka 1861...Lakini eti mtu anakuja na picha ya HD na kuwaambia kabisa eti huyu ndio yesu na nyie mnakubali....huyo aliyempiga picha huyo bana yesu kabla camera hajizagunduliwa anaitwa nani vile?hahah kweli huu ni ujinga kiwango cha lami..
 
Hahaah ila wakristo bana kwa vituko ..yaaani Yesu alikufa miaka 2000 iliyopita na kamera imegunduliwa mwaka 1861...Lakini eti mtu anakuja na picha ya HD na kuwaambia kabisa eti huyu ndio yesu na nyie mnakubali....huyo aliyempiga picha huyo bana yesu kabla camera hajizagunduliwa anaitwa nani vile?hahah kweli huu ni ujinga kiwango cha lami..
Jichanganye tu kuna ukweli mwishoni jifanye uu mpofu,yesu hajafa
 
Bibie hebu mkiri Yesu uokoke utakuwa ntu poa sana.
Nimeto kea kuupenda msimamo wako katika imani, njoo kwa Yesu mama
Kwa yesu hawa waisraeli ni magaidi tu.yesu hapendi uonevu na watu kuteseka
 
Kama ni hivyo. Nini kimefanya Wawateke Wasiohusika kwa kutetea haki zao?
Walishindwa kutofautisha Waisraeli na Watanzania?
Kwanini hawawezi kutofautisha? Tumia akili yako japo kidogo.

Haijalishi u Mtanzania au Mmarekani, mradi upo kambi ya adui, ndiyo vizuri zaidi, utatumika kama turufu. Kama unaendelea kushikiliwa elewa kuwa wewe ni mtaji mzuri wa kivita.

Kwanini wawachiwe?
 
Eti kweli, bilia imesema Yesu aliwateketeza ma pork? Ni Kweli?

Uislam ni mwema sana.
Yesu alifananisha nguruwe na mashetani hata alipokuwa akimtoa yule mtu mapepo ni mangurue ndiyo yaliondolewa na kukimbilia baharini baadhi yapo humo mpaka kesho!
 
Kenge hao, hata kipindi kile cha Vita ya Ghuba, walisema America haitafua dafu kwa makombola ya scud ya Sadam,
Walisema hawataweza kumkamata Osama,
Sasa Gaza inachukuliwa, inakuwa makazi ya Jews, natamani kuwaona wabunge wa bunge LA Iran, waliokata mauno na kuserebuka October 7,Hamas walipovamia Israel.
Operation ya Gaza ikiisha utawaona hao wabunge wa Iran wakichoma moto kinyago cha Netanyahu na bendera ya Israel huku wakipiga kelele kwa nguvu wakisema "death to Israel, death to Israel"
 
Back
Top Bottom