Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 8,428
- 4,022
Tunalioombea TAIFA TEULE LA ISRAEL Kwa kazi nzuri inalofanya kumaliza magaidi
Taifa teulo limefanya maandamano ya wasenge Jerusalem
View: https://youtu.be/7hZfHt68AzY?t=3
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunalioombea TAIFA TEULE LA ISRAEL Kwa kazi nzuri inalofanya kumaliza magaidi
Yesu ni mpalestina mtupu hata mavazi ya mama yake yesu ni mavazi ya kiislamYesu ni myahudi na Israel taifa teule ni wakristo wenzetu
Lakini kuna Waarabu wakristo pale jimbo la Galilee huko northern Israel. Na waarabu hawa ni raia wa Israel siyo Palestine.Israel ni Wayahudi
Yesu ni myahudi mtupu na tunaiunga mkono Israel dhidi ya magaidiYesu ni mpalestina mtupu hata mavazi ya mama yake yesu ni mavazi ya kiislam
Tunaiunga mkono Israel dhidi ya magaidiLakini kuna Waarabu wakristo pale jimbo la Galilee huko northern Israel. Na waarabu hawa ni raia wa Israel siyo Palestine.
View attachment 3116536
Israel ni taifa la kiyahudiIsraeli taifa la wakristo wenzetu inaendelea kumaliza magaidi
Tunaiunga mkono Israel dhidi ya magaidiumeshawekewa papuchi ? 😛 😛 😛
Tunaiunga mkono Israel dhidi ya magaidiIsrael ni taifa la kiyahudi
T
Yesu ni myahudi mtupu na tunaiunga mkono Israel dhidi ya magaidi
😃😃😃😃 Nenda uwanja wa vita huko sio kutupigia kelele hapa na hio simu ya shemeji yakoT
Yesu ni myahudi mtupu na tunaiunga mkono Israel dhidi ya magaidi
Either wewe ni LIJINGA au LIPUMBAVU,Israel ina waislamu mara 9 ya wakristo😄😃🤣,......jumapili kama Leo munaenda kuwatijirisha wenzenu huku wakiwaombea kwa mungu wa Israel😀😃Israeli taifa la wakristo wenzetu inaendelea kumaliza magaidi
Tunaiunga mkono Israel dhidi ya magaidi
wakiristo wenzako walioko uko Israel na maeneo mengine duniani wanaandamana kupinga ugaidi wa Netanyahu ni wewe wa ufipa tu usiyejielewa, hard-headed, mayahudi si wakiristo nenda ata ka-google ujuwe dini ya mayahudi, usiwe mjinga wa ufahamuHata ukisemaje unakua unajisumbua tu tunaiunga mkono Israel na tunatambua kama ni wakristo wenzetu wanaofyeka magaidi sababu Israel ni taifa teule
Usa ashindwe kwa iran🙄🙄🙄🙄🙄 wewe sijui wa wapi??!! Na kingine kama hujui wayahudi na wakristo lao ni moja soma historia ujue usikurupukeAkili zako zina shida sana. Ni bora ungekuwa na mahaba na wapare wenzako kuliko hao mayahudi wanaochukia wakristo
Umewahesabu wapi hapo Hezbolah 560? Ulilala tu ukapata hii figure?
Eti kuifanya Iran iwe majivu, kuwa mtoto raha sana. Hao waisraeli wako wanamtegemea USA ambae kamshindwa Iran
Usa ashindwe kwa iran🙄🙄🙄🙄🙄 wewe sijui wa wapi??!! Na kingine kama hujui wayahudi na wakristo lao ni moja soma historia ujue usikurupuke
Kama hujui kitu kaa kimya wewe nikweli ukristo na uyahudi ni ndugu kabisa kiimani,ni bora ukatulia kwenye uislam wako,hao wanaoandamana wana yao nyuma ya pazia kusiasa zaidi jiongeze wewewakiristo wenzako walioko uko Israel na maeneo mengine duniani wanaandamana kupinga ugaidi wa Netanyahu ni wewe wa ufipa tu usiyejielewa, hard-headed, mayahudi si wakiristo nenda ata ka-google ujuwe dini ya mayahudi, usiwe mjinga wa ufahamu
Wanapenda ,soma vizuri matendo ya Mitume!Islael sio wakristo wenzio ...tena hawampendi yesu wala kumtambua.Na biblia hawatumii kule .Jitafakari
Kwahiyo wewe ni myahudi?Yesu ni myahudi nafikiri umenielewa