Jeshi la Israel laua magaidi 560 wa Hezbollah

Jeshi la Israel laua magaidi 560 wa Hezbollah

Shooter Again

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
5,603
Reaction score
9,263
Mpaka kufikia siku ya Jana jeshi la Israel lilishatokomeza magaidi wa HEZBOLLAH 560 tunaendelea kuwaombea wakristo wenzetu Israel waendelee kufuta magaidi kwenye uso wa dunia kifuatacho ni kuifanya Iran iwe majivu sababu ndio nchi inayoongozwa na magaidi endapo ikitokea gaidi kajificha Kwa raia lazima alipuliwe atakua kawaponza raia sababu lengo la taifa teule la Israel ni kutokomeza ugaidi
 
Israeli taifa la wakristo wenzetu inaendelea kumaliza magaidi
Akili zako zina shida sana. Ni bora ungekuwa na mahaba na wapare wenzako kuliko hao mayahudi wanaochukia wakristo

Umewahesabu wapi hapo Hezbolah 560? Ulilala tu ukapata hii figure?

Eti kuifanya Iran iwe majivu, kuwa mtoto raha sana. Hao waisraeli wako wanamtegemea USA ambae kamshindwa Iran
 
Mpaka kufikia siku ya Jana jeshi la Israel lilishatokomeza magaidi wa HEZBOLLAH 560 tunaendelea kuwaombea wakristo wenzetu Israel waendelee kufuta magaidi kwenye uso wa dunia kifuatacho ni kuifanya Iran iwe majivu sababu ndio nchi inayoongozwa na magaidi endapo ikitokea gaidi kajificha Kwa raia lazima alipuliwe atakua kawaponza raia sababu lengo la taifa teule la Israel ni kutokomeza ugaidi
Mnawaombea waisrael kwa Yesu waliyemkataa?

Yesu alishindwa kuwa na ushawishi kwa jamaa zake huko.
Watu kibao walimkataa, hata wakamchoka na kumsulubisha.

Kimsingi, bila dola la kirumi, hizo habari za Yesu zisingekufikia wewe mnyalukolo.

NB: Magaidi ya pedophile Muddy yaangamizwe tu.
 
Akili zako zina shida sana. Ni bora ungekuwa na mahaba na wapare wenzako kuliko hao mayahudi wanachukia wakristo

Umewahesabu wapi hapo Hezbolah 560? Ulilala tu ukapata hii figure?
Yesu ni myahudi wewe ndio huna akili Israel inatokomeza ugaidi na sisi kama wakristo wenzetu lazima tuwaunge mkono dhidi ya magaidi
 
Israeli taifa la wakristo wenzetu inaendelea kumaliza magaidi
Hakuna yahudi mkiristo, mayahudi dini yao ni Judaism, yesu wanamtukana na kumtemea mate na kumwita mtoto wa haramu.,
Bora ujielewe., usitumiliwe ni LGBTQ
 
Yesu ni myahudi nafikiri umenielewa
Yesu sio myahudi, na sio kila muisrael ni myahudi.. Tofautisha Uisrael(Ucaanan) na uyahudi (Jewish).. Uyahudi ni dini na utamaduni, kuna waisrael wakristo, Waislamu, wayahudi.. Ila kwakuwa nimeona una dalili za kuwa kichwa ngumu na shule huna utabisha hili. Yesu kazaliwa Bethlehem ambapo ni Palestina
 
Mnawaombea waisrael kwa Yesu waliyemkataa?

Yesu alishindwa kuwa na ushawishi kwa jamaa zake huko.
Watu kibao walimkataa, hata wakamchoka na kumsulubisha.

Kimsingi, bila dola la kirumi, hizo habari za Yesu zisingekufikia wewe mnyalukolo.
Yesu ni myahudi na Israel ni wakristo wenzetu
 
Hakuna yahudi mkiristo, mayahudi dini yao ni Judaism, yesu wanamtukana na kumtemea mate na kumwita mtoto wa haramu.,
Bora ujielewe., usitumiliwe ni LGBTQ
Hilo utajua mwenyewe sisi tunatambua wayahudi ni wakristo na yesu ni myahudi na tunaliombea taifa teule la Israel dhidi ya magaidi
 
Back
Top Bottom