Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
- Thread starter
- #21
Yesu ni myahudi na wayahudi ni wakristo wenzetu tunawaombea washinde Vita dhidi ya magaidiYesu alisulubiwa hadi kufa na Wayahudi Nina uhakika umenielewa sana 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yesu ni myahudi na wayahudi ni wakristo wenzetu tunawaombea washinde Vita dhidi ya magaidiYesu alisulubiwa hadi kufa na Wayahudi Nina uhakika umenielewa sana 😂
Wayahudi kwny vitabu vyao wanajisifia sana. Wanasema ''Mungu wetu ni moto ulao'' (consuming fire)Israel ni Wayahudi
Yesu ni myahudi na tunaliombea taifa teule la wakristo wenzetu IsraelYesu sio myahudi, na sio kila muisrael ni myahudi.. Tofautisha Uisrael(Ucaanan) na uyahudi (Jewish).. Uyahudi ni dini na utamaduni, kuna waisrael wakristo, Waislamu, wayahudi.. Ila kwakuwa nimeona una dalili za kuwa kichwa ngumu na shule huna utabisha hili. Yesu kazaliwa Bethlehem ambapo ni Palestina
Sasa sisi wakristo tumechagua kuwa pamoja na Israel kama nyinyi mlivyochagua kuwa na waarabuJambo usilolijua ni kwamba Population ya waislamu Israel ni kubwa karibu mara kumi kuzidi ya Wakristo. Israel ni taifa la wayahudi ( Jews ).
Tunalioombea TAIFA TEULE LA wakristo wenzetu Israel waendelee kufuta magaidi kwenye uso wa duniaAsilimia ngapi ya waisrael ni wakristo?
Islael sio wakristo wenzio ...tena hawampendi yesu wala kumtambua.Na biblia hawatumii kule .JitafakariMpaka kufikia siku ya Jana jeshi la Israel lilishatokomeza magaidi wa HEZBOLLAH 560 tunaendelea kuwaombea wakristo wenzetu Israel waendelee kufuta magaidi kwenye uso wa dunia kifuatacho ni kuifanya Iran iwe majivu sababu ndio nchi inayoongozwa na magaidi endapo ikitokea gaidi kajificha Kwa raia lazima alipuliwe atakua kawaponza raia sababu lengo la taifa teule la Israel ni kutokomeza ugaidi
Naona mmeanzisha madaaksudi na huyo mleta mada mwenzako ili mje kuprove kwamba waisrael siyo wakristo.Yesu sio myahudi, na sio kila muisrael ni myahudi.. Tofautisha Uisrael(Ucaanan) na uyahudi (Jewish).. Uyahudi ni dini na utamaduni, kuna waisrael wakristo, Waislamu, wayahudi.. Ila kwakuwa nimeona una dalili za kuwa kichwa ngumu na shule huna utabisha hili. Yesu kazaliwa Bethlehem ambapo ni Palestina
Tunalioombea TAIFA TEULE LA wakristo wenzetu Israel waendelee kufuta magaidi kwenye uso wa duniaIslael sio wakristo wenzio ...tena hawampendi yesu wala kumtambua.Na biblia hawatumii kule .Jitafakari
Sio wakristo islael.Tunalioombea TAIFA TEULE LA wakristo wenzetu Israel waendelee kufuta magaidi kwenye uso wa dunia
EbenezerJehovah
Mpaka kufikia siku ya Jana jeshi la Israel lilishatokomeza magaidi wa HEZBOLLAH 560 tunaendelea kuwaombea wakristo wenzetu Israel waendelee kufuta magaidi kwenye uso wa dunia kifuatacho ni kuifanya Iran iwe majivu sababu ndio nchi inayoongozwa na magaidi endapo ikitokea gaidi kajificha Kwa raia lazima alipuliwe atakua kawaponza raia sababu lengo la taifa teule la Israel ni kutokomeza ugaidi
Tunalioombea TAIFA TEULE LA ISRAEL kama wakristo wenzetu Ili waendelee kufuta magaidi kwenye uso wa duniaSio wakristo islael.
Unajikuta mtu mzima kumbe we ndo litoto mbona we unawaunga mkono waarabu?Akili zako zina shida sana. Ni bora ungekuwa na mahaba na wapare wenzako kuliko hao mayahudi wanaochukia wakristo
Umewahesabu wapi hapo Hezbolah 560? Ulilala tu ukapata hii figure?
Eti kuifanya Iran iwe majivu, kuwa mtoto raha sana. Hao waisraeli wako wanamtegemea USA ambae kamshindwa Iran
Unaona sasa huu ujinga na ushabiki mandazi. Wakristo kivipitunaendelea kuwaombea wakristo wenzetu
Tunalioombea TAIFA TEULE LA ISRAEL kama wakristo wenzetu Ili waendelee kufuta magaidi kwenye uso wa dunia
Jeshi lenyewe la askari wasenge waliowekewa papuchi ??
View: https://www.instagram.com/reel/C1sJUnZrzEq/?utm_source=ig_web_copy_link
Israel haijawahi kuwa ni taifa teule, hiyo mistari kwenye bibilia ilipachikwa ni LGBTQ countries ili Israel iungwe mkono otherwise hakuna taifa liitwalo Israel ni taifa bandi na muda umefika litafutika kabisa,Hilo utajua mwenyewe sisi tunatambua wayahudi ni wakristo na yesu ni myahudi na tunaliombea taifa teule la Israel dhidi ya magaidi
We shabiki kitumbua upoUnaona sasa huu ujinga na ushabiki mandazi. Wakristo kivipi
Hata ukisemaje unakua unajisumbua tu tunaiunga mkono Israel na tunatambua kama ni wakristo wenzetu wanaofyeka magaidi sababu Israel ni taifa teuleIsrael haijawahi kuwa ni taifa teule, hiyo mistari kwenye bibilia ilipachikwa ni LGBTQ countries ili Israel iungwe mkono otherwise hakuna taifa liitwalo Israel ni taifa bandi na muda umefika litafutika kabisa,
wewe ata ukitambua ni wenzako itakuwa ni kwa ujinga tu, wakiristo wenzako walioko Jerusalem wameuliwa kwenye vita hivi na wale wakiristo waliokuwa palestine makanisa yao yamegeuzwa vifusi na kuuliwa